makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,103
- 80,940
Baada ya kuona wabongo ni km tunaigana katika kuagiza gari, ambayo inapelekea na bei za aina ya hizo gari kupanda maradufu, leo nikasema nipitie befoward, kwenye filter nikachagua gari za chini ya dola buku $1000, matokeo yake yalinistaajabisha kidogo kuna aina za gari nimekuta bei kitola kiasi nimeshangaa
Picha zinasumbua kidogo, tuvumiliane.. Ataeweza atapandish.
Kuna hizi zimenivutia, sasa sijui tatizo nini hasa, au watu wanapandiana dau!?
1. Honda stream(2007)
$340
C&F $1422
2. Mazda axela sport manual transmission(2007)
$340
3. Vw passat variant(2007)
$350
4. Bmw 3 series(2007)
$600
5. Subaru impreza(2010) hii inaonekan iko njiani inakuja bongo.
$580
6. Honda step WGN (2010)
$510
7. Honda civic hybrid(2007)
$530
8. Noah(2005)
$400
9. Toyota mark x Zio(2009)
$640
10. Alphard (2003)
$710
Na nyingine nyingi ambazo sijaziweka hapa, wanasema ni punguzo la chrismas lakini mbona kwa gari chache tu, mfano mazda axela bei hiyo kitonga, ukitafuta nyingine ya mwaka huo huo bei ipo kwenye zaidi ya dola buku.
Picha zinasumbua kidogo, tuvumiliane.. Ataeweza atapandish.
Kuna hizi zimenivutia, sasa sijui tatizo nini hasa, au watu wanapandiana dau!?
1. Honda stream(2007)
$340
C&F $1422
2. Mazda axela sport manual transmission(2007)
$340
3. Vw passat variant(2007)
$350
4. Bmw 3 series(2007)
$600
5. Subaru impreza(2010) hii inaonekan iko njiani inakuja bongo.
$580
6. Honda step WGN (2010)
$510
7. Honda civic hybrid(2007)
$530
8. Noah(2005)
$400
9. Toyota mark x Zio(2009)
$640
10. Alphard (2003)
$710
Na nyingine nyingi ambazo sijaziweka hapa, wanasema ni punguzo la chrismas lakini mbona kwa gari chache tu, mfano mazda axela bei hiyo kitonga, ukitafuta nyingine ya mwaka huo huo bei ipo kwenye zaidi ya dola buku.