C chachas mchina Member Jan 2, 2012 33 0 Feb 20, 2012 #1 Wanaume wa kenya waunda chama na kutangaza mgomo wakutokula nchi nzima, kisa kuchezea kichapo kutoka kwa wake zao, je? hiyo itakuwa suruhu ya matatizo, au ndo wanajipalia mkaa kuongeza kipigo??
Wanaume wa kenya waunda chama na kutangaza mgomo wakutokula nchi nzima, kisa kuchezea kichapo kutoka kwa wake zao, je? hiyo itakuwa suruhu ya matatizo, au ndo wanajipalia mkaa kuongeza kipigo??
egbert44 JF-Expert Member Mar 17, 2006 381 57 Feb 21, 2012 #2 Sio wanaume hao nina wasiwasi labda wale wale wa David Cameron
C chachas mchina Member Jan 2, 2012 33 0 Feb 21, 2012 Thread starter #3 Yaani hata mimi nilikuwa nawaza hivyo hapo sawa @egbert44
Vodka JF-Expert Member Jan 5, 2012 906 96 Feb 21, 2012 #4 Ahaa sio Kenya yote ni kitongoji kimoja,yaani wanapigika vibaya.