Mkuu hata wewe usingechomoa.Cognitive Mind paralysis n Emotional Blackmail
Emotional Anchoring n Flashing.
At the end Msukule unasign mkataba.
Hahaha,nimekumbuka picha ya idd amini akibebwa na wazunguKuna umuhimu wa kwenda ughaibuni mara kwa mara ili mambo kama haya yawe ya kawaida..
Sio punde tu unakuwa Rais and you have never boarded a flight. Shida lazima. 😂😂
View attachment 2672787
Magu , Nyerere, au mm tungechomoka,
Usanii huu was kuinunua akili ya mtu ni ngumu kumtega mtu asiye na Fantasies au Bias za kiwaki.Mkuu hata wewe usingechomoa.
Viongozi wetu hawana kuyazoea haya malife style mapema.
Jamaa always wanakuwa mbele kifikra miongo 10 mbele,nasi tunaibiwa kama zuzu na kichupa Cha dhahabu,alijisemeaga hayati Nyerere.Hahaha,nimekumbuka picha ya idd amini akibebwa na wazungu
Chuma hy hapoHahaha,nimekumbuka picha ya idd amini akibebwa na wazungu
"Huku unaondoka na kushangilia Kama zuzu"😂😂😆Jamaa always wanakuwa mbele kifikra miongo 10 mbele,nasi tunaibiwa kama zuzu na kichupa Cha dhahabu,alijisemeaga hayati Nyerere.
Iddi alichokosea ni kumgusa nyerere otherwise angekua aenaendelea kula maisha hadi leo
Hahaha hahaha, mwamba huyoo