Haya ni ya kweli?

Haya ni ya kweli?

insitu

Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
13
Reaction score
6
Eti ni kweli kuwa kuna watu walio kwenye mahusiano/ndoa ambayo wanaume wanalipia kwa wenza wao tendo la ndoa kati yao? Eti hulipia pesa, mavazi mapya(ahadi ya kununliwa au kupewa cash kwa ajili hiyo), chips nk?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom