Haya ndo anayoyapenda Rais Wenu

Mimi sioni shida kwa hili..Tumwache JK ajiliwaze tena baada ya kazi ngumu. Mbona Obama naye huwa anapiga za namana hii tu.

Watu kama hawa wenye akili ya sisimizi ndio waliompigia kura huyu joker. Wee unamfananisha Obama ambaye nchi yake haina tatizo la kukatika umeme na huyu ambaye zaidi ya asilimia 80 ya watu wake hawamudu milo miwili kwa siku? Unaridhia kiongozi wa nchi kama hiyo awe maoneshoni kwa saa 4? Hebu mfananishe yeye na marais serious waliomtangulia: jee Nyerere angekaa maoneshoni hata kwa saa 1 akitembea na kucheeza bao?
Muda wote huu najiuliza ilikuwaje Watanzania wamchague mtu immature kama huyu ambaye sio kwamba amezuka tu, bali alikuwepo katika madaraka all the way na wameshuhudia utendaji wake? Lakini leo napata jawabu kwamba huenda ni kuwa wengi Watanzania ni mbumbumbu, hawana uwezo hata wa kutambua 'cause and effects'.
Wao wanajua kulalamika tu juu ya athari lakini kamwe hawana uwezo wa kiakili wa kung'amua nini sababu yake. Ni lazima iwe hao nddio walio wengi katika jamii hadi kumpata mtu kama JK kuwa kiongozi.
Huyu Mheshimiwa alikuwa Wizara ya Nishati, Watz mliona aliyoyafanya huko. Akaenda hazina, utendaji wake pia huko mliuona. Baadaye akenda Wizara ya Mambo ya nje kwwa mwngo mzima na ushee, mkaona aliyoyafanya, still......mlikuwa mpaka afanye nini ndio mngejua ni kioja?
Endeleeni..............
 
Mfano mimi nimuone baba yangu mzazi anajichekesha mbele ya vibinti huku akiviangalia makalio wakati huo nyumbani hakuna chakula na mdogo wangu anaumwa hakuna hela ya matibabu. Nikimtole matusi nitakuwa nakosea?

Iyo mikono imekua makali?!kwaiyo akikutana na watu Kama ivyo wanampa mikono awapite tu kisa humu jf kunawatu watakuja kumtukana ? nyinyi mtukaneni mpaka lakini yeye hanatam muungwana ni vitendo nanyinyi matendo yenu yanaonekana mmeaza kumtukana miaka kibao lakini hajali Kama mnathani mnamkera wala. Kumnyamazia mtu sikwamba anawaogopa anawadharau
 
Watu kama hawa wenye akili ya sisimizi ndio waliompigia kura huyu joker. Wee unamfananisha Obama ambaye nchi yake haina tatizo la kukatika umeme na huyu ambaye zaidi ya asilimia 80 ya watu wake hawamudu milo miwili kwa siku? Unaridhia kiongozi wa nchi kama hiyo awe maoneshoni kwa saa 4? Hebu mfananishe yeye na marais serious waliomtangulia: jee Nyerere angekaa maoneshoni hata kwa saa 1 akitembea na kucheeza bao?
Muda wote huu najiuliza ilikuwaje Watanzania wamchague mtu immature kama huyu ambaye sio kwamba amezuka tu, bali alikuwepo katika madaraka all the way na wameshuhudia utendaji wake? Lakini leo napata jawabu kwamba huenda ni kuwa wengi Watanzania ni mbumbumbu, hawana uwezo hata wa kutambua 'cause and effects'.
Wao wanajua kulalamika tu juu ya athari lakini kamwe hawana uwezo wa kiakili wa kung'amua nini sababu yake. Ni lazima iwe hao nddio walio wengi katika jamii hadi kumpata mtu kama JK kuwa kiongozi.
Huyu Mheshimiwa alikuwa Wizara ya Nishati, Watz mliona aliyoyafanya huko. Akaenda hazina, utendaji wake pia huko mliuona. Baadaye akenda Wizara ya Mambo ya nje kwwa mwngo mzima na ushee, mkaona aliyoyafanya, still......mlikuwa mpaka afanye nini ndio mngejua ni kioja?
Endeleeni..............
Do uyo Nyerere anaetolewa mfano sijui kaifanyia nini nchi hii cha ajabu zaidi ya kuwapa shida watanzania kwazaidi ya miaka20 ...wewe Ndio mbumbumbu namba moja
 
Tatizo lenu watanganyika mmesoma lakini hamkujua milipeleka wenzenu to shule ndio maana sisi millioni moja tunawapa changamoto nyie mijitu millioni 40 vichwa ngumu mnaonea fahari kuabudu mafuvu.

Silioni tatizo la JK au mmesahau mlipokuwa mkipanga foleni RTC kugombea sukari. na sasa kila kitu nje nje pesa yako tu, tatizo jengine watanganyika wavivu mnataka raha kimiujiza mkikosa mnatoa visingizio ooh JK dhaifu unataka akuletee maandazi kitandani? jitume kukabili changamoto zako.
so kuwepo kwa maduka mengi yanayouza sukari kwako ndo maendeleo? sas hizo pesa za kunuklia hiyo sukari hamna kabisa. watanzania wengi wameshaacha kunywa chai siku nyingi 2
 
Alikuwa akinunuliwa viatu anajipitisha kila nyumba ili wamuone, alafu anajisemesha: yaani hivi viatu sivipendi, nimekaanavyo kwenye sanduku mwaka sasa, leo nimeamua niwe navishindia tu! Lol

Inawezekana aisee.
 
Tangu mlinzi wake wa nguvu za giza sheikh Yahya aitwe mbele ya haki, mkweree hakai ofisini anaogopa majini!!! Ndio maana aidha yuko kwao Msoga kila weekend au yuko safarini nje ya nchi!! Anapaogopa hapo magogoni!!
Na huku kwetu Msoga huwa haonekani kabisa, siku nzima huwa amejifungia kwa yule mzee mchawi kabisa wa hapa kijijini (Kalumekenge), anachofanya humo ndani sijui, bali nahisi huwa anaongezewa ulinzi usioonekana. Usiniulize source kwani nyumbani kwetu ni nyumba ya 5 toka kwao JK.
 
so kuwepo kwa maduka mengi yanayouza sukari kwako ndo maendeleo? sas hizo pesa za kunuklia hiyo sukari hamna kabisa. watanzania wengi wameshaacha kunywa chai siku nyingi 2

Kwaiyo unataka serekali Ndio ikuletee sukari wakati we umeweka miguu juu nyumbani? Kweli wajinga hawataisha kama kunawatu waaina yako..watu hamtaki kujishuhulisha mnasingizia serekali nyinyi sijui Ndio wale wanaohisi ajira inatolewa na serekali tu akiwa hana kazi analaumu serekali ..
 
Analia, anacheka, anamwaga sera?

001.WALK.JPG
 
Watanzania wengi walichagua chama na si JK!
Nasikia alispend zaidi ya 4hrs anazunguka kwenye mabanda!
Nadhani ofisini atakuwa anakaa kukiwa na ugeni tuu!
Sijaona tatizo sana yy kusalimiana na hao wageni. Nadhani hao wageni walikuwa excited kukutana na rahisi wa Tz. Tatizo kubwa sana naloliona hapa ni wewe kutuhabarisha kuwa alitumia takriban masaa 4 ndani ya viwanja hivyo! Hili ni tatizo kubwa kwa kiongozi kama huyo kupoteza muda wote huo pale. Inaelekea hana majukumu makubwa yanayomkabili ktk nchi
too much uswahili!
 
Back
Top Bottom