Hawaamini macho yao

Sure, jamaa alikuwa tayari waeunga na JPM kama soul tie vile, maumivu lazima yawe makali sana. Kuna kipindi picha ya JPM ipo kwa jamaa na picha ya jamaa ipo kwa JPM.. inahuzunisha sana
Acha kabisa mkuu.
Laiti tungeiona video mzee alivyotaabika nafikiri tungebeba mapanga kwa uchungu.
Inasemekana walishtushwa kukuta kifaa kilichokuwa kinamsaidia kimesambaratika kabisa
 
Acha kabisa mkuu.
Laiti tungeiona video mzee alivuotaabika nafikiri tungebeba mapanga kwa uchungu.
Inasemekana walishtushwa kukuta kifaa kilichokuwa kinamsaidia kimesambaratika kabisa
😭😭😭😭😭.. inauma sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…