Haya ndo anayoyapenda Rais Wenu

Haya ndo anayoyapenda Rais Wenu

jana alikuwa anacheza bao 7 7 na shemeji salma....akili ndogo kuongoza akili kubwa ni tabu
 
Huko Tumbatu kumechoka, hadi Ndege huwa wakipita hapo, wanapita Miguu juu ili walau kwa bahati mbaya wasije wakaacha hata Kinyesi chao kwa bahati mbaya.

Ni kama ule mji kwenye Biblia ambayo Yesu alipouona, AKALIA 🙁

Ohh, by the WAY: Hao watoto wawili wenye miwani, lohh!! Hako Kazungu, kenye nyeupe na kalikofungua Mdomo..... Nipo hoi 🙂
Signature yako tells a lot about you na ukilaza wako.
 
hio ndo maana halisi ya maonesho....vitu mbalimbali vinakuwa mnadani sasa mheshimiwa akitembeatembea kushuhudia hili na lile mnalalama...mnataka afanye nini amaaa
 
Ha ha ha saa 10 wkt npo maeneo fulan tunasikia elikopta inapta kumbe kilaza anakwenda kwao msoga!
 
haya maonyesho ni ya watz na nchi inapata mapato rais kutembelea nadhani si kosa maana wote walomtangulia walifanya hivo kosa lake nini? au Padre Slaa /Mbowe/Zitto wakiwa marais watayafunga maonyesho haya ambayo yamekuwa chachu ya mafanikio hasa kwa wajasiriamali wamama!!!!!
 
watz wanapoteza maisha yeye anajua alifanyalo
 
Hapo umemaliza ubishi mkuu, bora uwape somo hawa wavivu wa kufikiri.

Mpemba huyu kweli katuchoka. Lakini kuanza mbele kwenda kwao hawezi maana kule anaogopa kurogwa. Ngoja huu muungano ufikie tamati ndio mtajua wa Tanganyika ni watu aina gani. Na mkiondoka msisahau kubeba majini yenu maana huku bara hatuyahitaji. Pia msisahau kubeba nyumba na mashamba yenu kama mtaweza!!
 
Mimi sioni shida kwa hili..Tumwache JK ajiliwaze tena baada ya kazi ngumu. Mbona Obama naye huwa anapiga za namana hii tu.
 
Tatizo lenu watanganyika mmesoma lakini hamkujua milipeleka wenzenu to shule ndio maana sisi millioni moja tunawapa changamoto nyie mijitu millioni 40 vichwa ngumu mnaonea fahari kuabudu mafuvu.

Silioni tatizo la JK au mmesahau mlipokuwa mkipanga foleni RTC kugombea sukari. na sasa kila kitu nje nje pesa yako tu, tatizo jengine watanganyika wavivu mnataka raha kimiujiza mkikosa mnatoa visingizio ooh JK dhaifu unataka akuletee maandazi kitandani? jitume kukabili changamoto zako.
Sawa kaka, wenye akili na wanaojua kufikiri ni wale walio kimbia machafuko Pemba wakapata hifadhi Somalia!
 
