Isaac JK
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 563
- 92
Yafutayo yanatuangusha chadema :-
1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine
mytake
kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.
viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha
viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama
kila la heri chadema
1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine
mytake
kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.
viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha
viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama
kila la heri chadema