Hayati Mzee Mwinyi Rais bora, Hayati Prof Malima Waziri bora wa Fedha na Mzee Kitwana Kondo Meya bora wa Dar es Salaam

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,134
Hawa Viongozi Watatu niliwakubali sana katika Utumishi

Kupitia Wao niliweza kuuona Wema wa ndugu zetu Waislamu

Kuchafuana kisiasa kupo lakini hawa walijua maana ya Kuongoza Watu

Sikushangaa Waziri Hamza aliposema Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar alikuwa anakwenda yeye mwenyewe binafsi masokoni kukagua bei za bidhaa Wananchi wasionewe na kudhulumiwa

Katika Viongozi wa sasa huwezi kupata mfano wa Watatu hawa, kwanza Viongozi wa Leo hawana hofu ya Mungu kabisa

Mlale Unono 😀
 
Hawa Viongozi Watatu niliwakubali sana katika Utumishi

Kupitia Wao niliweza kuuona Wema wa ndugu zetu Waislamu

Kuchafuana kisiasa kupo lakini hawa walijua maana ya Kuongoza Watu

Sikushangaa Waziri Hamza aliposema Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar alikuwa anakwenda yeye mwenyewe binafsi masokoni kukagua bei za bidhaa Wananchi wasionewe na kudhulumiwa

Katika Viongozi wa sasa huwezi kupata mfano wa Watatu hawa, kwanza Viongozi wa Leo hawana hofu ya Mungu kabisa

Mlale Unono 😀
Ni kweli alikuwa mcha Mungu. Na alifata maandiko "jicho Kwa jicho" " aliyeua naye auawe". Waliohukumiwa kifo na mahakama wote alisaini wanyongwe. Hakuna aliyesalimika.
 
Hawa Viongozi Watatu niliwakubali sana katika Utumishi

Kupitia Wao niliweza kuuona Wema wa ndugu zetu Waislamu

Kuchafuana kisiasa kupo lakini hawa walijua maana ya Kuongoza Watu

Sikushangaa Waziri Hamza aliposema Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar alikuwa anakwenda yeye mwenyewe binafsi masokoni kukagua bei za bidhaa Wananchi wasionewe na kudhulumiwa

Katika Viongozi wa sasa huwezi kupata mfano wa Watatu hawa, kwanza Viongozi wa Leo hawana hofu ya Mungu kabisa

