Haya wale wa mzumbe university(BAF PS&BS)

Haya wale wa mzumbe university(BAF PS&BS)

shule ya Mzumbe aitaki Ubishoo tena BAF Aitaki maneno Mengi.Wengi wata Graduate First and second semester ya Mwaka wa Kwanza Tu...
Mwaka wa Pili Ndo uwa Heshima ya Hyo kozi inakuja maana Wengi wana aga Mashindano Supp zinakuwa Accumulated...Ina Uma sana pale unapo Ona unaacha Mkopo wako semester ya Pili ya Mwaka wa PILI..Wenzako wanaenda kwa ajiri ya Field...Aisee kuna Mengi mtajionea mimi sipatamani tena Hapo Mzumbee.

USHAURII.
SHULE YA MZUMBE NI SHULE ASAA KWA HIYO KOZI...MJITAIDI MPIGE SHULE MADOGO
KAMA PULLING YAKO NI DOGO OMBA TRANSFER MAPEMA.

MUNGU AWATANGULIE
mkuuu kina kipesha , muhabe ? aise nilimaliza hapo pia BAF , very interesting , ila at the end unatoka na mambo mengi uejifunza nje ya shule.
 
um
First class zinapatikana,lakini usisome kwa utumwa kisa unataka first class coz u may end up in total frustration...the important thing ni kuwa na GPA nzuri, play your part as much as you can, let God take care of the rest.
eongea kweli . na first class zinakuwepo chache ,na upper second nyingi tu ,as long ufaulu vizuri sababu GPA kubwa sio kesi kubwa sana mtaani wala GPA ya kati
 
Wakuu anayeijua kozi ya Bsc in production and operation management (BSC.POM)...ani saidie info zake mpka ajira zaje.




Natanguliza shukrani wakuu
 
Back
Top Bottom