Kwa wale waliofanya 2nd round ndo watanielewa hiyo text imeappear from today kabla ya hapo kilichokuwepo ni list inaoonyesha kozi tano ulizochagua!
-kosa walilofanya ni kudisplay ile text ya waliopata first round bila kuiedit kwa ajili ya waliopata 2nd round
mkuu mimi nilitemwa 1st round na nikareapply na nimepita ,anachosema mtoa thread ni jambo la ukweli ,sema TCU wamefanya ku2mia text ya zaman haijafanyiwa editing ,ndyo maana mnaona pale hawajaandka neno 3rd round ,ila ukijiongeza utaelewa wamemaanisha 3rd round ,na cyo 2nd round kama inavyoonekana.
Wapo ambao hakuna changes ,na cha ajabu hakuna option ya kufanya reapplication zaid ya kuandikiwa negative ,na 0....cjajua maybe wanaweka mambo sawa ,maana hata ile tarehe ya deadlne stil imebak ileile ya 2nd round 30 sept!
ongea kwa fact bro..acha ubishi wa kijinga..hii kitu haikuwepo kwa wale wa second round,jana iliandika database error,, leo asubuh ikawa inadisplay kuonesha capacity zilizobaki..sasa hivi walichokiandika kama umeandikiwa hivyo jua umepata chuo ila bado kurealise officiall kujua umekuwa admitted chuo gan..
no changes nimemchekia mtu mda huu, ni kwa baadh ya watu tu au, manake zile coz zipo na yale masifur na kaneg 1 udom, result unakuja ujumbe ule ule kwamba wanaprocess 2nd round