Haya mapenzi gani sasa?

tracy jamaa ana bifu nyingine kuwa mdogo hampi papuchi mana ndo walivokubaliana wakati wanaanza mahusiano. Nahisi ndo mana jamaa amemtema, dogo bado b.i.k.r.a

Bikira ipi
 
Last edited by a moderator:
Ms.Lincoln ndio najua ila si unajua mtu kama hujawahi kupenda afu ukaingia kwenye mahusiano, ukampa mtu a true love, then unatendwa kwa kitu kama hicho unapanic hadi unashindwa la kufanya
Kumbe dada wajua sababu ni mdogo wako kujitunza,sasa unaomba ushauri gani tena!!
 
Last edited by a moderator:
Tojo mi nimemshauri sana lakini si unajua moyo ukishapenda alafu pasipopendeka, utalia for sure. Mimi sijachanganyikiwa bana!
Sasa kama dada ni kiazi namna hii dogo atakuaje! !?? Najiuliza tu coz dada mtu usingekosa cha kumshauri dogo hapo
 
Last edited by a moderator:

Hili neno huwa linatumika sana na teenagers na adolescents ambao huwa hawajakua kiakili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…