Mimi sijaelewa vyema hapa, nimeona Rais anasalimiana na wananachi wakiwemo wageni, I hope alitembelea mahali ama ziara fulani, labda wewe ungeiweka bayana hapa ni wapi exactly. Meseji yako haina uhusiano na picha uliyoweka, hilo tu limedhihirisha kiwango cha elimu ulicho nacho. Sitaki kuamini wewe si Mtanzania kwani mgeni yeyote katka jamvi hili la JF hana mamlaka ya kutapika mithiri ya Ulivyofanya, kwamba 'Mambo anayoyapenda RAIS WENU'. Wewe ni Mkenya, Mganda, Mrundi au? Hata kama unakosoa jambo la nchi ama kumkosoa yeye binafsi si kwa mfumo huu. Naamnini Baba yako mzazi kama yupo atakuwa na baadhi ya picha kama hizi ila tu endapo alipata elimu na fursa ya kuchaguliwa kuwa VEO yaani Mtendaji wa Kijiji. Ukiangalia threads za waliokujibu ama kuchangia, nimeona mawazo yao ni kama wanaihusianisha picha na kupenda wanawake, mfano kuna mmoja amedai kuwa mbona DR SLAA aliacha kanisa na kujiingiza kwa wanawake? Huyo naye aliyechangia hivyo ana akili kama zako kwani huwezi ingilia uhuru binafsi wa mtu ili mradi havunji sheria . Tanzania ni nchi ya juu sana katika kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari. Fanya utafiti urudi jamvini kujibu hilo. Ndo maana anayetaka kusema lolote RUKSA ili mradi siku ikifika atabaini kuwa alitenda dhambi. NAUFANANISHA UTAWALA WA RAIS JK na Utawala wa MWENYEZI MUNGU kwamba, ukitaka kuiba iba, ukitaka kutukana tukana, ukitaka kuzini zini, Lakini siku ya kiama ukifika utakiona. Mara nyingi Nabii hathaminiwi kwao, hebu mchunguze JK katika sura ya kimataifa uje unipe jibu. hebu tafakari Takukuru ilivyojipanga dhidi ya wabadhirifu utamke wazi mapungufu yake hapa. hebu nipatie salam za majambazi nchini wanasemaje mtaani, Hebu nenda kinondoni ufanye research kwa mateja uone kama yanaulamba unga kiurahisi kama ilivyokuwa awali. Uliwahi kuwaza kama Gavana wa Benki Kuu ya nchi anaweza kuikimbia nchi yake kama BALALI ukiachia mbali MTEI macho kushoto Gavana kipindi cha Mwl. Aliingia ugavana akiwa na mawazo ya MOSHI yaani -Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo. Mwl Nyerere akamtimulia mbali, nina maanisha Baba Mkwe wake na freeman Mbowe. Tafakari ni wapi ulipoona Jeshi la Polisi limejipanga kiulinzi kama la Tanzania, umeona Syria lakini? Hivi kwa PICHA yako hii na mambo ya SARKOZY unayalinganisha ? Au hata humjui ni nani? Jacob Zuma Msouth na King Mswati unawasikiliziaje. Kwa kukosoa kwako naona hata Mfalme Suleiman na King David walikuwa wapumbavu kwako. Hata hivyo huendana nikakupa Elimu kubwa mtu mwenyewe ni kibera
 
Hana anachowaza zaidi ya kutembea tembea na kuangaliangalia wanawake..so kwake ni hobby nambari wani..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Style ya raisi kijana, handsome iliwafumba macho waTZ mwaka 2005. 2010 wakachakachua. sasa sijui 2015 watakuja na style gani, raisi mtoto au sura mbaya!.
 
Mpemba huyu kweli katuchoka. Lakini kuanza mbele kwenda kwao hawezi maana kule anaogopa kurogwa. Ngoja huu muungano ufikie tamati ndio mtajua wa Tanganyika ni watu aina gani. Na mkiondoka msisahau kubeba majini yenu maana huku bara hatuyahitaji. Pia msisahau kubeba nyumba na mashamba yenu kama mtaweza!!
We baki na ukabila wako,sie tunasonga mbele. Umeona wapi mpemba anajina la majebere. Kajifunze historia wewe.
 
Nini cha ajabu au umeingiwa na Wivu, SUBIRI DR SLAA aingie ukione cha moto, hivi unajua atimbwili la Makao Makuu Chadema linaloendelea akilazimisha kumtafutia Mke wake nafasi ya Lazima katika Uongozi. Unajua maana ya Moshi? Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo, ukiona mtu kaukimbia msikiti au kanisa basi ujue ni kimeo, sema hujui tu. Ina maana Benson Kigaila na wewe Zitto Kabwe mmeshindwa kabisa kuwang'oa Mbowe na Slaa ili chama kiongozwe na mawazo mbadala? Unaona wanazidi kuongezeka tu, kimeingia kimeo kingine Nasari na walivyo na mbinu kali wamechukua jembe letu Mdee kwa mbinu ya mapenzi na matokeo yake amewakimbia kifikra, sera ya ajimbo Zitto utaumia Kigoma, Singo usilale utaumia Dodoma, Shibuda Maswa wanakujua wewe hawamjui Slaa wala Mbowe, TUKULIWA KUNUMA GETE BAGESI BATANDULAGE
 
Back
Top Bottom