Ni kama vile Bashe, Bashungwa na Biteko hawaamini kilichotokea

Ni kama vile Bashe, Bashungwa na Biteko hawaamini kilichotokea

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,965
Reaction score
26,152
Hawa jamaa ukiona post zao huko mitandaoni, ni kama vile wanatoa pongezi kinafiki tu.

Walijua piga ua hawawezi kukosekana kwenye baraza la mawaziri jipya.

Sasa wamekula za uso hawaamini kilichotokea.
 
Na yale mashamba ya bashe yaliishiaje? Kweli mda ni mwalimu mzuri sana,na wale UVCCM waliokuwa wanatetea wako wapi?
 
Yule Kigogo kawachongea sana aisee karibu kila siku anawaanzishia uzi
 
Usisahau kumsalimia Tulia hapo mjengoni.
 
Back
Top Bottom