Hayati Magufuli miaka mitano kama 15

Hayati Magufuli miaka mitano kama 15

Hakuna lolote. Sisi tuliona speed ya mauwaji na kupigwa watu risasi. Kutekana na kupotea watu.

Sasa Tanzania kuna amani sana
 
Kila nikikumbuka nilivyolamba hasara kwenye korosho wakati huo huo nimefukuzwa udereva baada ya miaka 9 kazini eti sina vyeti! Ngoja niishie hapa nisije mkosea muumba wangu.
 
We lazima utakuwa mchawi, watu kwa mamillon wamemlili na kumuombea pumziko la milele we unashangilia.!!.
Kamuulize yule tajiri kuwa alimwambia Nini Lazaro masikini.

Lile shetani lenu linaungua huko jehanamu.
 
Kila nikikumbuka nilivyolamba hasara kwenye korosho wakati huo huo nimefukuzwa udereva baada ya miaka 9 kazini eti sina vyeti! Ngoja niishie hapa nisije mkosea muumba wangu.
Ndio ukasome mkuu upate vyeti elimu haina mwisho.
 
Ata Hilter , Amin, Sadaam walijenga madaraja wakanunua mandege lakini havikuwafanya wawe watu wazuri. Legacy Haiji hivyo.
 
Kamuulize yule tajiri kuwa alimwambia Nini Lazaro masikini.

Lile shetani lenu linaungua huko jehanamu.
Hayo ni mahasira tu na stress, nani alikuambia usisome, wenzako wanasoma we unataka shortcut kwa kubumba vyeti, jutia ujingawako mkuu.
 
Usisahau kuwa ndiye mtu aliyeua raia wake na kuwateka kila walipomkosoa.

Alinunua ndege kifisafi na kuamua kuliweka shirika chini i ofisi yake kukwepa uchunguzi.

Vivyo hivyo alifanya kwenye kivuko kwa kukiweka chini ya jeshi kukwepa uchunguzi. 1.5 tr mpaka leo haijulikana ilipo
 
Mtu akifa na akawa bado anazungumzwa sana ina maana alifanya mambo makubwa kwa sababu kwa asili binadamu husahau haraka waliokwishakufa na ambao hawakuchangia chochote katika maisha ya walio hai.

Tuseme ukweli jinsi watu wanahangaika kumzungumzia Magu si kwa kiwango sawa na Marais wenzake waliokwishakufa.

This guy was special
Ukiwa muovu kama Jiwe jua utazungumziwa milele. Siyo rahisi kwa binadamu kusahau maovu ila wema unasahaulika mapema
 
Mzee mwinyi aliwahi kumsifia mwenye akiwa hai,Mimi na wewe nani tuache kupeleka pongezi kwa Yale na muda ule.
 
Hayati Magu miaka mitano kama 15.
Spidi ya maendeleo aliyokuwa anaendanayo Hayati magu kwa miaka mitano ukilinganisha na miaka ya nyuma kabla hajawa Rais,unaweza kudhani alikaa miaka 10.

Nitataja kwa uchache nawewe utaongezea kwa sauti ama kimya kimya.

1, Kuweka nidhamu kwa watumishi, yani mtumishi wauma alijuwa wazi akiharibu kinacho fuata ni kupoteza kazi.

2, Kuanzisha mradi mkubwa wa umeme.
Pamoja na figisu fugisu kutoka kwa mabeberu na mawakalawao lakini Jembe alikomaa na tukaanza ujenzi wa bwawa.
Wote tuna fahamu mizengwe iliyokuwa inawekwa,mara tunaharibu misitu,mara urithi wa dunia,na ujingaujinga mwingine mwingi lakini jembe alifumba macho na kuchukua maamuzi kama kiongozi na kazi inaendelea.

Miundo mbinu, flyivers madaraja kama Tanzanite,Busisi,na Wami.

Ununuzi wa ndege,na ujenzi wa viwanja vya ndege.
SGR na mengine mengi, yanaonyesha spidi yake katika kukuza uchumi wanchi ilikuwa kubwa sana ukilinganisha na tulivyo zoea miaka ya nyuma.

Kwamfano miaka iliyopita kuanzia Mkapa, tunaona maendeleo yake kwa miaka kumi kwa vitu vinavyoonekana kirahisi ni Daraja la Mpkapa kusini, na uwanja wampira Taifa.

