Haya ndio magari chaguo langu

Jamani nahitaji maelezo ya kina kuhusu hii gari.

Subarus are generally okay.
Ziko poa ukiendesha (handling na comfortability), engine nzuri na ina space ya kutosha (si kubwa sana) ila hii iko chini kidogo (low ground clearance) so njia korofi uende mdogo mdogo. Ukizingatia pia haina approach angle nzuri pia (ina bumper la mbele refu kidogo) so kama unapita njia zenye changanoto nyingi jiandaw kuigusisha chini unless uinyanyue kidogo.
Model za nyuma kama ilivyo forester zilikuwa na tabia ya kula oil zikifika km 140,000 na kuendelea. Sina hakika kama ni kweli au la ila ukipata yenye mileage chache chukua kama unaipenda.
 
Subarus are generally okay.
Ziko poa ukiendesha (handling na comfortability), engine nzuri na ina space ya kutosha (si kubwa sana) ila hii iko chini kidogo (low ground clearance) so njia korofi uende mdogo mdogo. Ukizingatia pia haina approach angle nzuri pia (ina bumper la mbele refu kidogo) so kama unapita njia zenye changanoto nyingi jiandaw kuigusisha chini unless uinyanyue kidogo.
Model za nyuma kama ilivyo forester zilikuwa na tabia ya kula oil zikifika km 140,000 na kuendelea. Sina hakika kama ni kweli au la ila ukipata yenye mileage chache chukua kama unaipenda.
Asante sana boss, nimepokea.
 
Hii mada ni pana kuliko unavyofikiria. Hata kama una hela inabidi ununue gari ambayo utakuwa na mahali pa kufanya service (hata kama haijaharibika) na inayoweza kuendana na matumizi yako.
Lakini pia si kila mtu ana pesa, hivyo watu wanavyoshaurinau kuomba ushauri kuhusu magari fulani na kulinganishwa na magari fulani, lazima aambiwe mapungufu na mazuri ya hizo gari. Hakuna sababu ya kutetea mapungufu ya gari fulani kwa kigezo cha umaskini.
Kama gari ina poor fuel consumption mtu ataambiwa na ataamua kama ananunua au la, kama air suspension au gearbox ni weak kwenye hayi magari aaambiwe pia
Mkuu umejiuliza maswali ukajijibu. Bottom line ni kipato. Ukiwa na uwezo wa kuendesha Range Rover, maana yake wewe kwako Mafuta siyo shida. Nikinunua Mercedes na service nafanyia DT Dobie…nitasemaje kwamba Mercedes ni gari mbovu? Kama ulivyoandika hapa, determinant ni pesa. Basi.
Haya maswali yote unayoyaona humu…ni kutafuta unafuu wa uendeshaji au kumiliki haya magari.
Kwenye maisha kuna level inafika…service ya gari, bei ya mafuta…siyo issue tena.
Kama bado unaamini kuna gari hazina spare au zinasumbua…endelea kujitafuta. Hujajipata bado.
 
Mkuu umejiuliza maswali ukajijibu. Bottom line ni kipato. Ukiwa na uwezo wa kuendesha Range Rover, maana yake wewe kwako Mafuta siyo shida. Nikinunua Mercedes na service nafanyia DT Dobie…nitasemaje kwamba Mercedes ni gari mbovu? Kama ulivyoandika hapa, determinant ni pesa. Basi.
Haya maswali yote unayoyaona humu…ni kutafuta unafuu wa uendeshaji au kumiliki haya magari.
Kwenye maisha kuna level inafika…service ya gari, bei ya mafuta…siyo issue tena.
Kama bado unaamini kuna gari hazina spare au zinasumbua…endelea kujitafuta. Hujajipata bado.

Gari mbovu zipo au niseme gari less reliable zipo, whether iluna hela au huna. Usipokuwa na ‘hela’ ndo muhimu zaidi kuangalia aina ya gari coz hizo ambazo ni less reliable zitakutesa zaidi.
Point yangu ni kwamba humu ndani kuna watu wa vipato mbalimbali na wala sijiongelei mimi.
FYI, Binafsi nina uzoefu na gari kadhaa ya toyota, landrover defender, range rover (model ya nyuma kidogo), subaru impreza na benz c class na patrol y61. Natoa tu maoni basing on this experience na wala sina sababu ya kumuaminisha mtu au kumlazimisha abadili mtazamo wake
 
Back
Top Bottom