Hayati Magufuli alijenga barabara zipi kwa Miaka 5 aliyokuwa Rais ikiwa mikoa zaidi ya 15 haijaunganishwa na lami?

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,586
14,138
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na bila shaka Kazi inaendelea..

Marehemu Mwendazake alikuwa Rais wa awamu ya 5 aliyejaa Tambo za kila aina akijisifia kujenga Barabara nk..

Lakini cha kushangaza kwa miaka 5 aliyokaa madarakani alishindwa kabisa kumalizia Kazi nzuri ya Rais Kikwete ya Kuunganisha Mikoa yote kwa barabara za lami lakini alikuwa anatamba na wapambe wake wakijipiga kifua kwa kumuita baba wa miundombinu na kuchaguzwa na kauli ya kishindo Cha awamu ya 5..

Nimejaribu kutafuta barabara alizokamilisha Magufuli kwa miaka yake kama Rais sijaona popote isipokuwa barabara moja tuu ya Mpanda hadi Tabora na vile vi flyover uchwara ya Dar vilivyogharimu.pesa nyingi huku vikiwa vya kiwango duninukilinganishwa na wenzetu..

Just imagine hadi leo hii Mikoa zaidi ya 15 Haijaunganishwa na Lami na majuzi tuliona Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi la Barabara kadhaa na kuzindua zingine nakumbuka Mwendazake alikuwa akifanya maigizo ya kuzindua barabara zikizokamilika toka awamu ya 4 kama Dodoma-Iringa,Dodoma-Babati,Sumbawawanga-Tunduma na nyingine nyingi kule Kusini.

Mikoa ifuatayo hadi tunaongea hivi Haijaunganishwa Kwa lami na Magufuli alivyoipokea ndivyo aliiacha watu wakiogelea kwenye mavumbi..

1. Njombe-Morogoro,
2. Mbeya-Tabora,
3. Mbeya-Singida,
4. Rukwa-Katavi/Mpanda,
5. Katavi-Kigoma,
6. Kigoma-Kagera,
7. Kigoma-Geita,
8. Manyara-Simiyu-Singida(mbunge alipiga sarakasi),
9. Arusha-Simiyu,
10. Arusha-Mara/Musoma,
11. Dodoma-Manyara-Tanga,
12. Morogoro-Ruvuma/Songea,
13. Morogoro-Lindi,
14. Lindi-Ruvuma/Songea,
15. Tabora-Kigoma,
16. Mbeya-Njombe.

Swali..

Magufuli wa kujimwambafy alijenga Barabara zipi? 👇

Screenshot_20221021-082932.png
Screenshot_20221020-185119.png
Screenshot_20221020-184927.png
Screenshot_20221020-185010.png
Screenshot_20221020-185044.png
Screenshot_20221020-174735.png
Screenshot_20221020-174510.png
Screenshot_20221015-225314.png
Screenshot_20221015-225020.png
Screenshot_20221020-185154.png
 
Jambo la wazi ni kwamba JPM, alikuwa rais kupitia chama chake. na ni chama hicho hicho kimekuwepo madarakani tangu uhuru. Naona ni busara kukiuliza chama chake kwani bado kipo, na marehemu hayupo.
MUHIMU HUYU NDIYE RAIS PEKEE ALIYE WEZA KUPAMBANA NA RUSHWA NA MAFISADI KWENYE SERIKALI YAKE. TUMKUMBUKE KWENYE HILO.
 
Push Gang watakuja na Legacy ya Konyo.
Yule Rais alikuwa na hekaheka nyingi za propaganda na pilka zisizo na msingi lakini actual on ground hakuna..

Imagine hadi stand ya Magufuli aliyozindua haikukamilika hadi leo hii.

As we speak alianzisha miradi ila hajuwahi kukamilisha mradi wowote yaani anashika pale na pale na pale ilimradi apate kitu cha kuonekana..

Tulikuwa na Rais mpuuzi kuwahi tokea.
 
Push Gang watakuja na Legacy ya Konyo.
Na cha kufurahisha zaidi ni kwamba, 75% ya yale wanayotaka kutuaminisha yamefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kutekeleza tu mipango ambayo ilikuwa tayari kabla yake!

