mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Imekuwa kawaida kabisa mtu akisikia fulani kafariki kuanza kumweka kwenye status mitandaoni na maneno kama RIP!!
Lakini tunafahamu kabisa yawezekana kabisa wanafamilia wameona mwanafamilia fulani asipewe taarifa mapema mpaka yafanyike maandalizi fulani kutokana na changamoto zinazomkabili.
Kwa mfano mtoto yupo kwenye mitihani yake ya mwisho, au ni mgonjwa wa presha n.k.
Kwa mazingira ya sasa imekuwa haiwezekani kumficha mwanafamilia fulani kwa manufaa mapana ya familia. Naomba sana usitangaze kifo cha yeyote bila kibali cha mkuu wa familia hiyo.
Kuna familia zimesababishiwa vifo kwa mtu kuona status ya mtu inaonesha kifo cha mtu wake wa karibu kutokana na presha!!
Naomba sana.
Lakini tunafahamu kabisa yawezekana kabisa wanafamilia wameona mwanafamilia fulani asipewe taarifa mapema mpaka yafanyike maandalizi fulani kutokana na changamoto zinazomkabili.
Kwa mfano mtoto yupo kwenye mitihani yake ya mwisho, au ni mgonjwa wa presha n.k.
Kwa mazingira ya sasa imekuwa haiwezekani kumficha mwanafamilia fulani kwa manufaa mapana ya familia. Naomba sana usitangaze kifo cha yeyote bila kibali cha mkuu wa familia hiyo.
Kuna familia zimesababishiwa vifo kwa mtu kuona status ya mtu inaonesha kifo cha mtu wake wa karibu kutokana na presha!!
Naomba sana.