Haya ndege hiyoooooo

ilo bonge la ndege angalia kwenye site ya hizo ndege, uone uwezo wake..

utaona ni jinsi gani watu wanavyoongea sana wasioyajua humu mitandaoni
 
Duuuh sijaelewa hata unataka kuandika nini!!
Nakubaliana na hoja yako kabisa concern yangu mimi ni kwamba kwakuwa wenzetu wanakimbia hv sasa sisi ilibidi tupae ili tuweze kuwafikia...hata nyumbani hapa bado shirika litakutana na upinzani kutoka kwa mashirika yaliyopo kwahiyo ilibidi serikali iwekeze kuvutia abiria wengi kwenye ndege yake/zake ikiwemo kununua ndege bora...sasa kwa mwendo huu huoni kuna hatari ya kufilisika tena gharama za uendeshaji zitakapozidi mapato kutokana na ufinyu wa abiria...i stand corrected
 
kufeli kibiashara kuna sababu nyingi...

kama ushawahi kufanya biashara utaelewa..

kwa hizo ndege zitaweza kushindana kwa ndani ya nchi...

wafanye matangazo tu ya kutosha
 
kufeli kibiashara kuna sababu nyingi...

kama ushawahi kufanya biashara utaelewa..

kwa hizo ndege zitaweza kushindana kwa ndani ya nchi...

wafanye matangazo tu ya kutosha
kwa vyovyote vile- kwakweli natamani zifanikiwe na shirika letu la ndege lichukue nafasi yake hapa Africa Mashariki , ngoja tujipe muda
 
Wewe umesaau kua tulikua tayari kuchelewesha uhuru wetu ili wengine nao wapate sasa washangaa nini
 
kwa mliopanda ndege mtujuze ukiwa siti ya sita dirishani hapo kutoka kwa kondakta wa mlango wa mbele kelele za hilo pangaboi hauzisikii😕
Mkuu ujue unaua bendi?
Ha ha ha ha...
 
Nilipo pokea mshahara wangu wa kwanza,kila kitu nilitaka kununua,nikajikuta nanunua vitu vya kitoto,yaani nikikumbuka kwa sasa damu inanisisimka.
 
kwa mliopanda ndege mtujuze ukiwa siti ya sita dirishani hapo kutoka kwa kondakta wa mlango wa mbele kelele za hilo pangaboi hauzisikii😕

Mkuu ni kawaida tu. Nishaga plant precision ina hzo propellers na nilkaa siti kama hyo ya sita hapo. Kizur ni kuwa unakuta unashangaa mawingu ckuwaza kama kuna kelele
 
Wengi wanaoiponda hii ndege Nina uhakika hawajawahi kupanda ndege
 
haina fofauti na kile kivuko kilichopaki uwanjani kwake
 
Kagame kanunua jet yeye katupeleka kwenye mapanga boi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…