BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
madame, yashatokea hakuna jinsi... haikuwa riziki yako.....
je una feelings kwake?
je ana feelings kwako?
kama hakuna mwenye hisia na mwenzie unachoweza kufanya sasa ni kuweka mipaka na shemeji yako mtarajiwa
kaeni chini mzungumzie hilo, futeni historia, sahauni....mheshimiane zaidi ya mtu na kaka yake
then mdogo wako ana ex wako wafunge ndoa yao...kumbuka wewe una ndoa yako na maisha yako na kama ulivyosema unahisi nduguyo kanasa....
mpe mdogo wako baraka zako, waache wafurahie mapenzi yao...yaliyopit yamepita
je una feelings kwake?
je ana feelings kwako?
kama hakuna mwenye hisia na mwenzie unachoweza kufanya sasa ni kuweka mipaka na shemeji yako mtarajiwa
kaeni chini mzungumzie hilo, futeni historia, sahauni....mheshimiane zaidi ya mtu na kaka yake
then mdogo wako ana ex wako wafunge ndoa yao...kumbuka wewe una ndoa yako na maisha yako na kama ulivyosema unahisi nduguyo kanasa....
mpe mdogo wako baraka zako, waache wafurahie mapenzi yao...yaliyopit yamepita