Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,128
Hukuipernda nini nyumba yangu?Mkuu MATESLAA ukijenga nyumba ya maana Serikali itasema wewe pesa za kujenga hii nyumba umezipata wapi?wewe ni Fisadi bora ujenge nyumba ya kawaida ila pesa uwe nazo Benki.Eh mi nilivyo iona nikazani ni zile frem za kariakoo ou lile jengo la simba pale kariakoo msimbazi
Hukuipernda nini nyumba yangu?Mkuu MATESLAA ukijenga nyumba ya maana Serikali itasema wewe pesa za kujenga hii nyumba umezipata wapi?wewe ni Fisadi bora ujenge nyumba ya kawaida ila pesa uwe nazo Benki.
Haikuvutii kabisa? basi nitaiuza ninunuwe nyumba ingine utakayoipenda na kukuvutia wewe unasemaje? Mkuu Da PrettyMbona hata hiyo ni yua gharama??
Lakini haina mvuto hata ikipakwa rangi ya chungwa au nyekundu bado hainivutii.
Labda ufanye madarasa ya vile vyuo vya kina nanii.
wewe kwa macho yako unaionaje? mkuu Young MasterHiyo ni nyumba au gofu? Mboba sieleiwi mkuu MziziMkavu?
wewe kwa macho yako unaionaje? mkuu Young Master