Haya Ndio Mataifa huru duniani

Haya Ndio Mataifa huru duniani

Ni

Ni tawi la Marekani acha ubishi ,linaishi Kwa nguvu za MAREKANI .Fuatilia hata ruzuku na siraha anazopewa
Hujui chochote waisrael walioko marekani ni wengi kuliko waliopo Israel na ndio wanaendesha siasa za marekani, hivi hujiulizi netanyau alipata wapi ujasiri wa kuwakoromea viongozi wa marekani. Ingekuwa Taifa jingine vingeanza vikwazo na mkakati wa kumwangusha kiongozi wa Israel lakini kwanini walikaa kimya
 
Wewe sijui shule umesomea wapi braza, Taifa huru duniani ni USA tu, yalobaki ni vibaraka tu hawana lolote, Russia yako hiyo haiwezi kusimama agenda pale UN hadi ikapita au kuungwa mkono sasa huo uhuru wako unaoizungumzia iko wapi.

China wanaminywa makende na USA hadi this time, hawawezi chochote mbele ya USA labda kwa majirani tu, angekuwa huru Huawei isingepotea kwenye ramani duniani braza, baba wa dunia ni USA

Russia kavimbiwa hadi Ukraine, Prighozin, etc sasa huo uhuru unazungumzia nini, najua lengo lako ni kutaka kuweka Russia na USA katika level 1 bt Russia bado braza
We hamna kitu kabisa, inaonekana unapenda league, hujamwelewa mketa mada , inatakiwa uulize kwa Nini hayo mataifa.
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Where is India my guy?
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Hata Tanzania tuko huru sema hatupendi tu kujionyesha...
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Nyingine hii Cuba.
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Mawazo yako haya.
Tuambie.
Ujerumani ni kibaraka wa nani?
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Mtoe Iran . Iran bila Urusi na China hatoboi, so hafai kukaa hapo.
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
UK, France na German ni vibaraka tu
 
Dunia ina jumla ya Nchi 195 lakini ni Mataifa 5 tu ndiyo yako huru kisiasa, kiuchumi, kijeshi nknk. Tunavyozungumzia Mataifa huru ni yale ambayo hayaingiliwi kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na siyo kibaraka wa taifa fulani.

Mataifa haya huwa yanafanya maamuzi magumu pindi usalama wa nchi unapokuwa hatarini. Yanajiweza kijeshi, technolojia, hayaingiliwi kisiasa na taifa lolote lile. Na pia hayaogopi taifa lolote lile linapokuja suala la usalama wa nchi.

Mataifa 5 tu yako huru ambayo ni:
1. Russia
2. USA
3. China
4. Iran
5. North Korea
Hayo ndiyo Mataifa huru Duniani it’s crazy lakini ndio hali halisi. Ni huzuni kuona Mataifa makubwa kama Ufaransa, Ujerumani, Japani na UK hayako huru.

Hata WW3 itatokea bhas hayo Mataifa juu yatakua chanzo.
Unatumia cha Arusha
 
Wewe sijui shule umesomea wapi braza, Taifa huru duniani ni USA tu, yalobaki ni vibaraka tu hawana lolote, Russia yako hiyo haiwezi kusimama agenda pale UN hadi ikapita au kuungwa mkono sasa huo uhuru wako unaoizungumzia iko wapi.

China wanaminywa makende na USA hadi this time, hawawezi chochote mbele ya USA labda kwa majirani tu, angekuwa huru Huawei isingepotea kwenye ramani duniani braza, baba wa dunia ni USA

Russia kavimbiwa hadi Ukraine, Prighozin, etc sasa huo uhuru unazungumzia nini, najua lengo lako ni kutaka kuweka Russia na USA katika level 1 bt Russia bado braza
Nakubalina na wewe 100% Russia ndo kwanza anapigania uhuru wake. Bado hana uhuru wowote na ndo maana ana vikwazo kila kona. Nani anayeweza kumwekea US vikwazo. Uchumi wa Russia bado sana. Ni sawa na Uchumi wa Jimbo tu US. Uhuru lazima uendane na uchumi
 
Back
Top Bottom