Kuna wakati hapa nilisema wazi kwamba JK alimtaka JPM kwa sababu alifahamu JPM ni Foreman hodari! Hata umchukie vipi, lazima mtu atakubali kwamba JPM ni msimamizi mzuri sana... na ndicho alikitaka JK ili yale aliyokuwa ameyaanzisha yaweze kutekelezwa...

Kwa mfano, JPM anasifiwa flyovers wakati ni mradi ambao aliukuta...

Tanzanite Bridge ni mradi ambao alikuta hatua za mwanzo zimekamilika...

Wapo wanaomsifia hadi Mwendokasi Kilwa Rd wakati it's the same project iliyoanzia Morogoro Rd!!

Barabara za Dar es salaam pamoja na masoko vyote vipo chini ya Dar es salaam Metropolitan Development Project ambayo pesa zake zilitoka May 2015!

Mifano ipo mingi lakini ukijaribu kuweka kumbukumbu sawa, watakuambia una chuki na JPM na wale Wapumbavu zaidi na kukutukana watakutukana kwa sababu wanataka kutuaminisha vinginevyo!!

Anyway, bila kujali kama mradi husika ni mzuri au hapana lakini JPM ana credit zake kwenye Bwawa la Nyerere, Ndege, na SGR manake ingawaje SGR alikuta kila kitu kipo tayari lakini alibadili funding ingawakje haikuwa jambo la afya sana!

Kinyume na hapo, miradi mingine tunayoaminishwa imefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kuendeleza tu walipoachia wenzake!

Huo ndo ukweli mchungu ambao hawataki kabisa kuusikia!
 
Na cha kufurahisha zaidi ni kwamba, 75% ya yale wanayotaka kutuaminisha yamefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kutekeleza tu mipango ambayo ilikuwa tayari kabla yake!

Kuna wakati hapa nilisema wazi kwamba JK alimtaka JPM kwa sababu alifahamu JPM ni Foreman hodari! Hata umchukie vipi, lazima mtu atakubali kwamba JPM ni msimamizi mzuri sana... na ndicho alikitaka JK ili yale aliyokuwa ameyaanzisha yaweze kutekelezwa...

Kwa mfano, JPM anasifiwa flyovers wakati ni mradi ambao aliukuta...

Tanzanite Bridge ni mradi ambao alikuta hatua za mwanzo zimekamilika...

Wapo wanaomsifia hadi Mwendokasi Kilwa Rd wakati it's the same project iliyoanzia Morogoro Rd!!

Barabara za Dar es salaam pamoja na masoko vyote vipo chini ya Dar es salaam Metropolitan Development Project ambayo pesa zake zilitoka May 2015!

Mifano ipo mingi lakini ukijaribu kuweka kumbukumbu sawa, watakuambia una chuki na JPM na wale Wapumbavu zaidi na kukutukana watakutukana kwa sababu wanataka kutuaminisha vinginevyo!!

Anyway, bila kujali kama mradi husika ni mzuri au hapana lakini JPM ana credit zake kwenye Bwawa la Nyerere, Ndege, na SGR manake ingawaje SGR alikuta kila kitu kipo tayari lakini alibadili funding ingawakje haikuwa jambo la afya sana!

Kinyume na hapo, miradi mingine tunayoaminishwa imefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kuendeleza tu walipoachia wenzake!

Huo ndo ukweli mchungu ambao hawataki kabisa kuusikia!
Kazi yake alikuwa anaanzisha tuu na kushika kila mahala bila kukamilisha kitu?

Huu ni Uchumi wa wapi?
 
Jambo la wazi ni kwamba JPM, alikuwa rais kupitia chama chake. na ni chama hicho hicho kimekuwepo madarakani tangu uhuru. Naona ni busara kukiuliza chama chake kwani bado kipo, na marehemu hayupo.
MUHIMU HUYU NDIYE RAIS PEKEE ALIYE WEZA KUPAMBANA NA RUSHWA NA MAFISADI KWENYE SERIKALI YAKE. TUMKUMBUKE KWENYE HILO.
Angalau wewe umefikiri kwa kichwa. Mtoa ajenda amefikiri tundu la majitaka.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na bila shaka Kazi inaendelea..