Kwa mzee Kikwete maendeleo yanayoonekana kirahisi ni Ujenzi wa barabara nchi nzima kwa usimamizi wa Hayati Magu na daraja la Nyerere kigamboni.

Sasa ukihesabu miradi ya magu utaona ni mingi na mikubwa mara 20 kwa miradi iliyo anzishwa na wenzake hao wawili kwa miaka 20.

Kuna watu wanaumiza vichwa saizi jinsi ya kwenda na speed yake japo amesha kufa.
Bila kusahau msala aliotuachia wa madeni makubwa sana. Alikaa miaka mitano tu lakini pesa aliokopa ni zaidi ya Kikwete aliyekaa miaka kumi ukichanganya na ya Mkapa aliyekaa naye miaka kumi . na ukichanganya na ya Mwinyi naye alikaa miaka kumi ukijumlisha na ya Nyerere aliyekaa miaka 30

Yule jamaa kama angekaa mkaka 15 angeiuza hii nchi maana kule si kukopa ni KUUZA NCHI
 
Hayati Magu miaka mitano kama 15.
Spidi ya maendeleo aliyokuwa anaendanayo Hayati magu kwa miaka mitano ukilinganisha na miaka ya nyuma kabla hajawa Rais,unaweza kudhani alikaa miaka 10.

Nitataja kwa uchache nawewe utaongezea kwa sauti ama kimya kimya.

1, Kuweka nidhamu kwa watumishi, yani mtumishi wauma alijuwa wazi akiharibu kinacho fuata ni kupoteza kazi.

2, Kuanzisha mradi mkubwa wa umeme.
Pamoja na figisu fugisu kutoka kwa mabeberu na mawakalawao lakini Jembe alikomaa na tukaanza ujenzi wa bwawa.
Wote tuna fahamu mizengwe iliyokuwa inawekwa,mara tunaharibu misitu,mara urithi wa dunia,na ujingaujinga mwingine mwingi lakini jembe alifumba macho na kuchukua maamuzi kama kiongozi na kazi inaendelea.

Miundo mbinu, flyivers madaraja kama Tanzanite,Busisi,na Wami.

Ununuzi wa ndege,na ujenzi wa viwanja vya ndege.
SGR na mengine mengi, yanaonyesha spidi yake katika kukuza uchumi wanchi ilikuwa kubwa sana ukilinganisha na tulivyo zoea miaka ya nyuma.

Kwamfano miaka iliyopita kuanzia Mkapa, tunaona maendeleo yake kwa miaka kumi kwa vitu vinavyoonekana kirahisi ni Daraja la Mpkapa kusini, na uwanja wampira Taifa.

Kwa mzee Kikwete maendeleo yanayoonekana kirahisi ni Ujenzi wa barabara nchi nzima kwa usimamizi wa Hayati Magu na daraja la Nyerere kigamboni.

Sasa ukihesabu miradi ya magu utaona ni mingi na mikubwa mara 20 kwa miradi iliyo anzishwa na wenzake hao wawili kwa miaka 20.

Kuna watu wanaumiza vichwa saizi jinsi ya kwenda na speed yake japo amesha kufa.
JPM ukiacha manyanyaso kwa Wananchi wa Kimara, Watumishi na wafanyabiashara kupitia wateule wake, alikuwa mtu poa sana.
 
Wakoloni wa kijerumani walijenga reli kutoka kigoma hadi tabora! Kutoka mwanza hadi tabora na ikaunganishwa hadi dar es salam wakiwa wanakabiliwa na mapigano mbalimbali na wenyeji pia WWI! Kwa miaka 6 tu! Wakati huo hawana teknolojia na educated manpower kama ilivyo sasa! Nyie miaka 8 sasa hata moro haijatoboa? Halaf mnasimama mbele ya wanaume mnajinasifu na huyo mfu wenu! Achen mambo ya kipumbavu bhana!
 
Kuna ene la makaburi linauzwa chato, wahi kiwanja ulale jirani na mwizi, muuaji wa Ben Saa
Ben Sa nane si kama raia tuu wengine wanao kufa kila siku...
Ye nani azungumzwe ma huku tuna Ma prof na Ma dkt wazuri tuu msaada kwenye jamii hawazungumzwi.
Au saanane alikuwa nakula kijambio chako
 
Hayati Magu miaka mitano kama 15.
Spidi ya maendeleo aliyokuwa anaendanayo Hayati magu kwa miaka mitano ukilinganisha na miaka ya nyuma kabla hajawa Rais,unaweza kudhani alikaa miaka 10.

