Haya sasa... "WELCOME MWANZA AIRPORT" !!!

Jamani hiyo tume ikiundwa naomba izingatie itikadi za vyama pamoja na ukabila tehehehehehehhe!!! Naomba nisikosekane katika kamati itakayofanya marekebisho yake pale Musoma International Airport
860747023_5fcdbbd778.jpg


Hongereni Musoma kwa intrenational airport yenu. Wale matajiri wenu wafagilieni na bid up kwa wingi kwamba wao wana pesa na hawashindwi kujitolea kuweka lami kwenye hiyo runway. Waweze kufadhili uchaguzi Tarime hapo washindwe!

BTW asante kwa picha.
 
Back
Top Bottom