Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,729
Ni
Ni tawi la Marekani acha ubishi ,linaishi Kwa nguvu za MAREKANI .Fuatilia hata ruzuku na siraha anazopewaIsrael hawezi kuwa kibaraka wa marekani labda iwe vice versa maana raia wa waisrael wameshika sehemu zote nyeti marekani kuanzia Hollywood mpaka kwenye sekta ya siasa







