MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 605
Taili-TairiSasa hizo taili mbona ziko nje tu
MhHii kama gari tunasema milango mitatu
Napongeza juhudi hata za kununua hiyo ya pangaboi...lakini Tanzania kama inataka kweli kuingia kwenye ushindani wa safari za anga hapa Africa Mashariki nguvu zaidi inahitajika...hiyo ndege kwa maoni yangu sio Mwanzo mzuri...unaona hata precision wanapoelekea sasa hvwatu wana ufinyu wa fikra, wamekaa kukosoa tu, Air Berlin baadhi ya safari wanatumia hizo ndege pia makampuni mengine makubwa kama ethiopia na mengine ya canada
io ndege ni kwaajili ya safari za ndani, shirika lilifilisika sio rahisi urudi na kuanza na ndege za gharama kubwa...Napongeza juhudi hata za kununua hiyo ya pangaboi...lakini Tanzania kama inataka kweli kuingia kwenye ushindani wa safari za anga hapa Africa Mashariki nguvu zaidi inahitajika...hiyo ndege kwa maoni yangu sio Mwanzo mzuri...unaona hata precision wanapoelekea sasa hv
Baada ya miaka 50+ ya uhuru tunaleteana kapicha ka photoshop eti ndege inapaa!!!!
Duuuh sijaelewa hata unataka kuandika nini!!Ukweli utabaki palepale...Magufuli ni kiongozi wa tofauti sana.
Miaka mitano ni ya mabadiliko makubwa sana.
Na kama yapo mambo mengi..kwanini wameenda kuleta haka kapicha??? Kwanini wasingepeleka ela kwenye mambo ya msingi zaidi?? Hata sijaona la maana hapo.....ajira hamna...mishaara inachelewa ...wanafunzi vyuoni wanalalamika ela za field...alafu bado tunaleta haka ka ndege!!! Au ni dili la mtu hili?io ndege ni kwaajili ya safari za ndani, shirika lilifilisika sio rahisi urudi na kuanza na ndege za gharama kubwa...
Na Utawala uliopo una miezi tu, hayo mashirika unayoyaona yana ndege za thamani kubwa haya kuanza na hizo...
nchi ina mambo mengi ya kushughulikia sasa unataka wawekeze kwenye ndege tu