Kwa nini? Tupe Elimu mdauNissan
Nissan
Nissan
Nissan
mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?Kwa nini? Tupe Elimu mdau
1. Nissan Qashqai
2. Nissan X-Trail ya 2014
3. Honda CR-V
4. Hyundai Tucson
5. KIA Sportage
6. KIA Sorento
7. Mazda CX-5
Nitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.
Nashukuru sana. Ila plan yangu ni kununua showroom moja kwa moja au kuagiza Japan au Singapore moja kwa moja.Boss kuna Mazda CX-5 for sale hapa. Karibu kwa mazungumzo
Nakubaliana na wewe kwa .mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?
iko hivi ukiona mtu anakuambia gari fulani inazingua jua yeye mfuko wake ndio unazingua wabongo tunaunga unga sana mambo nissan hazihitaji ubahili na kikizingua kitu toa funga kipya asikutishe mtu hakuna gari mbaya wala inayozungua kama inafanyiwa sevisi vizuri kingine kinachotuangusha ni mafundi nao hawaendi na wakati hawajifunzi mambo mapya kwahyo kuna changamoto kwao kutojua namna ya kurekebisha gari za kisasa
Hii listi ulitakiwa uanze no 7 ndio iwe moja kushuka chini1. Nissan Qashqai
2. Nissan X-Trail ya 2014
3. Honda CR-V
4. Hyundai Tucson
5. KIA Sportage
6. KIA Sorento
7. Mazda CX-5
Nitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.
Spare hamna, jitieni vidole tu kutafuta sifa zisizo na ulazima.Cx-5 hapo iko njema
Hakuna gari lisilo na spea. HakunaSpare hamna, jitieni vidole tu kutafuta sifa zisizo na ulazima.
Wenzako walisema hivyo saivi kutwa kutupigia simu kila siku kutuuliza kama jamaa zetu wa Nairobi wameshapata spare zao maana magari yapo garage miezi mitatu sasa. Tatizo lenu wabongo wabishi.Hakuna gari lisilo na spea. Hakuna
Itakuwa umekulia kijijini wewe. Kwa list hiyo!!! ushamba tu unakusumbua.1. Nissan Qashqai
2. Nissan X-Trail ya 2014
3. Honda CR-V
4. Hyundai Tucson
5. KIA Sportage
6. KIA Sorento
7. Mazda CX-5
Nitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.