Haya ni madini gani?

Powder

JF-Expert Member
Jan 6, 2016
4,417
5,441
IMG_20170625_135104.jpg
IMG_20170625_135100.jpg
Nimeyakuta mkoani huku!
 

Attachments

  • IMG_20170625_135012.jpg
    IMG_20170625_135012.jpg
    148.4 KB · Views: 133
  • IMG_20170625_135008.jpg
    IMG_20170625_135008.jpg
    164.6 KB · Views: 111
Duuh ,, hebu andaa kabisa ma bodyguard wakukulinda maana hapo ushatajirika..
 
Nimeshayabeba Mkuu! Nimekuta na madini mengine yana rangi ya kijani na Zambarau hivi, yenyewe yana ukubwa kama wa Kokoto.
mkuu kilo nzima ya hiyo kitu unaweza ukakosa ofa hata ya elfu tano.
achana nayo!

yanatakiwa kuwa zambarau iloyokoza sana.......
yanaitwa amethyst.
 
pleo,
Siyo amethyst. Ni MCHANA KAMA WA BAHARINI. Yaani ule tunajengea na kupigia ripu. Yanaitwa QUARTZ. Yanathamani ndogo sana hutumika kama mapambo majumbani na kwenye hereni na mikufu.

Amethyst ni quartz iliyochanganyika na madini mengine yenye rangi ikapendezeshwa kwa rangi rangi.

Quartz hutumika pia kutengeneza vioo mfano miwani na vioo vya magari, saa na kwenye viwanda vya technolojia ya digital kama hizi simu za kisasa, calculeter na laptop
 
Hayo ni white QUARTZ, Crystal shape. kama moja lina kuanzia nusu kilo ni biashara, kama jiwe moja lina kilo 1 bei ya mwaka 2012 wkt nayachimbaa ilikuwa tsh 20000, likiwa na kilo nyingi ndivyo na bei iazidi kuwa juu, ilimradi yawe clear kiasi kwamba unaweza kusoma gazeti ukiweka juu yake. Kama yako makubwa makubwa uniambie uko mkoa gani ili nikutafutie soko
 
mkuu kilo nzima ya hiyo kitu unaweza ukakosa ofa hata ya elfu tano.
achana nayo!

yanatakiwa kuwa zambarau iloyokoza sana.......
yanaitwa amethyst.
Mkuu hayo ya Zambarau ilokoza pia nnayo Sample, nimeyaosha ngoja baadaye ntaweka picha hapa?
 
Hayo ni white QUARTZ, Crystal shape. kama moja lina kuanzia nusu kilo ni biashara, kama jiwe moja lina kilo 1 bei ya mwaka 2012 wkt nayachimbaa ilikuwa tsh 20000, likiwa na kilo nyingi ndivyo na bei iazidi kuwa juu, ilimradi yawe clear kiasi kwamba unaweza kusoma gazeti ukiweka juu yake. Kama yako makubwa makubwa uniambie uko mkoa gani ili nikutafutie soko
Mkuu! Ngoja niweke picha ya hayo mengine ya Zambarau, yenyewe ni Makubwa kuliko haya, na yana rangi tofauti, Zambarau ilokoza sana, iliyopauka, na rangi zingine zinaonekana kama light green n.k

NB:
Jiwe moja linaweza kuanzia kama size ya Kokoto, Gram 500 pia mengine yanaweza kufika mpaka 1 Kg.
 
mkuu kilo nzima ya hiyo kitu unaweza ukakosa ofa hata ya elfu tano.
achana nayo!

yanatakiwa kuwa zambarau iloyokoza sana.......
yanaitwa amethyst.
Yakiiva vizuri yanakuwa kama yamechongwa. Yanang'aa sana. Maeneo uliyoyapata kutakuwa na madini ya almas japo si lazima.
 
Quartz soko lake huwa linasumbua Sana ...hata ukienda mkoa wa rukwa yapo tena makubwa makumbwa na ni meupe ile mbaya...
 
Pia hata kama ni madogo yahifadhi kuna wakati wanatokeaga wateja, wananunua kwa kilo, japo watakupa fedha ya kula, cha msingi endelea kuchimba hapo hapo ulipo endelea kuchimba, utatoka mkuu,
 
Back
Top Bottom