Haya ni mapenzi au kujidhalilisha!!

Haya ni mapenzi au kujidhalilisha!!

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
490
Inanikera na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa kike ambaye amehitimu elimu ya msingi, na wa kiume yupo darasa la sita wakati hawa wengine wawili ni wadogo.
Huyu bwana akiwa nyumbani anafanya kazi zote kama mke/mdada wa kazi ikiwa ni pamoja na kupiga deki, kuosha vyombo, kupika, na kufua nguo zote hadi nguo za ndani za mke wake na matambala anayotumia akiwa katika siku zake (hii ni kweli kabisa) na mbaya zaidi kazi hizi huzifanyia nje kweupe kabisa na akina mama majirani wakiwa wanamwangalia ikiwa ni pamoja na hao watoto wake wote !! Sasa kitu ambacho kimeniudhi leo ni kuona anafua suruali na nguo zingine za huyo binti yake wakati yeye anacheza lede barabarani, binafsi najiuliza haya ndio mapenzi tunayostahili kuwaonesha/kuwafanyia watoto na wake zetu? Na Je, nitumie njia gani kumfikishia ujumbe kuwa anayofanya ni kujidhalilisha? Kwani imefika sasa watoto wanamuona kama mhudumu tu hapo nyumbani. Naombeni ushauri wemu kwani mwanakwetu anatutia aibu.
 
Mgawanyo wa kazi mkuu, hujui mama anakazi zipi ngumu ambazo mumewe ameshindwa kuzifanya.
So hayo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe!
 
hayo ndio mapenzi bwana...sio watu penda nusu nusu. big up kwa jamaa
 
yawezekana atakuwa achangii kodi ya meza ndo ata anakuwa na mda mwing wa kufanya izo kazi, na km znamkela na ana uwezo c angeweka house girl wala usimshtue kwan shemeji atakchukia, pole kwa kukereketwa
 
Inanikera na leo imenikera zaidi hadi nasikia kukereketwa kooni! Jamani hapa ninapoishi kuna jirani ambaye ni baba mwenye familia ya mke na watoto wanne. Kati ya watoto hao mmoja wa kufikia ni wa kike ambaye amehitimu elimu ya msingi, na wa kiume yupo darasa la sita wakati hawa wengine wawili ni wadogo.
Huyu bwana akiwa nyumbani anafanya kazi zote kama mke/mdada wa kazi ikiwa ni pamoja na kupiga deki, kuosha vyombo, kupika, na kufua nguo zote hadi nguo za ndani za mke wake na matambala anayotumia akiwa katika siku zake (hii ni kweli kabisa) na mbaya zaidi kazi hizi huzifanyia nje kweupe kabisa na akina mama majirani wakiwa wanamwangalia ikiwa ni pamoja na hao watoto wake wote !! Sasa kitu ambacho kimeniudhi leo ni kuona anafua suruali na nguo zingine za huyo binti yake wakati yeye anacheza lede barabarani, binafsi najiuliza haya ndio mapenzi tunayostahili kuwaonesha/kuwafanyia watoto na wake zetu? Na Je, nitumie njia gani kumfikishia ujumbe kuwa anayofanya ni kujidhalilisha? Kwani imefika sasa watoto wanamuona kama mhudumu tu hapo nyumbani. Naombeni ushauri wemu kwani mwanakwetu anatutia aibu.

Hali ya kuichumi ya huyo mwanaume ikoje? Ni nani anayetunza hiyo familia, huyo baba au mama? Na vipi huyo mume amewahi kutoa malalamiko yoyote kuhusiana na hizo kazi anazozifanya? Wana ugomvi wowote ndani ya familia? Kama majibu yote ni NO, basi achana nao, usije kuonekana unaingilia maisha yao ya ndani!
 
Mume bwe.ge huyo halafu nina wasiwasi ule mchezo wa usiku yeye ndio huwa anafanyiwa na hata hao watoto ni wa yule Mangi muuza genge pale mwisho wa mtaa...
Mwanaume kichwa cha nyumba huwezi fanywa mbulula namna hiyo...
 
Aaaaaaah! Embu muache bi shosti AJILIE MATUNDA YAKE YA SUKARI YA DUBAI!!!!!!!!!! Chezeyaaaa KUWEKWA KWENYE CHUPA NA KUPILIZIWA KUTWA MARA 3!!!!!!!!!!!!!

Hata akimwambia NIBEBE nipeleke Dukani anambeba!!!!!!!!!!!!! Ndo dawa yenu hiyoooo bila hivo BEIJIN tutabaki twaisikia!!!!!!!!!

