Haya yamemzika Lowassa kisiasa

Haya yamemzika Lowassa kisiasa

Wewe mafundisho lofa ni mama yako na baba yako shenzi mkubwa wewe
 
Sasa leo ni j'pili kesho j'tatu kamfungulie kesi mahakama kuu, mbona hiyo richmond inaendelea kulipwa kama ni yake:what:Hao waliokula fedha za Tegeta Escrow mbona mnawanadi kwenye ubunge:what: huyo aliyeuza nyumba za serikali mbona mnasujudia na kumpigia debe awe rais:what: hao wenye meremeta mbona bado wako ccm:what: mbona wale mawaziri mizigo kinana aliowataja mbona wako ccm na wanataka ubunge tena:what: hapo ccm wamebaki mafisadi wangapi waliotajwa kwenye list of shame:what: au ndio yale ya nyani haoni.......:what:



Tatizo la Magufuli na ufisadi wake sio kuuza tu nyumba za serikali bali ni kukiuka utaratibu wa kimaadili na kumuuzia mdogo wake na hawara wake nyumba wakati hawakustahili.

Kama tungekua na mfumo mzuri usio wa kulindana rais angelazimika kumfukuza kazi Magufuli wakati ule.
Amenunua kivuko kwa bei ya kuruka.

Sasa tunatumia nguvu kubwa kumnadi kwa nyimbo za usafi kama alizokua ameimbiwa mseminaristi mwingine aliyeitwa Mkapa.
Ni nyimbo za kawaida za kumchafua mmoja na kumsafisha mwingine.

Wezi wa Nyumba za serikali wote wapo na Magufuli.
Hawezi kamwe kurudisha nyumba za watanzania kwani alishahonga hawara wake.
Hii ni aibu kubwa kumnadi mtu aliyezungukwa na mawaziri na wabunge wale wale waliomwangusha JK kwa kushindwa kuwajibika na kuwa mizigo. Eti leo wamekua wapya kwa sababu tu ya kupiga pushapu.
Huyu mtu hatufai kwani anaweza kuwa kama Idi Amini alivyowadharau walemavu na wagonjwa.
 
Elimu yako ndogo sana, sheria sio kama viroba, makosa ya jinai muda wowote ushahidi unapokamilika sheria inachukua mkondo wake. Subili then utaona matokeo yake.

Kwa hiyo hadi sasa hamna ushahidi wa kumuishitaki ila cha ajabu mmeshamuhukumu! Maccm ni mapumbavu cjawahi ona dunia nzima! If no evidence then Shut your Mouth!
 
Lowassa kwenye kampen zake anasema``Najua mmejielezea vya kutosha, npeni kura, wapeni kura wabunge wa CCM, " Duh!! Ananikatisha tamaa hyu mzee!!!!
 
Kachukueni malipo yenu tayari uongo umefika wajanja tumekueleweni ila mnatumika kama mipira ya me
 
Jizi la kutupwaaa ..hivi hatutapata namna walau ya kurudisha Mali zetu hizi? make hatutaki mtu wa hivi kuendelea na majigambo wakati vitu vyoote kachuma kwetu
Hili zee lazima lishitakiwe hata kama mali zetu hazitarudi basi linyongwe tu.
 
Mahaba waliyokuwa nayo wanachadema kwa Lowassa yamepotea kabisa baada ya kujua yafuatayo.!

~Alijiuzulu uwaziri mkuu sababu ya skendo ya ufisadi ya Richmond Iliyokuwa ikilipwa Milion 152 kwa siku kwa muda wa siku 730 yaani miezi 24. Sasa milion 152 mara siku 730...aisee alituchapa!

~Alijimilikisha ranchi nne za taifa akiwa waziri wa maji na mifugo

~Akiwa waziri mkuu huduma ya usafiri wa reli ulizorota sababu yeye anamiliki kampuni ya GMS yenye kumiliki scania 900 hivyo kama reli ingeimarishwa angekosa dili.

~Akiwa waziri mkuu tenda za halmashauri na manispaa zote katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro za uchapaji,chakula,usafi n.k alipewa dada yake kupitia kampuni yake ya ALPHA Co. Ltd

~Akiwa mkurugenzi wa AICC aliiba mali nyingi sana ikiwa kuuza magari na ubadhirifu wa fedha kiasi cha kurudisha nyuma ukumbi ule

~Akiwa waziri mkuu alipinga wazo la kujenga bomba la gesi badala yake akaleta wazo la mvua za kutengeneza huku akiwa muuza majenereta mkubwa kupitia kampuni ya Alpha iliyokuwa ikisimamiwa na Fred ambaye ni mwanaye

~Aliwahi kumpa mwanaye paundi laki nne kwenda nchini Uingereza kununua nyumba ya kifahari katika jiji la London akakamatwa

~Kampuni za Lowassa za Barare Ltd, Intergrated property management na Alphatel partinership ziliifanya Tanzania kukosa msaada wa kibajeti 2006 toka Uingereza kwa makosa ya utakatishaji fedha zilizokuwa zikanunue jumba la kifahari London

~Anamiliki kampuni za uchimbaji madini

~Akiwa mmoja wa wanahisa wa Vodacom Tanzania ametajwa kushiriki uwizi wa zaidi ya bilion 675 taarifa iliyotolewa na gazeti la kiingereza la hapa nchini hali iliyoifanya serikali kuu kupoteza bilion 125 kama kodi.

KIUFUPI JAMAA NI EBOLA KWA NCHI. TUMPE MUDA AENDE KUSIMAMIA BIASHARA ZAKE.

Ulichoandika ni zaidi ya upoyoyo,mnajidanganya na kujifurahisha huku mkijua mnajidanganya! Watu wanaifahamu Richmond tangu 2008, watu wanajua kuwa Richmond ni ya Kikwete, ndiyo maana ipo hadi leo kwa jina la Symbion, kwa nini baada ya Lowassa hamkuifilisi na kuitimua? Usipende kutumia massaburi katika kufikiri,tumia tu 0.00001% ya akili yako, itakusaidia sana kuonekana ni binadamu na si Zombie! The rest ni utumbo mtupu umeandika, kajipangeni, kwa tuhuma zote hizo halafu mnamwacha atembee huru, maana yake He is Most Powerful person in the Country, powerful than any Institution,including the presidency! Mwaka huu mmekalia msumari kwakweli!
 
Hiyo Mwizi Mjanja hivi tukimpa badala ya China na US kuja kutuibia KWA mikataba yao ya hovyo yeye ndio atakuwa anawaliza
HATUMPELEKI MWIZI IKULU Ndugu yangu Chakaza hata ukitumia nguvu nyingi sawa na bure ikulu niya MAGUFULI awamu ya 5
 
Last edited by a moderator:
Yote yataongelewa lakini tunaomba kila atakayechukua nchi kama raisi wa awamu ya tano afanye kazi ya kusafisha mafisadi kila sekta kutoka katika madini, maliasili, umeme,bandari, mizani,ujenzi, halmashauri, idara za serikali, viwanja vya ndege, uoneaji wa wananchi na vyombo vya dola, wizi wa ardhi za wananchi, kudhulumiwa kwa mafao ya wanaostaafu, wizi katika vyombo vya ulinzi na usalama (silaha na nyaraka za kesi mbalimbali),bahari yetu, watumishi kuchanganya siasa na kazi, wafanyabiashara kutokulipa kodi stahiki, wizi katika kufanya makadirio kwa TRA, mawakala wa serikali na nchi ipate heshima na isonge mbele kimaendeleo na tusichague mgombea ambaye atakuwa kikwazo kupambana na matatizo haya maana kila mara vyombo vya habari vinaripoti ufisadi katika vyombo mbalimbali vya serikali!!