Nitataja kwa uchache nawewe utaongezea kwa sauti ama kimya kimya.

1, Kuweka nidhamu kwa watumishi, yani mtumishi wauma alijuwa wazi akiharibu kinacho fuata ni kupoteza kazi.

2, Kuanzisha mradi mkubwa wa umeme.
Pamoja na figisu fugisu kutoka kwa mabeberu na mawakalawao lakini Jembe alikomaa na tukaanza ujenzi wa bwawa.
Wote tuna fahamu mizengwe iliyokuwa inawekwa,mara tunaharibu misitu,mara urithi wa dunia,na ujingaujinga mwingine mwingi lakini jembe alifumba macho na kuchukua maamuzi kama kiongozi na kazi inaendelea.

Miundo mbinu, flyivers madaraja kama Tanzanite,Busisi,na Wami.

Ununuzi wa ndege,na ujenzi wa viwanja vya ndege.
SGR na mengine mengi, yanaonyesha spidi yake katika kukuza uchumi wanchi ilikuwa kubwa sana ukilinganisha na tulivyo zoea miaka ya nyuma.

Kwamfano miaka iliyopita kuanzia Mkapa, tunaona maendeleo yake kwa miaka kumi kwa vitu vinavyoonekana kirahisi ni Daraja la Mpkapa kusini, na uwanja wampira Taifa.

Kwa mzee Kikwete maendeleo yanayoonekana kirahisi ni Ujenzi wa barabara nchi nzima kwa usimamizi wa Hayati Magu na daraja la Nyerere kigamboni.

Sasa ukihesabu miradi ya magu utaona ni mingi na mikubwa mara 20 kwa miradi iliyo anzishwa na wenzake hao wawili kwa miaka 20.

Kuna watu wanaumiza vichwa saizi jinsi ya kwenda na speed yake japo amesha kufa.
MBONA ALIISHIWA PUMZI? NA ANGEKUWEPO ANGEIKIMBIA WAZUNGU WALIKUWA WAMEGOMA KUTOA MISAADA NA MIKOPO ndio maana Mama anaenda kuwabembeleza

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hayati Magu miaka mitano kama 15.
Spidi ya maendeleo aliyokuwa anaendanayo Hayati magu kwa miaka mitano ukilinganisha na miaka ya nyuma kabla hajawa Rais,unaweza kudhani alikaa miaka 10.

Nitataja kwa uchache nawewe utaongezea kwa sauti ama kimya kimya.

1, Kuweka nidhamu kwa watumishi, yani mtumishi wauma alijuwa wazi akiharibu kinacho fuata ni kupoteza kazi.

2, Kuanzisha mradi mkubwa wa umeme.
Pamoja na figisu fugisu kutoka kwa mabeberu na mawakalawao lakini Jembe alikomaa na tukaanza ujenzi wa bwawa.
Wote tuna fahamu mizengwe iliyokuwa inawekwa,mara tunaharibu misitu,mara urithi wa dunia,na ujingaujinga mwingine mwingi lakini jembe alifumba macho na kuchukua maamuzi kama kiongozi na kazi inaendelea.

Miundo mbinu, flyivers madaraja kama Tanzanite,Busisi,na Wami.

Ununuzi wa ndege,na ujenzi wa viwanja vya ndege.
SGR na mengine mengi, yanaonyesha spidi yake katika kukuza uchumi wanchi ilikuwa kubwa sana ukilinganisha na tulivyo zoea miaka ya nyuma.

Kwamfano miaka iliyopita kuanzia Mkapa, tunaona maendeleo yake kwa miaka kumi kwa vitu vinavyoonekana kirahisi ni Daraja la Mpkapa kusini, na uwanja wampira Taifa.

Kwa mzee Kikwete maendeleo yanayoonekana kirahisi ni Ujenzi wa barabara nchi nzima kwa usimamizi wa Hayati Magu na daraja la Nyerere kigamboni.

Sasa ukihesabu miradi ya magu utaona ni mingi na mikubwa mara 20 kwa miradi iliyo anzishwa na wenzake hao wawili kwa miaka 20.

Kuna watu wanaumiza vichwa saizi jinsi ya kwenda na speed yake japo amesha kufa.
mambo yaliyofanywa na awamu ya 5.....Orodha ni ndefu ila haya kwa uchache.

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi julai
29. Ajira kila mwaka
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka
34. Aliwagomea CCM na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.
 
Back
Top Bottom