Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Babu DC,asante kwa swali zuri,sio kweli kuwa wote niliokuwa nao wapo hivyo,ila nina marafiki nasoma visa mbalimbali na pia nakutana na wadada hawa kila siku,vitu kama kutoa harufu mdomoni na kwapani ni vitu vya kawaida,wanaume nao wanamatatizo hayo ila mwanamke na mwanaume ni tofauti!
Uzoefu wangu mie ni tofauti,
Wanaume wengi ndio wananuka mdomoni, ndio wanavaa socks zinazonuka na ndio hawafui chupi mara kwa mara!!
Labda kama tunaongelea uzoefu wa maeneo tofauti....temperate Vs tropics!!
Babu DC!!