dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,019
- 5,436
Kwanini usioe tu, dhambi zote zanini hizo mzee?Inatufundisha tusiende gest na michepuko yenye watoto, lol
Kwanini usioe tu, dhambi zote zanini hizo mzee?Inatufundisha tusiende gest na michepuko yenye watoto, lol
NashukurPolee sana mkuu
Kuna mengine ukubali tu yakupite sasa mambo ya kwenda kwenye date na nappy bag yanatoka wapi?hii ishu kwa wanaume ambao walishawahi kudate wadada wa hivyo lazima watakuwa wamekutana nayo.
Inakera kwa kiasi chake ukimshika mama kama toto yupo macho anaweza kupiga kelele balaa.
Lol, spare my ribsMtoto alijua mama yake kamletea vitenesi vipya..
ILIKUWA HIVIIII
Wiki hii katika zunguuka yangu nikakutana na mchepuko wangu wa zamani ukiwa nao katika safari zake,tukasalimiana nikaona kwa kuwa jua ni kali basi tupate kinywaji kupoza moyo
Mtoto yule akanivunjia raha zangu
Tulipoteana kitambo kidogo na hii iwe tahadhari pia kwako ntu na ntue wa kitamboHivi mlikuwa na minyege kiasi gani hadi mwende gest na mtoto? hiviii.............. ooooh noo hii sio kweli
Unaongea na mimi, unaongea na mleta mada, lol.Kwanini usioe tu, dhambi zote zanini hizo mzee?
Nashukuru kwa mchango wakoMmh. Nina mashaka na uwezo wenu wa kifikiri na kufanya maamuzi. Inaonekana mnalingana akili zenu mana hakuna wa kujua baya na zuri.
Lol. Aibu yenu kama ni kweli.
Haha..Kuna mengine ukubali tu yakupite sasa mambo ya kwenda kwenye date na nappy bag yanatoka wapi?
By the way hata akioa na ana chumba kimoja mambo si yatakua yale yale tu, lolKwanini usioe tu, dhambi zote zanini hizo mzee?
Na wewe mwanaume kabisa unapata hisia na kimalaika kimelala hapoKulala na mtoto ambaye kashazoea kulala na mama tabu saana
Haya ngoja nikuache bwana ukuja paliwa ukatapika daku yako bure..Lol, spare my ribs