Marehemu Mwendazake alikuwa Rais wa awamu ya 5 aliyejaa Tambo za kila aina akijisifia kujenga Barabara nk..

Lakini cha kushangaza kwa miaka 5 aliyokaa madarakani alishindwa kabisa kumalizia Kazi nzuri ya Rais Kikwete ya Kuunganisha Mikoa yote kwa barabara za lami lakini alikuwa anatamba na wapambe wake wakijipiga kifua kwa kumuita baba wa miundombinu na kuchaguzwa na kauli ya kishindo Cha awamu ya 5..

Nimejaribu kutafuta barabara alizokamilisha Magufuli kwa miaka yake kama Rais sijaona popote isipokuwa barabara moja tuu ya Mpanda hadi Tabora na vile vi flyover uchwara ya Dar vilivyogharimu.pesa nyingi huku vikiwa vya kiwango duninukilinganishwa na wenzetu..

Just imagine hadi leo hii Mikoa zaidi ya 15 Haijaunganishwa na Lami na majuzi tuliona Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi la Barabara kadhaa na kuzindua zingine nakumbuka Mwendazake alikuwa akifanya maigizo ya kuzindua barabara zikizokamilika toka awamu ya 4 kama Dodoma-Iringa,Dodoma-Babati,Sumbawawanga-Tunduma na nyingine nyingi kule Kusini.

Mikoa ifuatayo hadi tunaongea hivi Haijaunganishwa Kwa lami na Magufuli alivyoipokea ndivyo aliiacha watu wakiogelea kwenye mavumbi..

1. Njombe-Morogoro,
2. Mbeya-Tabora,
3. Mbeya-Singida,
4. Rukwa-Katavi/Mpanda,
5. Katavi-Kigoma,
6. Kigoma-Kagera,
7. Kigoma-Geita,
8. Manyara-Simiyu-Singida(mbunge alipiga sarakasi),
9. Arusha-Simiyu,
10. Arusha-Mara/Musoma,
11. Dodoma-Manyara-Tanga,
12. Morogoro-Ruvuma/Songea,
13. Morogoro-Lindi,
14. Lindi-Ruvuma/Songea,
15. Tabora-Kigoma,
16. Mbeya-Njombe.

Swali..

Magufuli wa kujimwambafy alijenga Barabara zipi?
Mahitaji ya binadamu siyo barabara tu.
Magufuli JP, alifanya mambo mengi sana ila kwa sababu ya ushabiki unaweza usiyaone.
Miongoni mwa mambo hayo ni:-
(1) Kuongeza uwajibikaji katika vituo vya kazi.( Mfano: afya, elimu, nk.).
(2) Kuondoa michango kandamizi mashuleni.
(3) Kurekebisha mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali.
(4) Kuimarisha ulinzi na usalama( kabla uvamizi wa polisi na vituo vya polisi ulishamiri, mauaji ya kibiti, nk. Yeye aliyakomesha).
(5) Kuanzisha miradi mingine na kumalizia baadhi ya miradi.
NB
Tuwe na utamaduni wa kutaja mazuri ya mtu licha ya madhaifu machache anayoonesha( Kwasababu, sarafu ina pande tatu).
 
Mahitaji ya binadamu siyo barabara tu.
Magufuli JP, alifanya mambo mengi sana ila kwa sababu ya ushabiki unaweza usiyaone.
Miongoni mwa mambo hayo ni:-
(1) Kuongeza uwajibikaji katika vituo vya kazi.( Mfano: afya, elimu, nk.).
(2) Kuondoa michango kandamizi mashuleni.
(3) Kurekebisha mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali.
(4) Kuimarisha ulinzi na usalama( kabla uvamizi wa polisi na vituo vya polisi ulishamiri, mauaji ya kibiti, nk. Yeye aliyakomesha).
(5) Kuanzisha miradi mingine na kumalizia baadhi ya miradi.
NB
Tuwe na utamaduni wa kutaja mazuri ya mtu licha ya madhaifu machache anayoonesha( Kwasababu, sarafu ina pande tatu).
Huko kwenye mahitaji mengine ndiko alifeli Sana kama ifuatavyo,

