TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 216
- Thread starter
- #41
Hello Mileage, toleo la simu za TECNO la mwisho kabisa ambalo ni la hivi karibuni ni Camon12 Series ambapo kuna Camon12, Camon12 Air na Camon12 Pro. Matoleo ya simu zetu yote ni bora na tunajivunia kwayo katika design zake.Suala kubwa linabaki kwako tu unapendelea design ipi na mwonekano gani.Hivi simu zenu latest ni zipi ? Na ipi ni toleo bora kabisa ambalo hata ninyi mnajivunia kwa upekee wake kwenye design yake ?