Mlale Unono 😀
Hivi ulikuwepo kweli au ulikuwa mkubwa, wakati wa, viongoz hawa? Mm naona kwa sasa hawa viongoz, wamefariki lakin wanapewa sifa nyingi sana ambazo hawakuwa nazo.Nafikir , tuweke haya, Mambo sawa, ili ukweli uwe wazi:Nikianza na huyu mzee Kitwana Kondo,Mungu amurehemu. Huyu mzee alikuwa, Mayor wa jiji la Dsm wakati wa mzee Mwinyi. Alikuwa anafuja mali za jiji la Dsm kama zake.Yaan alikuwa fisadi wa uhakika. Na hakuchukuliwa hatua kwa kuwa alikuwa, swahiba na mkwe wa, mzee Mwinyi. Hakuna kitu cha, maana, alichofanya pale jijini Dsm. Lakin baada ya awamu ya tatu kuingia na,jiji kuvunjwa, Ben Mkapa alimteua Mtu mmoja aliitwa, Charles Keenja kuchukua nafasi ya Kitwana Kondo. Keenja, alifanya, mambo makubwa, mfano ujenz wa, shule ya Benjamin Mkapa. Watu wengi walishangaa sana kuona kwamba, jiji lina mapato hata, ya, kujenga shule ya secondary. Utaona wakati wa Kitwana Kondo hakuna kilichokuwa kinabaki. Jiji lilikuwa halina pesa. Kwa ufupi Kitwana Kondo aliogopeka sana kwa, kuwa, ya uhusiano na mzee Rukusa. Na sidhani kama huyu mzee alikuwa na elimu ya, maana. Profesa Kighoma Malima:Huyu alikuwa msomi na mhadhiri wa chuo Kikuu cha Dsm, na alibobea kwenye uchumi. Mtoto wake ni mkuu wa, mkoa wa mkoa kwa sasa, anaitwa Adamu Malima. Profesa Malima alikuwa wazir wa, fedha, na naibu akawa Kikwete wakati wa mzee Mwinyi. Inasemekana, Professor alikwapua mapesa ya kutosha kutoka hazina na kuyatupia account moja pale uingereza. Dhumuni kubwa alitaka aanzishe chama chake ili aingie kwenye uchaguzi 1995.Na alitaka Kushida.Na alitaka pia kuanzishwa radio yake ambayo ingesaidia sana Kukitangaza, chama chake. Redio yake ingekuwa pale Kisarawe. Na chama hiki kilikuwa chama cha siasa chenye mlengo wa kiitikadi. Yaan Professor huyu mtizamo wake ni kama Zito Kwabwe. Lakin taarifa zake zilipenyezwa, na JK wa msoga, kwa serikali ya mzee Mwinyi na taarifa hiz, zikamfikia JK wa butiama. Ile pesa taakriban trillion kadhaa kule bank za kigen zikawa blocked kwenye account yake. Professor alipofika kule UK akiwa njian kwenda kuhiji huko Maka, aliangalia salio likasoma zero. Na yeye hukawa, mwisho wake. Kwa hiyo mm sikumuona kama kiongoz mzur kwa kuwa, alifanya ufisadi mkubwa kwa ubinafsi. Sasa, nije kwa mzee Mwinyi marehemu. Huyu mzee amesifiwa sana lakin pia alikuwa na mabaya yake. Kwanza:Mzee huyu aliuza sehemu ya mbuga ya Loliondo kule Arusha kwa, waarabu. Hii ilileta Malalamiko mengi sana. Na ulikuwa ufisadi mkubwa sana kipindi hicho, na ilikuwa hot news kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Pili:Mzee huyu alikuwa anatorosha nyara za serikali, kwa kushirikiana na mke wake mama siti Mwinyi. Itakumbukwa wakati huo Naibu wazir mkuu na wazir wa, Mambo ya ndani marehemu Mrema alikamata nyara hizo pale uwanja wa wa ndege Dsm mwaka 1991 ,lakin mara moja akataarifiwa kuwa huo ni mzigo wa rais na mke wake. Taarifa hiz zilienea sana, kwenye vyombo vya habari. Mzee Mrema hakaruhusu huo mzigo uendelee na safari. Tatu:Kulikuwa na taarifa kuwa, wakati wa, utawala wa mzee huyu nchi iliongozwa na mkewe mama Siti. Ilisemekana kwamba, mambo mengi yalikuwa yanaamuliwa na mama Siti Mwinyi. Kuna taarifa pia ilisikika kuwa vyombo vya ulinz vya wakati huo viliwakamata, wauza madawa ya kulevya, na kuwaweka ndani. Lakin waliitwa na kupewa maagizo na mama Siti, kuwa wawaachie mara, moja. Inasemekana, kuwa JWT walifika kwa mwalimu butiama na kuomba, ruhusa ili wachukue nchi. Lakin mwalimu alikataa. Na hata kuna hotuba za mwalimu, zilisema nchi haiwez kutawaliwa kwa kutumia mke. Nne, katika utawala wa mzee Mwinyi ndio kipindi ambacho kampuni ya Mohammed enterprise iliyokuwa inaingiza mchele mbovu kutoka nje ya nchi. Kampuni hii ambayo ni ya baba yake MO,inasemekana kuna Mambo ya uchafu mwingi ilifanya.Mwisho, Mwinyi ndie rais akiyekataa kuwa mkuu wa UDSM. Wachunguz wa Mambo walisema kuwa hiyo ilitokana na yeye Kutokuwa na uelewa mpana wa elimu. Nimeona, nisimulie hayo machache ya mzee Mwinyi, yenye mapungufu ili vijana wasije wakasema kuwa, mzee Mwinyi alikuwa hana mapungufu, wakati nae ni binadamu.
 
