Haya mapenzi haya!

Haya mapenzi haya!

pata aliyemaliza na kutulia kama wewe, laa sivyo sahau hii kitu.

Mimi mwenyewe nishamaliza nimeamua kutulia ila siwaoni walioamua kama mm kwaiyo sipo commitment na mtu kabisaaa
 
pata aliyemaliza na kutulia kama wewe, laa sivyo sahau hii kitu.

Mimi mwenyewe nishamaliza nimeamua kutulia ila siwaoni walioamua kama mm kwaiyo sipo commitment na mtu kabisaaa
Ni kweli mkuu.
 
Kuna wakati unaamua kuacha kuhangaika unaamua kutulia na mpenzi mmoja na kuwa muaminifu. Unakuwa committed kwake kwa kila kitu, ila sasa unakuta mpenzi uliyenae hajatulia anachepuka tu, hii inauma sana.

Unaona ni bora tu uendelee kuhangaika tu hamna namna.
Mmekutana wote mcharuko, ukizidiwa unalalamika.
 
Kuna wakati unaamua kuacha kuhangaika unaamua kutulia na mpenzi mmoja na kuwa muaminifu. Unakuwa committed kwake kwa kila kitu, ila sasa unakuta mpenzi uliyenae hajatulia anachepuka tu, hii inauma sana.

Unaona ni bora tu uendelee kuhangaika tu hamna namna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tuko wengi mzeee wala hauko peke yako cha msingi tuangalie nini moyo unataka

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
kama vp tafuta dunia ya peke yako utulize akili mana hii dunia tunayoishi unaweza jikuta unavaa chupi kichwani
 
Kuna wakati unaamua kuacha kuhangaika unaamua kutulia na mpenzi mmoja na kuwa muaminifu. Unakuwa committed kwake kwa kila kitu, ila sasa unakuta mpenzi uliyenae hajatulia anachepuka tu, hii inauma sana.

Unaona ni bora tu uendelee kuhangaika tu hamna namna.

Dawa yao hao kuoa mke wa pili bimdogo, akiwa peke yake anajiona keki
 
Kucheat ktk mapenzi ni sawa na Foolish Age,ukiwa na mpenzi ana cheat/hajatulia fahamu mpenzi wako yupo kwenye foolish age ni kipindi ambacho unatakiwa uonyeshe na udhihirishe kweli unampenda mwenzako,ni kipindi kigumu sana.

hakina guarantee kitadumu kwa muda gani lakini ni kipindi cha mpito,ni kipindi ambacho mchepukaji haoni/hatambui upendo toka kwa mwenzi wake,ni kipindi ambacho mtendwa anatakiwa kuwa na uvumilivu wa kiasi kikubwa.

usimuache mwenzi/mpenzi wako anapokua ktk hiki kipindi,tumia mapenzi yako yote kumuelekeza jinsi ambavyo hupendi hiyo tabia,muelekeze,mshauri,nk ni tabia ya mpito tu.

ukifanikiwa kuivuka hii stage ukiwa na mpenzi wako,Hakuna kitu chini ya jua kitaweza watenganisha,Foolish Age ipo kwa kila mtu jaribu (kama utaweza) mvumilie,kama huwezi usijilazimishe.

lakini tambua kila mtu ana hicho kipindi kwahyo hata huko utapoenda either ukutane na alievuka ile foolish age au ukutane na ambae bado,Tulia hapo hapo ulipo YESU akirudi kunyakua watu wake asikukute unahangaika.
Kipindi unamvumilia anakuletea Ukimwi
 
Back
Top Bottom