Haya yanatuangusha Chadema

Haya yanatuangusha Chadema

Isaac JK

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
563
Reaction score
92
Yafutayo yanatuangusha chadema :-

1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine

mytake

kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.

viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha

viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama

kila la heri chadema
 
Nakuunga mkono ni kweli viongozi wetu wapiganie uanzishwaji wa tv na redio ya chama, pia hata ofisi! Hii itakisaidia sana chama kuelekea kuleta mabadiliko ya kweli!
 
Naunga mkono wazo hili.elimu ya uraia iwe ni nyongeza katika orodha hiyo. Yapo maeneo yaliyo ma wasomi waelewa lakini elimu ya uraia ni tatizo.
 
Yafutayo yanatuangusha chadema :-

1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine

mytake

kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.

viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha

viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama

kila la heri chadema

Mkuu miradi yote hiini muhimu sana ila umesahau ya kwamba cdm wanatumia hela yote ya ruzuku kwenye maandamano yasio kuwa na kichwa wala miguu,
 
Kinachoiangusha chadema ni kuridhika na vitu visivyoridhisha.

Kitendo cha kujipongeza baada ya kuambulia viti SIFURI na kura zisizofika hata theluthi huko Iramba ni mfano mmojawapo.

Kuhusu ofisi, Sabodo aliahidi kuijengea chadema ofisi na hatua za awali zilianza. Hata hivyo ufujaji wa pesa ulimfanya Sabodo afute mikakati yote ya kuijengea chadema ofisi.

Mngekuwa mnamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema pale Kinondoni na kiasi cha pesa wanayomlipa, msingeshangaa kuona hawatakai kuama. Ufisadi unaitafuna chadema...

Kuhusu malipo ya watendaji, sio kweli kwamba watendaji hawalipwi vizuri. Ukwlei ni kwamba kuna ubaguzi. Wapo watendaji wanaolipwa vizuri na wale walioachwa bila malipo. Ndio maana Dr. Slaa alitoa amri Heche alipwe mshahara mnono wakati taratibu zinasema kazi yake inatakiwa kuwa ya kujitolea. Ubaguzi unaitafuna chadema.

Kuhusu gazeti la chama, lipo gazeti la mwanachama na kiongozi ambalo linalipwa fungu nono kufanya kazi za chama. Hii ndio sababu ya kutokuanzishwa gazeti la chama. Chama kimegeuzwa mradi binafsi wa viongozi. Kuna mdau na kiongozi wa chadema yuko mbioni kuanzisha TV yake kwa matumaini kuwa nayo itakuwa inapokea fungu kufanya kazi za chama. Ufisadi unaitafuna chadema.
 
Zemakopo nafaa sana kupewa kitengo ndan ya CCM, aidha UWT au Chipukizi. Maana umeshusha propaganda za kutisha hapo juu. Kwa juha yeyote kama wewe anaweza akadhan kweli. Timiza wajibu wako, lipwa posho yako buku7...
 
ni rahsi mno kutaja mambo haya kwamba hayafanyiki, lakini mleta hoja nina uhakika 100% hujafanya uchunguzi wowote juu ya mapato na matumizi ya chama.
 
Kama viongozi wakuu wanatuhumiwa kujichotea mamilioni ya fedha wengine wanakwapua hadi milioni 140 kwa matumizi binafsi unategemea nn??
 
Nakuunga mkono ni kweli viongozi wetu wapiganie uanzishwaji wa tv na redio ya chama, pia hata ofisi! Hii itakisaidia sana chama kuelekea kuleta mabadiliko ya kweli!
Hiyo redio na tv vitakuwa vinatangaza propaganda kama gazeti la tz daima lilivyo hivi sasa, full uzushi
 
Yafutayo yanatuangusha chadema :-

1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.
Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine

mytake

kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.

viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha

viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama

kila la heri chadema

Ni kweli mkuu hizo ni point ila kwa ambazo nimezi-bold nadhani zinahitaji muda kwani hata hao CCM ofisi wanazojivunia kila mkoa na wilaya wanazimilki ni za wanachama au niseme wananchi kwa kuwa enzi zile kila mtu mzima alikuwa lazima ashiriki katika shughuli za chama, kikubwa hapa kwa sasa ni kukijenga chama wananchi wakielewe na ikiwezekana wajitolee kuhakikisha mambo yanakwenda maana kazi ya mwanachama ni kujenga chama na si kusubiri viongozi peke yake na matajiri wachache.