-Alishindwa kabisa kuleta ajira mpya,
-Alifukuza wafanyakazi wa darasa la saba kwa kisingizio cha wafanyakazi hewa,
-Alifukuza watoto waliokuwa wanasoma Udom kwa mkopo level ya diploma Ili wawe walimu wa sayansi,
-Alishindwa kabisa kukuza Kilimo,
-Alishindwa kabisa kuongeza salary na kupandisha madaraja watumishi,
-Alifikisi mifuko ya hifadhi ya jamii na kushindwa kulipa wastaafu,
-Aliua biashara na uwekezaji na Kuzalisha machinga,
-Madarasa ya watoto yalimshinda achikia mbali madawati,
-Uchumi generally ukianguka..

Hivyo vyote alifanya kwa excuses za kijinga kwamba anajenga sgr sijui Bwawa and such upuuzi..

Mbona saizi Rais Samia anafanya yote hayo na hakuna visingizio?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na bila shaka Kazi inaendelea..

Marehemu Mwendazake alikuwa Rais wa awamu ya 5 aliyejaa Tambo za kila aina akijisifia kujenga Barabara nk..

Lakini cha kushangaza kwa miaka 5 aliyokaa madarakani alishindwa kabisa kumalizia Kazi nzuri ya Rais Kikwete ya Kuunganisha Mikoa yote kwa barabara za lami lakini alikuwa anatamba na wapambe wake wakijipiga kifua kwa kumuita baba wa miundombinu na kuchaguzwa na kauli ya kishindo Cha awamu ya 5..

Nimejaribu kutafuta barabara alizokamilisha Magufuli kwa miaka yake kama Rais sijaona popote isipokuwa barabara moja tuu ya Mpanda hadi Tabora na vile vi flyover uchwara ya Dar vilivyogharimu.pesa nyingi huku vikiwa vya kiwango duninukilinganishwa na wenzetu..

Just imagine hadi leo hii Mikoa zaidi ya 15 Haijaunganishwa na Lami na majuzi tuliona Rais Samia akiweka Jiwe la Msingi la Barabara kadhaa na kuzindua zingine nakumbuka Mwendazake alikuwa akifanya maigizo ya kuzindua barabara zikizokamilika toka awamu ya 4 kama Dodoma-Iringa,Dodoma-Babati,Sumbawawanga-Tunduma na nyingine nyingi kule Kusini.

Mikoa ifuatayo hadi tunaongea hivi Haijaunganishwa Kwa lami na Magufuli alivyoipokea ndivyo aliiacha watu wakiogelea kwenye mavumbi..

1. Njombe-Morogoro,
2. Mbeya-Tabora,
3. Mbeya-Singida,
4. Rukwa-Katavi/Mpanda,
5. Katavi-Kigoma,
6. Kigoma-Kagera,
7. Kigoma-Geita,
8. Manyara-Simiyu-Singida(mbunge alipiga sarakasi),
9. Arusha-Simiyu,
10. Arusha-Mara/Musoma,
11. Dodoma-Manyara-Tanga,
12. Morogoro-Ruvuma/Songea,
13. Morogoro-Lindi,
14. Lindi-Ruvuma/Songea,
15. Tabora-Kigoma,
16. Mbeya-Njombe.

Swali..

Magufuli wa kujimwambafy alijenga Barabara zipi? 👇
morogoro to lindi
mbeya tabora
tabora kigoma
mbeya singida
manyara simiyu
🤔🤔🤔🤔😌
 
Mahitaji ya binadamu siyo barabara tu.
Magufuli JP, alifanya mambo mengi sana ila kwa sababu ya ushabiki unaweza usiyaone.
Miongoni mwa mambo hayo ni:-
(1) Kuongeza uwajibikaji katika vituo vya kazi.( Mfano: afya, elimu, nk.).
(2) Kuondoa michango kandamizi mashuleni.
(3) Kurekebisha mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali.
(4) Kuimarisha ulinzi na usalama( kabla uvamizi wa polisi na vituo vya polisi ulishamiri, mauaji ya kibiti, nk. Yeye aliyakomesha).
(5) Kuanzisha miradi mingine na kumalizia baadhi ya miradi.
NB
Tuwe na utamaduni wa kutaja mazuri ya mtu licha ya madhaifu machache anayoonesha( Kwasababu, sarafu ina pande tatu).
Mbona nyinyi wafuasi wa JPM huwa muna mponda Kikwete kwa mabaya na sikusema mazuri aliyo yafanya ikiwemo kumfanya huyo mungu wenu kuwa raisi?
 