Na kama ningekuwa mke wa huyo mbaba ningesikia unaleta ushambenga NA WEWE NAKUWEKEAAA VITUZZZZZ!!!!!!! WATULI WAMSAIDIA MWENZIO KUSUUZA VITAMBAAAA!!! lol!
 
Unalijua limbwata la Dubai wewe??

Lile likikolea unaaza kuweka kichupa juu ya meza, unaenda kazini afu unamwambia

Utakunywa hilo limbwata vijiko viwili mara 3, na anakunywa religiously

Aaaaaaah! Embu muache bi shosti AJILIE MATUNDA YAKE YA SUKARI YA DUBAI!!!!!!!!!! Chezeyaaaa KUWEKWA KWENYE CHUPA NA KUPILIZIWA KUTWA MARA 3!!!!!!!!!!!!!

Hata akimwambia NIBEBE nipeleke Dukani anambeba!!!!!!!!!!!!! Ndo dawa yenu hiyoooo bila hivo BEIJIN tutabaki twaisikia!!!!!!!!!

Na kama ningekuwa mke wa huyo mbaba ningesikia unaleta ushambenga NA WEWE NAKUWEKEAAA VITUZZZZZ!!!!!!! WATULI WAMSAIDIA MWENZIO KUSUUZA VITAMBAAAA!!! lol!
 
attachment.php
 

Attachments

  • hubby.jpeg
    hubby.jpeg
    33.1 KB · Views: 1,696
Sioni km kuna ubaya km anafanya bila kulazimishwa, km kuna sayansi nyingine hilo halinihusu. ila km ana furaha hamna shida maana nyie( baadhi ya wanawake) hamwishi kulalamika mara anashinda kwenye pool, mara bao n.k, huyo kaamua kuzifanya ww una fikiria kutafuta njia ya kumsaidia- labda wakati anafua ww uwe unaanika (joke)
 
Sioni km kuna ubaya km anafanya bila kulazimishwa, km kuna sayansi nyingine hilo halinihusu. ila km ana furaha hamna shida maana nyie( baadhi ya wanawake) hamwishi kulalamika mara anashinda kwenye pool, mara bao n.k, huyo kaamua kuzifanya ww una fikiria kutafuta njia ya kumsaidia- labda wakati anafua ww uwe unaanika (joke)

we ndugu hebu tema mate pembeni...mwanaume ana nafasi yake kwenye familia. hivi umesoma kila neno aliloliandika mleta uzi huu?
 
Unalijua limbwata la Dubai wewe??

Lile likikolea unaaza kuweka kichupa juu ya meza, unaenda kazini afu unamwambia

Utakunywa hilo limbwata vijiko viwili mara 3, na anakunywa religiously


lara 1 said:
Aaaaaaah! Embu muache bi shosti AJILIE MATUNDA YAKE YA SUKARI YA DUBAI!!!!!!!!!! Chezeyaaaa KUWEKWA KWENYE CHUPA NA KUPILIZIWA KUTWA MARA 3!!!!!!!!!!!!!

Hata akimwambia NIBEBE nipeleke Dukani anambeba!!!!!!!!!!!!! Ndo dawa yenu hiyoooo bila hivo BEIJIN tutabaki twaisikia!!!!!!!!!

Na kama ningekuwa mke wa huyo mbaba ningesikia unaleta ushambenga NA WEWE NAKUWEKEAAA VITUZZZZZ!!!!!!! WATULI WAMSAIDIA MWENZIO KUSUUZA VITAMBAAAA!!! lol!


Wanawake wabaya nyie...mkiwa mnatafuta wachumba huwa mnakuwa wapole....
Mara "Oohh mi nataka mwanaume jentomani nikitembea naye mtaani nionekane mwanamke katika wanawake", lakini mkishaingia ndoani hakuna sangoma mnaacha kumjua...ptuuuu!!!
Sasa mwanume hapo anaonekana jentomani au ndio mnamdhalilisha tu mwanakwetu???
 
Pilipili ya shamba yakuwashiani??

Alegezwe mwenzio wee bize kukata mauno, inahusu?

Wala haihusu mkuu,yaani watu wanaacha shughuli zao wana kazi ya kukagua nguo zinazoingizwa kwenye beseni,ile sketi ya mtoto,lile tambara la mkewe utafikiri mnalionaga akilitumia! Acheni umbea fanyeni yenu. Yasiowahusu yasiwasumbue!
 
Back
Top Bottom