johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
Miaka mitano iliyopita, wakati kama huu, wakazi wa kijiji cha Kigaga wilayani Kibondo mkoani Kigoma, kama wengine Tanznaia, waliahidiwa maisha bora kwa kila mdanganyika
leo miaka mitano baadaye, zahanati ya kijiji chao imefungwa kwa wiki mbili baada ya mhudumu pekee aliyepo, kuifunga kwa kuwa anakwenda kuhudhuria semina mjini Kigoma
Matokeo yake, wakazi wa kijiji hicho wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita tano kwenda vijiji jirani kufauta matibabu
badaye ya kutafutwa, mhudumu huyo Bi Merina January amesema anarejea wakati wowote kuanzia sasa kuendelea kutoa huduma
huduma zenyewe mtaalamu huyo pekee katika zahanati hiyo, anazitoa kwa kufuata ratiba. anassema "Jumatatu na Jumanne anatoa huduma za tiba kwa wagonjwa wa Jumla, Jumtano anatoa huduma kw aajili ya akina mama wajawazito wanaofika kwa mara ya kwanza, alhamisi chanjo kwa watoto, ijumaa kwa wajawazito, ...."
mhudumu huyo ambaye anafanya kazi zote kuanzia usafi hadi kazi nyingine yoyote ya kitabibu unayoweza kufikiria anaiomba halmashauri ya wilaya ya Kibondo kumwongezea ANGALAU mhudumu mwingine kwani nanye ANACHOKA
Nenda kapige kura na tafakari
leo miaka mitano baadaye, zahanati ya kijiji chao imefungwa kwa wiki mbili baada ya mhudumu pekee aliyepo, kuifunga kwa kuwa anakwenda kuhudhuria semina mjini Kigoma
Matokeo yake, wakazi wa kijiji hicho wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita tano kwenda vijiji jirani kufauta matibabu
badaye ya kutafutwa, mhudumu huyo Bi Merina January amesema anarejea wakati wowote kuanzia sasa kuendelea kutoa huduma
huduma zenyewe mtaalamu huyo pekee katika zahanati hiyo, anazitoa kwa kufuata ratiba. anassema "Jumatatu na Jumanne anatoa huduma za tiba kwa wagonjwa wa Jumla, Jumtano anatoa huduma kw aajili ya akina mama wajawazito wanaofika kwa mara ya kwanza, alhamisi chanjo kwa watoto, ijumaa kwa wajawazito, ...."
mhudumu huyo ambaye anafanya kazi zote kuanzia usafi hadi kazi nyingine yoyote ya kitabibu unayoweza kufikiria anaiomba halmashauri ya wilaya ya Kibondo kumwongezea ANGALAU mhudumu mwingine kwani nanye ANACHOKA
Nenda kapige kura na tafakari