Otherwise umeongea point nzuri ila muda unahitaji kikubwa ni kukomaa kuhakikisha idadi kubwa ya wabunge na madiwani inaongezeka mwisho wa siku ruzuku toka serikalini iongezeke mwisho wa siku uwezo wa kukiendesha chama utaongezeka
 
Yafutayo yanatuangusha chadema :-

1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine

mytake

kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.

viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha

viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama

kila la heri chadema

You are a Great thinker, umenena yampasayo kunena mtu mwenye hekima na busara.kwangu mimi ndivyo inavyo takiwa kuwa kwa chama chochote cha siasa kilicho beba matarajio makubwa ya wananchi. ni lazima chama kiendeshwe kisayansi na kwa namna ya kupokelewa na kukubalika na wengi.penye nia hakuna kinacho shindikana. boys let us get stared, the future of our party is on our shoulders.To win the hearts of many Tanzanians needs more than we have done so far.
 
Kinachoiangusha chadema ni kuridhika na vitu visivyoridhisha.

Kitendo cha kujipongeza baada ya kuambulia viti SIFURI na kura zisizofika hata theluthi huko Iramba ni mfano









mmojawapo.

Kuhusu ofisi, Sabodo aliahidi kuijengea chadema ofisi na hatua za awali zilianza. Hata hivyo ufujaji wa pesa ulimfanya Sabodo afute mikakati yote ya kuijengea chadema ofisi.




Mngekuwa mnamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema pale Kinondoni na kiasi cha pesa wanayomlipa, msingeshangaa kuona hawatakai kuama. Ufisadi unaitafuna chadema...

Kuhusu malipo ya watendaji, sio kweli kwamba watendaji hawalipwi vizuri. Ukwlei ni kwamba kuna ubaguzi. Wapo watendaji wanaolipwa vizuri na wale walioachwa bila malipo. Ndio maana Dr. Slaa alitoa amri Heche alipwe mshahara mnono wakati taratibu zinasema kazi yake inatakiwa kuwa ya kujitolea. Ubaguzi unaitafuna chadema.

Kuhusu gazeti la chama, lipo gazeti la mwanachama na kiongozi ambalo linalipwa fungu nono kufanya kazi za chama.
Hii ndio sababu ya kutokuanzishwa gazeti la chama. Chama kimegeuzwa mradi binafsi wa viongozi. Kuna mdau na kiongozi wa chadema yuko mbioni kuanzisha TV yake kwa matumaini kuwa nayo itakuwa inapokea fungu kufanya kazi za chama. Ufisadi unaitafuna chadema.
Kweli masisiem ni vichaa kama huyu zemakopo na pumba zake hapo juu...refer kova na cheniso na movie zao za vichaa..
 
Hiyo ni NGO ya mtu usitegemee kuona hayo

kweli mkuu,mfano gazeti la Mboe Tanzania daima wanalifanya la chama,anapiga pesa,pia pesa inayopelekwa HAI tu ni nyingi zaidi inayopelekwa mikoa mitatu yani Bukoba,Shinyanga na Morogoro.Mujirekebishe watu wananung'unika hata ukifika kwenye mkutano kuu utakuta kuna "vizarau vizarau vya kikandakanda"makamanda hawekeani madaraja,mujirekebishe.
 
Kinachoiangusha chadema ni kuridhika na vitu visivyoridhisha.

Kitendo cha kujipongeza baada ya kuambulia viti SIFURI na kura zisizofika hata theluthi huko Iramba ni mfano mmojawapo.

Kuhusu ofisi, Sabodo aliahidi kuijengea chadema ofisi na hatua za awali zilianza. Hata hivyo ufujaji wa pesa ulimfanya Sabodo afute mikakati yote ya kuijengea chadema ofisi.

Mngekuwa mnamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema pale Kinondoni na kiasi cha pesa wanayomlipa, msingeshangaa kuona hawatakai kuama. Ufisadi unaitafuna chadema...

