Haya ndio majina ya wakuu wa wilaya wa Kikwete waliotemwa na Magufuli

Poleni sana, lakini ndio hivyo tena dada, chama kwanza dini baadaye

Ni matumaini yetu kuwa haki inatendeka kwa dini zote kama ahadi za uchaguzi.

Kofi la kwanza la ki kelb tulilozabwa ni pale Ndalichako aliporudishwa kwa cheo cha uwaziri katika wizara ambayo tuliwahi kuandamana kutotutendea haki mpaka akang'atuka.

Tunayatazama yote kwa macho mawili na moyo mkunjufu tukitegemea kuwa haki inatendeka.
 
Kuna mwingine anaitwa Msabi Mnassa (Arumeru), Mzindakaya (Busega), Gishuli, Kirigini (MASWA), Sima (MEATU)
 
Ni matumaini yetu kuwa haki inatendeka kwa dini zote kama ahadi za uchaguzi.

Kofi la kwanza la ki kelb tulilozabwa ni pale Ndalichako aliporudishwa kwa cheo cha uwaziri katika wizara ambayo tuliwahi kuandamana kutotutendea haki mpaka akang'atuka.

Tunayatazama yote kwa macho mawili na moyo mkunjufu tukitegemea kuwa haki inatendeka.
sasa mkuu mbona mlolongo huo wote ni wa dini yenu na sikubahatika kuona wa upande wa pili wakilalamika? au nilipitwa sikuona jinsi walivyokuwa wakilalamika?
 
Angalia uwezo wake wa kikazi na kielimu.
Au umelishwa, haujajuwa CV yake huyo mdada?
Nenda tafuta hiyooooo cv yake... Acha tumpime kwa utendaji wake na sio kukosoa kila kitu....
Anayo sifa ya kupata hiyo nafasi....
 
mleta mada tumekuelewa lengo lako.MA-DC wapya waliochaguliwa ni 139 .uKAONA UCHAGUE hao wachache uwapange kwa dini ionekana kama wameachwa kwa ajili ya dini yao.

Uteuzi wa Raisi unaangalia uwezo wa mtu tu sio ukubwa wa sigda usoni au ukubwa au udogo wa makalio aliyo nayo mtu
 
Waislam kazi ipo...!! Jamaa ni mdini dhahil.
Kwahiyo huyo aliyekuwa amewateuwa hao naye alikuwa mdini?
Maana kama hao wote ni waislam, na we unaamini kuwa wametolewa kwa kuwa ni waislam basi, amini kuwa aliyewateua naye aliwateua kwa kuwa ni waislam... Basi tuseme kuwa na yule naye kwa kuwa alikuwa muislam basi naye pia alikuwa mdini...
Na kuna mtu hapo chini kasema kuwa hatukuona wakristo wakilalamika kuwa Rais ( wakati ule ) alikuwa ni mdini kwani aliwateua watu wa dini yake tuu....
MY TAKE... JAMANI TUACHE UDINI USIOKUWA NA MAANA, HII TANZANIA NI YETU SOTE.
NA NINAAMINI KUWA WANAPOTEUA HAO WAKUU WA WILAYA AU MTU YEYOTE KATIKA NAFASI YYTE, HUWA HAWAANGALIAGI DINI YA HUYO MTEULIWA, ILA NI VIGEZO VINGINE KAMA VILE MTOTO WA NANI, ANAMJUWA NANI, CHAMA GANI AU ANA UWEZO GANI... ILA SIAMINI KAMA WANAANGALIA NI WA DINI GANI....
Nyie wenzetu huwa mna inferial complex saaana, huwa kila kitu mnaangalia katika upande wa dini,,,, sio hivyo jamani.... Mnakera sana nyie...
 
Ni matumaini yetu kuwa haki inatendeka kwa dini zote kama ahadi za uchaguzi.

Kofi la kwanza la ki kelb tulilozabwa ni pale Ndalichako aliporudishwa kwa cheo cha uwaziri katika wizara ambayo tuliwahi kuandamana kutotutendea haki mpaka akang'atuka.

Tunayatazama yote kwa macho mawili na moyo mkunjufu tukitegemea kuwa haki inatendeka.
Pole Sana may be hawakukidhi vigezo hasa vya elimu.
Hili la Ndalichako kutoka Necta mbona wadau wanasema sio Waislamu waliofanya aondoke? Inasemekana Matokeo ya form four 2012 ndio hasa yaliyosababisha atoke na sio mambo ya waislamu.(Ila sina uhakika ni habari tu za hapa na pale)
 
Waislam kazi ipo...!! Jamaa ni mdini dhahil.
Serikali haina udini. Acheni kupotosha. Hivyo hivyo hata kwa JK baadhi ya wakristo walisema JK ni mdini lakini baadaye hao hao wakristo walikuja kugundua JK hakuwa mdini kabisa, na kibaya zaidi waislam nyie hao hao mkaanza kusema JK anapendelea wakristo. Serikali ya awamu hii haiangalii udini wala ukabila na rais amekuwa wazi kulisemea hilo, ila mtu kama wewe mwenye ubongo uliojazwa minyoo unasema kuna udini. Yaani mimi uislam hapo ndipo nauchukia na kuwachukia sana wafitini kama wewe. Kuna rafiki yangu tulisoma naye A level majirani walikuwa wanamsema vibaya sana kisa kaacha kusoma dini anaenda kusoma A level, wao walitaka aishie form four tena ile ya kufelifeli baadaye aendelee kusoma dini. Sasa uone jinsi watangulizi wenu walivyokuwa waajabu.
 
Back
Top Bottom