Na cha kufurahisha zaidi ni kwamba, 75% ya yale wanayotaka kutuaminisha yamefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kutekeleza tu mipango ambayo ilikuwa tayari kabla yake!

Kuna wakati hapa nilisema wazi kwamba JK alimtaka JPM kwa sababu alifahamu JPM ni Foreman hodari! Hata umchukie vipi, lazima mtu atakubali kwamba JPM ni msimamizi mzuri sana... na ndicho alikitaka JK ili yale aliyokuwa ameyaanzisha yaweze kutekelezwa...

Kwa mfano, JPM anasifiwa flyovers wakati ni mradi ambao aliukuta...

Tanzanite Bridge ni mradi ambao alikuta hatua za mwanzo zimekamilika...

Wapo wanaomsifia hadi Mwendokasi Kilwa Rd wakati it's the same project iliyoanzia Morogoro Rd!!

Barabara za Dar es salaam pamoja na masoko vyote vipo chini ya Dar es salaam Metropolitan Development Project ambayo pesa zake zilitoka May 2015!

Mifano ipo mingi lakini ukijaribu kuweka kumbukumbu sawa, watakuambia una chuki na JPM na wale Wapumbavu zaidi na kukutukana watakutukana kwa sababu wanataka kutuaminisha vinginevyo!!

Anyway, bila kujali kama mradi husika ni mzuri au hapana lakini JPM ana credit zake kwenye Bwawa la Nyerere, Ndege, na SGR manake ingawaje SGR alikuta kila kitu kipo tayari lakini alibadili funding ingawakje haikuwa jambo la afya sana!

Kinyume na hapo, miradi mingine tunayoaminishwa imefanywa na JPM, alichofanya yeye ni kuendeleza tu walipoachia wenzake!

Huo ndo ukweli mchungu ambao hawataki kabisa kuusikia!

Well said...Hakika Push Gang wamepata ufafanuzi mzuri.
 
Jambo la wazi ni kwamba JPM, alikuwa rais kupitia chama chake. na ni chama hicho hicho kimekuwepo madarakani tangu uhuru. Naona ni busara kukiuliza chama chake kwani bado kipo, na marehemu hayupo.
MUHIMU HUYU NDIYE RAIS PEKEE ALIYE WEZA KUPAMBANA NA RUSHWA NA MAFISADI KWENYE SERIKALI YAKE. TUMKUMBUKE KWENYE HILO.

Si kweli mkuu ,Jiwe alipambana na watu aliowaona ni threat kwake kwa kisingizio cha kupambana na rushwa ,kipindi chake kilikuwa na mafisadi hatari ,ona kina bashite,biswalo,sabaya,mnyeti etc walifanya madudu ya hatari ,trilioni 1.5 zilipotea pasipo kujulikana ,Directors/CEO/DG wa Mashirika ya umma walileta taarifa za uongo ili kuwahadaa wananchi.(CAG alikuja kudhibitisha Ma SU yalivyokuwa wanaingiza hasara serikali).
 
Jambo la wazi ni kwamba JPM, alikuwa rais kupitia chama chake. na ni chama hicho hicho kimekuwepo madarakani tangu uhuru. Naona ni busara kukiuliza chama chake kwani bado kipo, na marehemu hayupo.
MUHIMU HUYU NDIYE RAIS PEKEE ALIYE WEZA KUPAMBANA NA RUSHWA NA MAFISADI KWENYE SERIKALI YAKE. TUMKUMBUKE KWENYE HILO.
Bila kusahau mauaji ya raia wake.
 
Back
Top Bottom