Haya ni mapenzi au kujidhalilisha!!

Haya ni mapenzi au kujidhalilisha!!

Kutesa kwa zamu babuu
Wakati hajaoa alikuwa anaringa, sasa zamu ya mke kuringa
Yaani mie limbwata namnywesha bila huruma

Wanawake wabaya nyie...mkiwa mnatafuta wachumba huwa mnakuwa wapole....
Mara "Oohh mi nataka mwanaume jentomani nikitembea naye mtaani nionekane mwanamke katika wanawake", lakini mkishaingia ndoani hakuna sangoma mnaacha kumjua...ptuuuu!!!
Sasa mwanume hapo anaonekana jentomani au ndio mnamdhalilisha tu mwanakwetu???
 
Unalijua limbwata la Dubai wewe??

Lile likikolea unaaza kuweka kichupa juu ya meza, unaenda kazini afu unamwambia

Utakunywa hilo limbwata vijiko viwili mara 3, na anakunywa religiously

Hahahahahahah!
We Ni Balaa!
 
Afu dunia hii ya sasa ya matambara kweli, mjini hapa??
Wakati kuna freestyle hadi za mia mbili??
Wizi mtupu!
Mwanamme mzima kiushikwa ushahidi ndio huku

Wala haihusu mkuu,yaani watu wanaacha shughuli zao wana kazi ya kukagua nguo zinazoingizwa kwenye beseni,ile sketi ya mtoto,lile tambara la mkewe utafikiri mnalionaga akilitumia! Acheni umbea fanyeni yenu. Yasiowahusu yasiwasumbue!
 
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">Inanikera na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa kike ambaye amehitimu elimu ya msingi, na wa kiume yupo darasa la sita wakati hawa wengine wawili ni wadogo.</font></font></span><br>
<span style="font-family: Calibri"><font size="3"><font color="#000000">Huyu bwana akiwa nyumbani anafanya kazi zote kama mke/mdada wa kazi ikiwa ni pamoja na kupiga deki, kuosha vyombo, kupika, na kufua nguo zote hadi nguo za ndani za mke wake na matambala anayotumia akiwa katika siku zake (<em>hii ni kweli kabisa</em>) na mbaya zaidi kazi hizi huzifanyia nje kweupe kabisa na akina mama majirani wakiwa wanamwangalia ikiwa ni pamoja na hao watoto wake wote !! Sasa kitu ambacho kimeniudhi leo ni kuona anafua suruali na nguo zingine za huyo binti yake wakati yeye anacheza lede barabarani, binafsi najiuliza haya ndio mapenzi tunayostahili kuwaonesha/kuwafanyia watoto na wake zetu? Na Je, nitumie njia gani kumfikishia ujumbe kuwa anayofanya ni kujidhalilisha? Kwani imefika sasa watoto wanamuona kama mhudumu tu hapo nyumbani. Naombeni ushauri wemu kwani mwanakwetu anatutia aibu.</font></font></span>
<br>
Hivyo ndio wanawake walivyo, anakuharibu akili halafu yeye ndio anaona safi na unampenda!! kupenda gani kwa kulazimishwa? Huyo jamaa kachezewa akili, wewe huwezi kumsaidia. Ukijaribu tu yeye mwenyewe (mwanaume) ndio atakupeleka polisi. Waambie ndugu zake na uwashauri watembee sehemu husika. Mie nilikuwa siamini hayo mambo mpaka siku nilipoona mzee mzima (baba ake mshikaji tuliyekua pamoja) analia kama mtoto kisa kimada wake kamwambia hamtaki tena!!! Akamwambia kama anataka waendelee aombe kustaafu kwa hiari ampe kiinua mgongo afanye business. Huyo mzee alipopata kiinua mgongo akampa huyo dada. Hatujawahi kumwona tena huyo dada, tunasikia tu aliendaga afrika ya kati ni mfanyabiashara huko. Huyo Mzee alikuja pigika kimaisha hakuna mfano, akahamia kijijini kwao. (sijui kama yupo hai). Ninachotaka kusema ni kuwa huyo jamaa kachukuliwa msukule na mkewe, mpaka siku atakapozinduka. Akikumbuka hivyo anavyafanyiwa sasa hivi ataua huyo mwanamke (imetokea) lakini uwezekano mkubwa ni kutokumbuka. Du, wanawake nouma!
 
Kutesa kwa zamu babuu
Wakati hajaoa alikuwa anaringa, sasa zamu ya mke kuringa
Yaani mie limbwata namnywesha bila huruma

mwanamke anayekimbilia LIMBWATA ni yule asiyejiamini...amekaa kaa kama springi ya banko muda wowote anaweza kufyatuka
 
Inanikera
na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa
ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto
wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa kike ambaye amehitimu
elimu ya msingi, na wa kiume yupo darasa la sita wakati hawa wengine
wawili ni wadogo.

