Haya makavu live (Part 2)

Hahaha...yaani umepatia, hebu nipatie namba yako nikuingizie kaem'pesa kidogo...
Bahati mbaya hako ka-Hummer kameangukiwa na lile ghorofa, ila hilo halinipi shida maana inshuarensi itakava...

Mweehh alafu unaishi obay, si eti eehh? alafu na na..... naomba umalizie yale mengine watu8
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha, MbN unatoa Makavu Laivu na wewe siku hizi? Wape shosti! lol


Joti ameniambukiza mwenzio,najiandaa kuwa kungwi wa JF MMU, hebu nifanyie evaluation...ninafaa?niongeze wapi na nipunguze wapi?
 
Hahahahahahahahahahaha Tuko, andika maelezo not less than page moja ya why umekuwa interested kunioa....in other words motivation letter..then ipitishwe na babu yangu Mtambuzi ndipo inifikie , linawezekana hilo??
We si umesema mwanaume wa ukweli hana maneno mengi...lol
 
We si umesema mwanaume wa ukweli hana maneno mengi...lol

hyo ni kuhusu ilr stage uliyopropose ya kuoa thats why ni lazima useme why not mwingine yeyote but mimi
 
Hahahahaaaa mie wa MUNGAI bhana aliekataza Kilimo shuleni na bakora.......hahahaha una visa wewe Mpwa ila bado you sound Cute na bado una nafasi hio hio niliyokuwa nimeitaja hapo juu kwamba kama ningekuoa nisingenunua muerdio mukubwa kubwa....just kidding Dear
Ndo maana ukaambiwa from somewhere to you, ina maana sio from ME., siku ingine soma uelewe.!.wewe ni wale wa ile 60% ya mulugo nini?
 


Hizi post za mid night si hivihivi kuna jambo...
 
Joti ameniambukiza mwenzio,najiandaa kuwa kungwi wa JF MMU, hebu nifanyie evaluation...ninafaa?niongeze wapi na nipunguze wapi?

Penye nia pana njia, that is all I can say. tena umenikumbusha, ngoja nikutumie PM
 
Hizi post za mid night si hivihivi kuna jambo...

Kuna kijana alijisahau akahisi yuko kaole, wacha ashushe vina na mistari, mie nkabaki mdomo wazi, heeh alivyomaliza tu ikanibidi niombe airtime JF fasta
 

Nakuimbia na wimbo oohh baby will you marry me , say that you will marry me...wa mavoko
 
yah....mwanaume wa kweli hajishebedui.......kujifanya kuwa hivi kumbe yupo vile......kapuku......

preta umeniita eeh???!...nena mama mtumishi wako nakusikiliza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…