Hayo maneno ya kuwa hawana nguvu yapuuze kabisa, yanaenezwa na wa mikoani kwa wivu wao dhidi ya wa dar.
Usiombe kukutwa na nguvu za wala chips wa dar, hutakaa urudi tena mikoani!
Watu wa Dar wengi walikuwa wa mikoani zamani na hata sasa wa mikoani wengi wana ndoto ya kuwa wa Dar. Ila Mtu wa mikoani kumchukia wa Dar, hakutampunguzia huo uumkoani wake.
Watu wa Dar wengi walikuwa wa mikoani zamani na hata sasa wa mikoani wengi wana ndoto ya kuwa wa Dar. Ila Mtu wa mikoani kumchukia wa Dar, hakutampunguzia huo uumkoani wake.
Watu wa Dar wengi walikuwa wa mikoani zamani na hata sasa wa mikoani wengi wana ndoto ya kuwa wa Dar. Ila Mtu wa mikoani kumchukia wa Dar, hakutampunguzia huo uumkoani wake.
Alafu kwanini mkipanda ndege za nje mnajipiga selfie? Hamuoni aibu!!! Mnatudhalilisha sana watu wa mikoani, mwingine anapanda na samaki..huu ni ujinga kabisa π