Huyu bwana akiwa nyumbani anafanya
kazi zote kama mke/mdada wa kazi ikiwa ni pamoja na kupiga deki, kuosha
vyombo, kupika, na kufua nguo zote hadi nguo za ndani za mke wake na
matambala anayotumia akiwa katika siku zake (hii ni kweli kabisa)
na mbaya zaidi kazi hizi huzifanyia nje kweupe kabisa na akina mama
majirani wakiwa wanamwangalia ikiwa ni pamoja na hao watoto wake wote !!
Sasa kitu ambacho kimeniudhi leo ni kuona anafua suruali na nguo
zingine za huyo binti yake wakati yeye anacheza lede barabarani, binafsi
najiuliza haya ndio mapenzi tunayostahili kuwaonesha/kuwafanyia watoto
na wake zetu? Na Je, nitumie njia gani kumfikishia ujumbe kuwa
anayofanya ni kujidhalilisha? Kwani imefika sasa watoto wanamuona kama
mhudumu tu hapo nyumbani. Naombeni ushauri wemu kwani mwanakwetu
anatutia aibu.

Kajitolee kazi ya u house girl bure!
 
attachment.php

Safiiiiii sana. Maisha kusaidiana bana. Kama ni mtoto tulimtafuta wote, kama ni nguo na wewe una mikono ya kufua! HAPA MAISHA NI RAHA TUPU
 
aaah jamani lakini huyo baba amezidi.haya kama mleta topic ni mbea,lakini is too much.kusaidiana kupo na ni vizuri mume amsaidie mke,lakini kwa hii imepitiliza.
 
Safiiiiii sana. Maisha kusaidiana bana. Kama ni mtoto tulimtafuta wote, kama ni nguo na wewe una mikono ya kufua! HAPA MAISHA NI RAHA TUPU

kuna vitu vya kusaidiana na vipo vingine ni majukumu ya mwanamke...huwezi jua huyo jamaa katika picha labda mkewe kafariki aua ni mgonjwa!!!!
 
Inanikera na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa kike ambaye amehitimu elimu ya msingi, na wa kiume yupo darasa la sita wakati hawa wengine wawili ni wadogo.
Huyu bwana akiwa nyumbani anafanya kazi zote kama mke/mdada wa kazi ikiwa ni pamoja na kupiga deki, kuosha vyombo, kupika, na kufua nguo zote hadi nguo za ndani za mke wake na matambala anayotumia akiwa katika siku zake (hii ni kweli kabisa) na mbaya zaidi kazi hizi huzifanyia nje kweupe kabisa na akina mama majirani wakiwa wanamwangalia ikiwa ni pamoja na hao watoto wake wote !! Sasa kitu ambacho kimeniudhi leo ni kuona anafua suruali na nguo zingine za huyo binti yake wakati yeye anacheza lede barabarani, binafsi najiuliza haya ndio mapenzi tunayostahili kuwaonesha/kuwafanyia watoto na wake zetu? Na Je, nitumie njia gani kumfikishia ujumbe kuwa anayofanya ni kujidhalilisha? Kwani imefika sasa watoto wanamuona kama mhudumu tu hapo nyumbani. Naombeni ushauri wemu kwani mwanakwetu anatutia aibu.



Duh!!!! Ila kama anafanya kwa kupenda mwenyewe bila kuwepo external forces/limbwata etc ni sawa but mbona ni too much?? Binafsi sikatai kumsaidia mamsapu kazi za nyumbani hususani weekend but naona huyu jamaa yetu kapitiliza na si ajabu akawa mume *****. Hayo sio malezi ya watoto hata kidogo,watoto ni lazima wafundishwe kazi za nyumbani bila kujali ni wa kike au wa kiume.Sasa kama mpaka nguo za watoto wakubwa tu anafua huyu baba,mi nadhani there is a problem somewhere,hii sio kawaida, Ni hayo tu!!!!!!
 
aaah jamani lakini huyo baba amezidi.haya kama mleta topic ni mbea,lakini is too much.kusaidiana kupo na ni vizuri mume amsaidie mke,lakini kwa hii imepitiliza.
kisukari, how far do u let your man go!? (in terms of kazi za ndani)
 
Last edited by a moderator:
Unalijua limbwata la Dubai wewe??

Lile likikolea unaaza kuweka kichupa juu ya meza, unaenda kazini afu unamwambia

Utakunywa hilo limbwata vijiko viwili mara 3, na anakunywa religiously

Uwii mbavu zangu duuu ukisikia mwanangu kua uyaone ndio hii sasa, mh we mdada we
 
Mmmmh, wee sema kutojiami na mengine yote

Kwa hiyo wali wa maji haujimini ndio maana ukaomba uchafuliwe ili uwe pilau??
Babu hivyo vionjo vya mahaba tu, kama mdalasini kwa wali

mwanamke anayekimbilia LIMBWATA ni yule asiyejiamini...amekaa kaa kama springi ya banko muda wowote anaweza kufyatuka
 
i feel proud,nikimpikia mume,nikimnawisha mikono mwenyewe.ndio thawabu zenyewe hizo.nikimpata wangu,mbona atafaidi,kama mapishi ndio mwenyewe.katika relationship tusichukuliane advantage.raha ya mahusiano ni kusaidiana kwa pande zote 2
 
Ukiona mnasaidiana pande zote mbili ujue huyo ni samaki, kuna wengine mikabechi

Haina pande inajichambua tu, saa hii inafaa sana kwa limbwata

i feel proud,nikimpikia mume,nikimnawisha mikono mwenyewe.ndio thawabu zenyewe hizo.nikimpata wangu,mbona atafaidi,kama mapishi ndio mwenyewe.katika relationship tusichukuliane advantage.raha ya mahusiano ni kusaidiana kwa pande zote 2
 
Back
Top Bottom