Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Kitu kimoja ambacho mimi huamini ni kuwa mara nyingi mwanamke yoyote anaekubali kuwa mke wa pili au kuwa mke mpya baada ya ndoa ya kwanza kuvunjika, huwa ni MOTIVE ndio inayomshawishi kuingia kwa mwanaume huyo.
Hakika ndugu zangu, MOTIVE hio mara nyingi unakuta mali nyingi au pension ya uzeeni.
Ndio maana hawa wanaume wakishafariki unakuta hawa wanawake kitu kinachozunguka kichwani mwao huwa ni mali, mali, mali.
Tusidanganyane eti huwa wanafata upendo wa kweli baada ya penzi la kwanza kuvunjika, no, hakuna mwanamke atakubali kuwa mke wa pili au kuwa mke mpya wako kama unapanda dala dala kila siku.
Catherine magige, Vicky Kamata na Jacqueline ni miongoni ya vithibitisho ni jinsi gani unavyoweza kuharibu mstakabali wa familia yako unapoleta mwanamke mwingine maishani mwako for the sake of sijui umemchoka mkeo, sijui mkeo anazingua, etc.
Kumbukeni hawa wanawake wanaokuja baada ya mke wa kwanza mara nyingi wanakuwa michepuko ya hawa wanaume, sasa kama imetokea kuvunjika kwa ndoa kubwa ndio utaona sasa baba anajifanya kumleta mwanamke huyo. So mwanamke anaekubali kuwa mchepuko wako asili yake ni uhuni. So tambua kuwa kinachofata ni mwanamke kufanya uhuni huko mbeleni.
KUWEKENI MAKINI WANAUME.
View: https://youtu.be/qFZayn7AXi4?si=hfD3-CKqZoo9PbJD
View: https://youtu.be/4q9vG_62a7Q?si=geDriZtEN07vQWk-
View: https://youtu.be/JfOtj22lDrQ?si=_d97-3S81u_ocTPy
Hakika ndugu zangu, MOTIVE hio mara nyingi unakuta mali nyingi au pension ya uzeeni.
Ndio maana hawa wanaume wakishafariki unakuta hawa wanawake kitu kinachozunguka kichwani mwao huwa ni mali, mali, mali.
Tusidanganyane eti huwa wanafata upendo wa kweli baada ya penzi la kwanza kuvunjika, no, hakuna mwanamke atakubali kuwa mke wa pili au kuwa mke mpya wako kama unapanda dala dala kila siku.
Catherine magige, Vicky Kamata na Jacqueline ni miongoni ya vithibitisho ni jinsi gani unavyoweza kuharibu mstakabali wa familia yako unapoleta mwanamke mwingine maishani mwako for the sake of sijui umemchoka mkeo, sijui mkeo anazingua, etc.
Kumbukeni hawa wanawake wanaokuja baada ya mke wa kwanza mara nyingi wanakuwa michepuko ya hawa wanaume, sasa kama imetokea kuvunjika kwa ndoa kubwa ndio utaona sasa baba anajifanya kumleta mwanamke huyo. So mwanamke anaekubali kuwa mchepuko wako asili yake ni uhuni. So tambua kuwa kinachofata ni mwanamke kufanya uhuni huko mbeleni.
KUWEKENI MAKINI WANAUME.
View: https://youtu.be/qFZayn7AXi4?si=hfD3-CKqZoo9PbJD
View: https://youtu.be/4q9vG_62a7Q?si=geDriZtEN07vQWk-
View: https://youtu.be/JfOtj22lDrQ?si=_d97-3S81u_ocTPy