Hivi ulikuwepo kweli au ulikuwa mkubwa, wakati wa, viongoz hawa? Mm naona kwa sasa hawa viongoz, wamefariki lakin wanapewa sifa nyingi sana ambazo hawakuwa nazo.Nafikir , tuweke haya, Mambo sawa, ili ukweli uwe wazi:Nikianza na huyu mzee Kitwana Kondo,Mungu amurehemu. Huyu mzee alikuwa, Mayor wa jiji la Dsm wakati wa mzee Mwinyi. Alikuwa anafuja mali za jiji la Dsm kama zake.Yaan alikuwa fisadi wa uhakika. Na hakuchukuliwa hatua kwa kuwa alikuwa, swahiba na mkwe wa, mzee Mwinyi. Hakuna kitu cha, maana, alichofanya pale jijini Dsm. Lakin baada ya awamu ya tatu kuingia na,jiji kuvunjwa, Ben Mkapa alimteua Mtu mmoja aliitwa, Charles Keenja kuchukua nafasi ya Kitwana Kondo. Keenja, alifanya, mambo makubwa, mfano ujenz wa, shule ya Benjamin Mkapa. Watu wengi walishangaa sana kuona kwamba, jiji lina mapato hata, ya, kujenga shule ya secondary. Utaona wakati wa Kitwana Kondo hakuna kilichokuwa kinabaki. Jiji lilikuwa halina pesa. Kwa ufupi Kitwana Kondo aliogopeka sana kwa, kuwa, ya uhusiano na mzee Rukusa. Na sidhani kama huyu mzee alikuwa na elimu ya, maana. Profesa Kighoma Malima:Huyu alikuwa msomi na mhadhiri wa chuo Kikuu cha Dsm, na alibobea kwenye uchumi. Mtoto wake ni mkuu wa, mkoa wa mkoa kwa sasa, anaitwa Adamu Malima. Profesa Malima alikuwa wazir wa, fedha, na naibu akawa Kikwete wakati wa mzee Mwinyi. Inasemekana, Professor alikwapua mapesa ya kutosha kutoka hazina na kuyatupia account moja pale uingereza. Dhumuni kubwa alitaka aanzishe chama chake ili aingie kwenye uchaguzi 1995.Na alitaka Kushida.Na alitaka pia kuanzishwa radio yake ambayo ingesaidia sana Kukitangaza, chama chake. Redio yake ingekuwa pale Kisarawe. Na chama hiki kilikuwa chama cha siasa chenye mlengo wa kiitikadi. Yaan Professor huyu mtizamo wake ni kama Zito Kwabwe. Lakin taarifa zake zilipenyezwa, na JK wa msoga, kwa serikali ya mzee Mwinyi na taarifa hiz, zikamfikia JK wa butiama. Ile pesa taakriban trillion kadhaa kule bank za kigen zikawa blocked kwenye account yake. Professor alipofika kule UK akiwa njian kwenda kuhiji huko Maka, aliangalia salio likasoma zero. Na yeye hukawa, mwisho wake. Kwa hiyo mm sikumuona kama kiongoz mzur kwa kuwa, alifanya ufisadi mkubwa kwa ubinafsi. Sasa, nije kwa mzee Mwinyi marehemu. Huyu mzee amesifiwa sana lakin pia alikuwa na mabaya yake. Kwanza:Mzee huyu aliuza sehemu ya mbuga ya Loliondo kule Arusha kwa, waarabu. Hii ilileta Malalamiko mengi sana. Na ulikuwa ufisadi mkubwa sana kipindi hicho, na ilikuwa hot news kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Pili:Mzee huyu alikuwa anatorosha nyara za serikali, kwa kushirikiana na mke wake mama siti Mwinyi. Itakumbukwa wakati huo Naibu wazir mkuu na wazir wa, Mambo ya ndani marehemu Mrema alikamata nyara hizo pale uwanja wa wa ndege Dsm mwaka 1991 ,lakin mara moja akataarifiwa kuwa huo ni mzigo wa rais na mke wake. Taarifa hiz zilienea sana, kwenye vyombo vya habari. Mzee Mrema hakaruhusu huo mzigo uendelee na safari. Tatu:Kulikuwa na taarifa kuwa, wakati wa, utawala wa mzee huyu nchi iliongozwa na mkewe mama Siti. Ilisemekana kwamba, mambo mengi yalikuwa yanaamuliwa na mama Siti Mwinyi. Kuna taarifa pia ilisikika kuwa vyombo vya ulinz vya wakati huo viliwakamata, wauza madawa ya kulevya, na kuwaweka ndani. Lakin waliitwa na kupewa maagizo na mama Siti, kuwa wawaachie mara, moja. Inasemekana, kuwa JWT walifika kwa mwalimu butiama na kuomba, ruhusa ili wachukue nchi. Lakin mwalimu alikataa. Na hata kuna hotuba za mwalimu, zilisema nchi haiwez kutawaliwa kwa kutumia mke. Nne, katika utawala wa mzee Mwinyi ndio kipindi ambacho kampuni ya Mohammed enterprise iliyokuwa inaingiza mchele mbovu kutoka nje ya nchi. Kampuni hii ambayo ni ya baba yake MO,inasemekana kuna Mambo ya uchafu mwingi ilifanya.Mwisho, Mwinyi ndie rais akiyekataa kuwa mkuu wa UDSM. Wachunguz wa Mambo walisema kuwa hiyo ilitokana na yeye Kutokuwa na uelewa mpana wa elimu. Nimeona, nisimulie hayo machache ya mzee Mwinyi, yenye mapungufu ili vijana wasije wakasema kuwa, mzee Mwinyi alikuwa hana mapungufu, wakati nae ni binadamu.
Hakika wewe ulikuwa unasoma gazeti linaitwa Mfanyakazi au Motomoto. Waandishi akina Stan Katabalo. Sasa vijana wa leo watayajulia wapi haya wakati waandishi ndio hawa akina Millard Ayo, Baba Levo na Mwijaku?
 
Hawa Viongozi Watatu niliwakubali sana katika Utumishi

Kupitia Wao niliweza kuuona Wema wa ndugu zetu Waislamu

Kuchafuana kisiasa kupo lakini hawa walijua maana ya Kuongoza Watu

Sikushangaa Waziri Hamza aliposema Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar alikuwa anakwenda yeye mwenyewe binafsi masokoni kukagua bei za bidhaa Wananchi wasionewe na kudhulumiwa

Katika Viongozi wa sasa huwezi kupata mfano wa Watatu hawa, kwanza Viongozi wa Leo hawana hofu ya Mungu kabisa

Mlale Unono 😀
Siamini hadi aje Mohamed Said. Hasa hapo kwa Prof. Kighoma Ali Malima na KK
 
Ni kweli alikuwa mcha Mungu. Na alifata maandiko "jicho Kwa jicho" " aliyeua naye auawe". Waliohukumiwa kifo na mahakama wote alisaini wanyongwe. Hakuna aliyesalimika.
Ni kweli alikuwa mcha Mungu aliyeqauzia watu wa imani yake kipande cha ardhi ya Tanganyika
 
Hivi ulikuwepo kweli au ulikuwa mkubwa, wakati wa, viongoz hawa? Mm naona kwa sasa hawa viongoz, wamefariki lakin wanapewa sifa nyingi sana ambazo hawakuwa nazo.Nafikir , tuweke haya, Mambo sawa, ili ukweli uwe wazi:Nikianza na huyu mzee Kitwana Kondo,Mungu amurehemu. Huyu mzee alikuwa, Mayor wa jiji la Dsm wakati wa mzee Mwinyi. Alikuwa anafuja mali za jiji la Dsm kama zake.Yaan alikuwa fisadi wa uhakika. Na hakuchukuliwa hatua kwa kuwa alikuwa, swahiba na mkwe wa, mzee Mwinyi. Hakuna kitu cha, maana, alichofanya pale jijini Dsm. Lakin baada ya awamu ya tatu kuingia na,jiji kuvunjwa, Ben Mkapa alimteua Mtu mmoja aliitwa, Charles Keenja kuchukua nafasi ya Kitwana Kondo. Keenja, alifanya, mambo makubwa, mfano ujenz wa, shule ya Benjamin Mkapa. Watu wengi walishangaa sana kuona kwamba, jiji lina mapato hata, ya, kujenga shule ya secondary. Utaona wakati wa Kitwana Kondo hakuna kilichokuwa kinabaki. Jiji lilikuwa halina pesa. Kwa ufupi Kitwana Kondo aliogopeka sana kwa, kuwa, ya uhusiano na mzee Rukusa. Na sidhani kama huyu mzee alikuwa na elimu ya, maana. Profesa Kighoma Malima:Huyu alikuwa msomi na mhadhiri wa chuo Kikuu cha Dsm, na alibobea kwenye uchumi. Mtoto wake ni mkuu wa, mkoa wa mkoa kwa sasa, anaitwa Adamu Malima. Profesa Malima alikuwa wazir wa, fedha, na naibu akawa Kikwete wakati wa mzee Mwinyi. Inasemekana, Professor alikwapua mapesa ya kutosha kutoka hazina na kuyatupia account moja pale uingereza. Dhumuni kubwa alitaka aanzishe chama chake ili aingie kwenye uchaguzi 1995.Na alitaka Kushida.Na alitaka pia kuanzishwa radio yake ambayo ingesaidia sana Kukitangaza, chama chake. Redio yake ingekuwa pale Kisarawe. Na chama hiki kilikuwa chama cha siasa chenye mlengo wa kiitikadi. Yaan Professor huyu mtizamo wake ni kama Zito Kwabwe. Lakin taarifa zake zilipenyezwa, na JK wa msoga, kwa serikali ya mzee Mwinyi na taarifa hiz, zikamfikia JK wa butiama. Ile pesa taakriban trillion kadhaa