Ushauri wa watu numeusoma ila naona tumemsahau na mume wako je akijua itajuwaje?
mumeo ataelewa au ndio hutakaa uende kwa mdogo wako kuhofia ndoa yake.
mmmm huyo mvulana alivutiwa sana na kwenu au na mdogo wako alikuwa akimfaham mda mrefu akasema nimemkosa dada lazima nimpate mdogo wake????
Ila ujue ukimwambia mdogo wako ujue kabisa na mumeo atajua na ndugu wa mume then mtaonekana kituko wewe na shemeji yako wengine watahisi yule kaka kapanga ili awe anamla mtu na dada yake. pole sana ila fikiria sana kabla ya kuamua lolote.
Wakati mwingine lazima kukubali matokeo tu!
Mwaache ex wako amuoe mdogo wako! ilimradi kama hakuna tatizo lingine
Make him your shemeji!!
Wakati mwingine lazima kukubali matokeo tu!
Mwaache ex wako amuoe mdogo wako! ilimradi kama hakuna tatizo lingine
Make him your shemeji!!
kwa hiyo nikae na hii siri rohoni ?
Ukweli husemwa:
Nawe una mambo kwelikweli katika maisha yako.
Unaonekana ujana wako umeutumikia kwelikweli mpaka kupata mtoto wakati ukiwa form two.
Kwanza unaonekana unaichukia ndoa yako kama ulivyotujuza katika thread zilizopita mpaka inafikia unaota ndoto kila mara ukiwa unafanya mapenzi na bwana mwingine wakati umeolewa.
Moyo wako umekaribia kupasuka na kufa ganzi siyo kwa sababu mdogo wako ana mahusiano ya kimapenzi na mdogo wako bali ni kwa sababu bado unahisia za kimapenzi na x-lover wako. Kuna ka wivu furani kana ichoma roho yako.
Siyo swala lako wala halikuhusu kumwambia mdogo wako kama huyo bwana ni x-lover wako. Hilo ni jukumu lake kama ataamua kumwambia mdogo wako au la.
I hope you don't go around and cheat on your sister. I'm not sure, in fact, you have kissed stranger who came to train you at work and there's a possibility, you'll go back to your x-lover
Huyo X wako mlisha fanya naye sex ?
Kama hujafanya naye sex sidhani kama shida.
Ndo mana vitabu vya dini vilikataza kufanya sex kabla ya ndoa, hayo ndo madhara yake, pole sana.
Fungua ndoa yako,fungeni ndoa yenu wote watatu...
Roho gani unayoongelea wewe?? ushafunguka JF ....cha msingi funguka kwa mdogo wako na ajue kilichotokea unless otherwise siri itakutafuna kidogo kidogo mpaka itafika point you can't take it no further na innawezekana ikawa too little too late...do the right thing while there is still the light dont wait for the dark....nimemalizakwa hiyo nikae na hii siri rohoni ?