Kuhusu malipo ya watendaji, sio kweli kwamba watendaji hawalipwi vizuri. Ukwlei ni kwamba kuna ubaguzi. Wapo watendaji wanaolipwa vizuri na wale walioachwa bila malipo. Ndio maana Dr. Slaa alitoa amri Heche alipwe mshahara mnono wakati taratibu zinasema kazi yake inatakiwa kuwa ya kujitolea. Ubaguzi unaitafuna chadema.

Kuhusu gazeti la chama, lipo gazeti la mwanachama na kiongozi ambalo linalipwa fungu nono kufanya kazi za chama. Hii ndio sababu ya kutokuanzishwa gazeti la chama. Chama kimegeuzwa mradi binafsi wa viongozi. Kuna mdau na kiongozi wa chadema yuko mbioni kuanzisha TV yake kwa matumaini kuwa nayo itakuwa inapokea fungu kufanya kazi za chama. Ufisadi unaitafuna chadema.
Kule singida wala usichukulie kama ni kipimo cha hali ya siasa Nchini. sehemu kubwa kule wanadhani bado wana mpigia kura NYERERE na ccm yake kumbe mtakatifu yule alisha kufa zamani.kwahiyo usifurahie sana hilo wale wasonjo na wahadzabe actually walidhani wanachagua watu wa Nyerere.Subiri uone dhahama mtakayo ipata mtwara na Lindi kuanzia sasa na kuendelea.
 
Yafutayo yanatuangusha chadema :-

1.ofisi za uhakika (makao makuu )
2.Gazeti huru la chama
3.Radio huru ya chama
4.Tv huru ya chama
5.Malipo kwa watendaje wake
6.vitendea kazi kama magari, pikipiki,vipeperushi,nk kuwafikia wapiga kura
7.Takwimu sahihi za wanachama
8.vitega uchumi vingine

mytake

kama viongozi wetu wa chama wataendelea kuona kama chama chetu ni cha mpito watapuuza haya. Wajijenge zaidi kuiandaa chadema kwa uzao ujao na kama chama kikubwa kilichomkomboa mtanzania kutoka kwa watanzania wachache waliojilimbikizia mali na tamaa ya madaraka na uhujumu uchumi.

viongozi wetu wa chama wasifanye chadema kama chama mkombozi wa taifa kwa kipindi tu wao walichokuwepo madarakani bali wajikite kwenye future ya chama na kuwa chadema si ya leo tu bali chadema ni ya leo na miaka ijayo kwa kuiandalia asset, resources, vitendea kazi na vitega uchumi vya kutosha

viongozi wetu waifanye chadema kama ni ya watanzania na ya uzao ujao wa watanzania na kuuandalia msingi mzuri uzao ujao utakaokuja kuiongoza chadema muda huo.Wakifanya hayo kamwe historia ya ukombozi wa taifa hili haiwezi kuwakwepa na hasa historia ya chama

kila la heri chadema


Isaac JK

Asante sana kwa ushauri wako wenye nia njema ya kujenga na kuimarisha harakati za mapambano ya ukombozi wa pili wa Mtanzania kutoka kwenye makucha ya mkoloni 'mjomba, shangazi, kaka, dada, rafiki, bibi, babu, mama, baba', walioko kwenye mwamvuli wa CCM!

Mtu akipitia andiko lako kwa umakini atabaini kuwa vitu ulivyoviandika viko very vague. Haijulikani hasa unataka kusema au kushauri nini. Mathalani vitu vyooooooooote ulivyoorodhesha hujasema vinawaangusha namna gani CHADEMA na namna gani ushauri wako ufanyiwe kazi. Lakini si mbaya, tutakujibu kwa mantiki hiyo hiyo iliyoeleweka kwenye ujumbe.

Lakini pia labda ni tabia yetu Watz kutopenda kutafuta taarifa kwanza kabla ya kusema, masuala ya media za CHADEMA, mfano tv, redio na gazeti, yameshajibiwa hapa mara kadhaa. Kuna masuala na hatua kadhaa za kupitia. Imeshaelezwa hapa, siku moja hadi nikaenda mbali nikasema watu wengine wanashangaza wanataka tuje tujadili mpango kazi na mkakati wa wa chama kwenye vyombo vya habari, kwa faida ya nani?

Takwimu sahihi za wanachama zimekuwaje? Malipo kwa watendaji wake yamekuwaje? Vitendea kazi kama magari, pikipiki, vipeperushi, vimekuwaje? Vitega uchumi vingine, vimekuwaje? Very vague, utaishia kupata majibu vague vile vile.