kule bank za kigen zikawa blocked kwenye account yake. Professor alipofika kule UK akiwa njian kwenda kuhiji huko Maka, aliangalia salio likasoma zero. Na yeye hukawa, mwisho wake. Kwa hiyo mm sikumuona kama kiongoz mzur kwa kuwa, alifanya ufisadi mkubwa kwa ubinafsi. Sasa, nije kwa mzee Mwinyi marehemu. Huyu mzee amesifiwa sana lakin pia alikuwa na mabaya yake. Kwanza:Mzee huyu aliuza sehemu ya mbuga ya Loliondo kule Arusha kwa, waarabu. Hii ilileta Malalamiko mengi sana. Na ulikuwa ufisadi mkubwa sana kipindi hicho, na ilikuwa hot news kwenye vyombo mbalimbali vya habari. Pili:Mzee huyu alikuwa anatorosha nyara za serikali, kwa kushirikiana na mke wake mama siti Mwinyi. Itakumbukwa wakati huo Naibu wazir mkuu na wazir wa, Mambo ya ndani marehemu Mrema alikamata nyara hizo pale uwanja wa wa ndege Dsm mwaka 1991 ,lakin mara moja akataarifiwa kuwa huo ni mzigo wa rais na mke wake. Taarifa hiz zilienea sana, kwenye vyombo vya habari. Mzee Mrema hakaruhusu huo mzigo uendelee na safari. Tatu:Kulikuwa na taarifa kuwa, wakati wa, utawala wa mzee huyu nchi iliongozwa na mkewe mama Siti. Ilisemekana kwamba, mambo mengi yalikuwa yanaamuliwa na mama Siti Mwinyi. Kuna taarifa pia ilisikika kuwa vyombo vya ulinz vya wakati huo viliwakamata, wauza madawa ya kulevya, na kuwaweka ndani. Lakin waliitwa na kupewa maagizo na mama Siti, kuwa wawaachie mara, moja. Inasemekana, kuwa JWT walifika kwa mwalimu butiama na kuomba, ruhusa ili wachukue nchi. Lakin mwalimu alikataa. Na hata kuna hotuba za mwalimu, zilisema nchi haiwez kutawaliwa kwa kutumia mke. Nne, katika utawala wa mzee Mwinyi ndio kipindi ambacho kampuni ya Mohammed enterprise iliyokuwa inaingiza mchele mbovu kutoka nje ya nchi. Kampuni hii ambayo ni ya baba yake MO,inasemekana kuna Mambo ya uchafu mwingi ilifanya.Mwisho, Mwinyi ndie rais akiyekataa kuwa mkuu wa UDSM. Wachunguz wa Mambo walisema kuwa hiyo ilitokana na yeye Kutokuwa na uelewa mpana wa elimu. Nimeona, nisimulie hayo machache ya mzee Mwinyi, yenye mapungufu ili vijana wasije wakasema kuwa, mzee Mwinyi alikuwa hana mapungufu, wakati nae ni binadamu.
......wakamuua Dr Fupi iili mchele mbovu uuzwe kukosa ushahidi....wakamuua Stan Katabalo alieþufumbua macho loliondo kuuzwa....
 
Hawa Viongozi Watatu niliwakubali sana katika Utumishi

Kupitia Wao niliweza kuuona Wema wa ndugu zetu Waislamu

Kuchafuana kisiasa kupo lakini hawa walijua maana ya Kuongoza Watu

Sikushangaa Waziri Hamza aliposema Mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar alikuwa anakwenda yeye mwenyewe binafsi masokoni kukagua bei za bidhaa Wananchi wasionewe na kudhulumiwa

Katika Viongozi wa sasa huwezi kupata mfano wa Watatu hawa, kwanza Viongozi wa Leo hawana hofu ya Mungu kabisa

Mlale Unono
Tayari dish limeshayumba
 
Back
Top Bottom