Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 313
- 533
Wakuu,
Yani katika vitu Magufuli alitukosea sana kama watanzania ni kuua upinzani kitu ambacho kinafanywa kwa muendelezo mpaka sasa.
Kitu kingine ni kumteua Samuya kama makamu wake asee hapa alitukosea mnooo.
Alikua Rais mzuri aliyependwa na kila mtu lakini katika uchaguzi mkuu wa 2020 alipata kura mil 12 na hapo za wizi zikiwemo.
Njoo kwa Samuya sasa ambae hapendwi ht na sisimizi, muitikio wa wapiga kura wote tulishuhudia lkn ajabu et kashinda kwa kura mil 31.
Hii dhambi na laana itawatafuna wote walioshiriki katika wizi huu karne na karne.
Magu umelala ila tambua Tanzania umetuachia msala.
Yani katika vitu Magufuli alitukosea sana kama watanzania ni kuua upinzani kitu ambacho kinafanywa kwa muendelezo mpaka sasa.
Kitu kingine ni kumteua Samuya kama makamu wake asee hapa alitukosea mnooo.
Alikua Rais mzuri aliyependwa na kila mtu lakini katika uchaguzi mkuu wa 2020 alipata kura mil 12 na hapo za wizi zikiwemo.
Njoo kwa Samuya sasa ambae hapendwi ht na sisimizi, muitikio wa wapiga kura wote tulishuhudia lkn ajabu et kashinda kwa kura mil 31.
Hii dhambi na laana itawatafuna wote walioshiriki katika wizi huu karne na karne.
Magu umelala ila tambua Tanzania umetuachia msala.