Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 987
Nikirudi katika mada, Tume ya ilikuwa inaratibu maoni ya wananchi kama tuelekee katika Mfumo wa Vyama Vingi au tubaki katika Mfumo wa Chama Kimoja cha Siasa waliandika mapendekezo kadhaa katika Taarifa yao. Tume hii ilijulikana kama Tume ya Jaji Francis Nyalali.
Naomba usome mapendekezo ya Tume halafu utafakari ikiwa ni zaidi ya miaka 20, je tupo kwenye njia sahihi?
Tume hiyo iliundwa na:
1. Jaji Mkuu Francis Nyalali - Mwenyekiti wa Tume
2. Ndg Abdulwahid M. Borafia - Naibu Mwenyekiti wa Tume
3. Julius Sepeku - Katibu wa Tume
Wajumbe toka Tanzania Bara
1. Tito M. Budodi
2. Balozi Dk. Wilbert K. Chagula
3. Hindu B. Lilla
4. Pius Msekwa
5. Juma Mwapachu
6. Balozi Tatu Nuru
7. Isidore L. Shirima
8. L. Nangwanda Sijaona
9. Dk. Kapepwa I. Tambila
10. Crispin Tungaraza
Wajumbe toka Tanzania Zanzibar
1. Wolfango Dourado
2. Ussi K. Haji
3. Pandu Ameir Kificho
4. Aboud Maalim
5. Omari O. Makungu
6. Prof. Haroub Othman
7. Salim Juma Othman
8. Zaina Khamis Rashid
9..Ali Juma Shamuhuna
10. Juma Khiari Simai