Hiyo ni kazi ya muadilifu kamwe fisadi haiwezi...isitoshe ni ilani ya ccm pekee ndio iliyokuja na chombo cha kutokomeza ufisadi.
 
HATUMPELEKI MWIZI IKULU Ndugu yangu Chakaza hata ukitumia nguvu nyingi sawa na bure ikulu niya MAGUFULI awamu ya 5

Nimeona msisitizo wako MOTOCHINI. Umeonyesha ukali kama vile wewe ndiye mpiga kura pekee.
Nakuhakikishia ndugu yangu kama uchaguzi ni wa haki basi Magufuli hana kitu kabisa
 
Last edited by a moderator:
kupandisha vifurushi vya vodacom

Halafu kweli aisee huyu lowassa na rostam Aziz kwanini wanatuumiza hivi wananchi na hii kampuni yao.inabidi tuandamane huu ni zaidi ya wizi.mtu katuibia na bado anaendelea tu.urais atausikia tu kwenye radio.
 
Nyie endeleeni na uzushi wenu ILA SISI TUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA KESHOKUTWA.
 
Sasa km ccm mnajua ni mwizi na alivyoiba mnavijua ilikuwaje msubiri ahamie upinzani ndio mpige kelele?'je akiwa kwenu safi akitoka shida? Tutawainesha kazi_!
 
Namhurumia sana, sijui ataishi vipi baada ya huu uchaguzi, maana ushindi wa Magufuli umeshadhihirika
 
Mahaba waliyokuwa nayo wanachadema kwa Lowassa yamepotea kabisa baada ya kujua yafuatayo.!

~Alijiuzulu uwaziri mkuu sababu ya skendo ya ufisadi ya Richmond Iliyokuwa ikilipwa Milion 152 kwa siku kwa muda wa siku 730 yaani miezi 24. Sasa milion 152 mara siku 730...aisee alituchapa!

~Alijimilikisha ranchi nne za taifa akiwa waziri wa maji na mifugo

~Akiwa waziri mkuu huduma ya usafiri wa reli ulizorota sababu yeye anamiliki kampuni ya GMS yenye kumiliki scania 900 hivyo kama reli ingeimarishwa angekosa dili.

~Akiwa waziri mkuu tenda za halmashauri na manispaa zote katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro za uchapaji,chakula,usafi n.k alipewa dada yake kupitia kampuni yake ya ALPHA Co. Ltd

~Akiwa mkurugenzi wa AICC aliiba mali nyingi sana ikiwa kuuza magari na ubadhirifu wa fedha kiasi cha kurudisha nyuma ukumbi ule

~Akiwa waziri mkuu alipinga wazo la kujenga bomba la gesi badala yake akaleta wazo la mvua za kutengeneza huku akiwa muuza majenereta mkubwa kupitia kampuni ya Alpha iliyokuwa ikisimamiwa na Fred ambaye ni mwanaye

~Aliwahi kumpa mwanaye paundi laki nne kwenda nchini Uingereza kununua nyumba ya kifahari katika jiji la London akakamatwa

~Kampuni za Lowassa za Barare Ltd, Intergrated property management na Alphatel partinership ziliifanya Tanzania kukosa msaada wa kibajeti 2006 toka Uingereza kwa makosa ya utakatishaji fedha zilizokuwa zikanunue jumba la kifahari London

~Anamiliki kampuni za uchimbaji madini

~Akiwa mmoja wa wanahisa wa Vodacom Tanzania ametajwa kushiriki uwizi wa zaidi ya bilion 675 taarifa iliyotolewa na gazeti la kiingereza la hapa nchini hali iliyoifanya serikali kuu kupoteza bilion 125 kama kodi.

KIUFUPI JAMAA NI EBOLA KWA NCHI. TUMPE MUDA AENDE KUSIMAMIA BIASHARA ZAKE.

Haya chemeni menyewe mimi nikichema Jambazi Sugu wananipiga mawe. Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom