Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,796
- 7,001
- Thread starter
- #41
Hayo yote unayoongea kuhusu raiya kuuliwa niuropokajitu, hakuna ushahidi wowote unao endana na huo uropokaji.Usisahau kuwa ndiye mtu aliyeua raia wake na kuwateka kila walipomkosoa. Alinunua ndege kifisafi na kuamua kuliweka shirika chini i ofisi yake kukwepa uchunguzi. Vivyo hivyo alifanya kwenye kivuko kwa kukiweka chini ya jeshi kukwepa uchunguzi. 1.5 tr mpaka leo haijulikana ilipo
Kuhusu ndege kama alinunua kifisadi wengine walishindwa nini kununua kifisadi kwa miaka 60, tangu tupate uhuru.
Hiyo meli imenunuliwa kipindi ambacho yeye hakuwa na mamlaka ya kuagiza meli mojakwamoja bila kupata muongozo, kwahiyo kusema aliificha ni upuuzi.
Mnamwita mwizi iliwananchi wamchukie, badalayake mnapataaibutu nakuendelea kulialia huku kwenye mitandao na ID feck.
Amini nakuambia hakuna mtanzania yoyote ambae kwa sasa anaweza kuitisha mkutano wa hadhara alafu akajaribu kuongea huoujinga kwamba Magu alikuwa mwizi.
Wezi tunawajua nao wanajujua.