Mfano kuna kipindi rafiki yangu alikuwa ananiambia wachawi wanakuja kwake usiku kuna mapaka yanalia, kumbe yeye hakuwa anajua paka wakiwa kipindi cha joto ndio tabia yao
Jirani alikuwa analalamika kuna kitu kinakwangua nyuma ya ukuta usiku, baada ya uchunguzi tukagundua ni paka alikuwa ananoa kucha zake kwajili ya mawindo.
yupo ambae alikuwa anasikia makelele masikioni na kuzunguka kwa waganga wengi wanaomwambia karogwa kumbe ni ugonjwa unaitwa tinnitus husababishwa kwa presha kupanda au kutumia dawa kali.
Wachungaji na wao wamekuwa wakitumia udhaifu wa imani hasa za wanawake kuwaamnisha kila kitu ni pepo na uchawi, imefikia hatua watu wamekuwa kama maroboti wanaamini kila kinachowakwamisha ni pepo bila kuangalia sababu ya kilichochotokea
Jirani alikuwa analalamika kuna kitu kinakwangua nyuma ya ukuta usiku, baada ya uchunguzi tukagundua ni paka alikuwa ananoa kucha zake kwajili ya mawindo.
yupo ambae alikuwa anasikia makelele masikioni na kuzunguka kwa waganga wengi wanaomwambia karogwa kumbe ni ugonjwa unaitwa tinnitus husababishwa kwa presha kupanda au kutumia dawa kali.
Wachungaji na wao wamekuwa wakitumia udhaifu wa imani hasa za wanawake kuwaamnisha kila kitu ni pepo na uchawi, imefikia hatua watu wamekuwa kama maroboti wanaamini kila kinachowakwamisha ni pepo bila kuangalia sababu ya kilichochotokea