Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kuna familia ya wa Irish wa Katoliki walitueleza mkasa wao. Baba ni daktari na mama ni mwalimu. Walibahatika kupata watoto watatu. Wakwanza binti Alishaolewa,
mvulanaval wa pili alikuwa chuo akisoma shahada ya uzamili. Kitenda mimba alikuwa mwaka wa kwanza chuo.
Familia ya wapenda dini, watoto walikuwa wavulana wa madhabahu kumsaidia padri utoto wao wote. Baba na mama wanakwenda misa asubuhi kabla ya kwenda kazini.
Christmas moja wametoka misa ya usiku, kitenda mimba kuwaita Baba na mama. Aliwaambia ana jambo la kuwaambia. Alisema yeye ni shoga na chuo amekutana na mpenzi ambae wanaishi pamoja haoni sababu ya kuwaficha wazee.
Yule baba alitueleza machozi yanamtoka. Anajiuliza alikosea wapi katika malezi.
Haya mambo yasikie tu.
mvulanaval wa pili alikuwa chuo akisoma shahada ya uzamili. Kitenda mimba alikuwa mwaka wa kwanza chuo.
Familia ya wapenda dini, watoto walikuwa wavulana wa madhabahu kumsaidia padri utoto wao wote. Baba na mama wanakwenda misa asubuhi kabla ya kwenda kazini.
Christmas moja wametoka misa ya usiku, kitenda mimba kuwaita Baba na mama. Aliwaambia ana jambo la kuwaambia. Alisema yeye ni shoga na chuo amekutana na mpenzi ambae wanaishi pamoja haoni sababu ya kuwaficha wazee.
Yule baba alitueleza machozi yanamtoka. Anajiuliza alikosea wapi katika malezi.
Haya mambo yasikie tu.