Haya mambo yalikuwa tu kwa mwenzako

Kuna familia ya wa Irish wa Katoliki walitueleza mkasa wao. Baba ni daktari na mama ni mwalimu. Walibahatika kupata watoto watatu. Wakwanza binti Alishaolewa,
mvulanaval wa pili alikuwa chuo akitoka shahada ya uzamili. Kitenda mimba alikuwa mwaka wa kwanza chuo.

Familia ya wapenda dini, watoto walikuwa wavulana wa madhabahu kumsaidia padri utoto wao wote. Baba na mama wanakwenda misa asubuhi kabla ya kwenda kazini.

Christmas moja wametoka misa ya usiku, kitenda mimba Kuwait’s Baba na mama. Aliwaambia ana jambo la kuwa Amina. Alisema yeye ni shoga na chronicles amekutana na mpenzi ambae wanaishi pamoja haoni sababu ya kuwaficha wazee.

Yule baba alitueleza machozi yanamtoka. Anajiuliza alikosea wapi katika malezi.

Haya mambo yasikie tu.
Watoto wanashinda na mapadri wanafikiri mchezo?

Hivi hizi kashfa zinazoendelea duniani kuhusu kanisa wanadhani ni hadithi?
Aliyependekeza mapadri waoe hakukosea.
Kanisa la Roman litakuja kukubali ushoga kutokana na nguvu inayotoka ndani.
Kwani Kuna mapadri mashoga na mapadri mabasha wengi tu.
 
Inaonekana unachagua maneno kwenye maazimio ya EU. Tanzania tuna sheria zinazokataza ushoga. Wanaielekeza Tanzania izifute sheria hizo (Calls on Tanzania to repeal laws criminalising homosexuality ). Sisi tunasema hapana. Au na wewe ni mmoja wao? Kufuta sheria ndiyo kuruhusu kwenyewe
Si ajabu na wewe nishoga! sitaki matusi, jibu hoja za msingi! Wao wanasema homesexuality ni inborn character, genetically determined (kuna theory zina advocate hivyo) sawa na single sex orientation. One should not criminalise them! Ushoga upo sana tena sana pwani, it is the norm of the day. uarabuni ni mchezo wa kawaida pamoja na kuwa hawaweki wazi. Tabia hizi zililetwa na waaarabu, waafrica hatukuwa na uchafu huo. Hivyo kuna watu wana inborn orientation, tuwaache ila tuwape masharti kuwa these should be private affairs, not public! Kama sasa yanavyofanyika in camera, watu wanafanya sana!
 
Back
Top Bottom