Chama cha mpito! Sikuwahi kufikiria mwanaCHADEMA makini anaweza hata kuwaza eti chama hiki ambacho kimeweza kuiweka kwenye kona CCM na serikali yake, kikiendesha harakati za ukombozi wa kifikra kwa miaka zaidi ya 20 mfululizo, kinaweza kuwa chama cha mpito.

Chama cha namna hiyo kinaweza kuwa CHADEMA kweli? Vyama vya mpito vingi tu tunavyoviona kwa matendo na maneno, bungeni, na nje kwenye mikutano ya hadhara na press conference, vikifanya kazi ya CCM...

Pasi na shaka, viongozi wa CHADEMA pamoja na wanachama wake makini, wanaotambua wajibu wao, wameendelea kukijenga chama hiki kwa ajili ya vizazi vilivyopita, vilivyopo na vijavyo, ndiyo maana daima kimejikita katika sera makini, mikakati endelevu na oganaizesheni thabiti, kuibua dhana za mabadiliko mapya ya kimfumo na kiutawala kwa ajili ya kuzungumzia maendeleo ya zaidi ya miaka 50 hadi 100 ijayo.

Nikushukuru tena Isaac.

Sehemu kubwa ya masuala ambayo umejaribu kushauri hapa, ama yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji, mengine ni sehemu ya misingi ya uanzishwaji wa CHADEMA, hivyo imekuwa ni sehemu ya majukumu ya kila siku katika kuwatumikia Watanzania, zinaweza kuwa zinabadilishwa modus of operandi, kwa nia ya kuboresha, lakini lengo, dhamira na nia ikabaki pale pale.

Kitu kikubwa sana cha msingi, saidia kuwatia shime wanachama wenzako (kama nawe ni mwanachama) kushiriki katika mpango wa sasa wa kukiweka chama mikononi mwa wanachama. Masuala mengine mengi tu uliyoshauri hapa si lazima yafanywe kuanzia makao makuu, ungeweza hata kusaidia yafanayike katika ngazi ya msingi au tawi. Hivyo Isaac kama hujajiandikisha, nenda ukafanye hivyo kwenye msingi wako na ulipie kadi yako.

Bila shaka huko pia utapata fursa ya kushiriki vikao na kupata jukwaa murua la kupenyeza mawazo yako na kupata fursa ya kufuatilia na kusukuma utekelezaji wake.

Karibu.

Makene

0752 691569/ 0688595831
 
Kinachoiangusha chadema ni kuridhika na vitu visivyoridhisha.

Kitendo cha kujipongeza baada ya kuambulia viti SIFURI na kura zisizofika hata theluthi huko Iramba ni mfano mmojawapo.

Kuhusu ofisi, Sabodo aliahidi kuijengea chadema ofisi na hatua za awali zilianza. Hata hivyo ufujaji wa pesa ulimfanya Sabodo afute mikakati yote ya kuijengea chadema ofisi.

Mngekuwa mnamjua mmiliki wa jengo walilopanga chadema pale Kinondoni na kiasi cha pesa wanayomlipa, msingeshangaa kuona hawatakai kuama. Ufisadi unaitafuna chadema...

Kuhusu malipo ya watendaji, sio kweli kwamba watendaji hawalipwi vizuri. Ukwlei ni kwamba kuna ubaguzi. Wapo watendaji wanaolipwa vizuri na wale walioachwa bila malipo. Ndio maana Dr. Slaa alitoa amri Heche alipwe mshahara mnono wakati taratibu zinasema kazi yake inatakiwa kuwa ya kujitolea. Ubaguzi unaitafuna chadema.

Kuhusu gazeti la chama, lipo gazeti la mwanachama na kiongozi ambalo linalipwa fungu nono kufanya kazi za chama. Hii ndio sababu ya kutokuanzishwa gazeti la chama. Chama kimegeuzwa mradi binafsi wa viongozi. Kuna mdau na kiongozi wa chadema yuko mbioni kuanzisha TV yake kwa matumaini kuwa nayo itakuwa inapokea fungu kufanya kazi za chama. Ufisadi unaitafuna chadema.

Haya yote ni kweli tupu ni mradi wa watu huo... na gazeti lenyewe anamiliki mke wa kiongozi na baba yake ni kiongozi mstaafu.....
 
Back
Top Bottom