Hawa wazee walioitwa ni akina nani?

Hawa wazee walioitwa ni akina nani?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,136
Reaction score
33,544
Hii sinema mbona imeshindikana jamani.

Yani hapa wazee wa Magomeni, Mbagala, Buguruni, Kimara, Tegeta, Kigamboni, Ilala, Kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao Raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .
FB_IMG_1764697520133.jpg
 
Hii sinema mbona imeshindikana jamani.
Yani hapa wazee wa magomeni,mbagara,buguruni,kimara,tegeta,kigamboni,ilala,kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .
View attachment 3510678
Palikua na mawaziri na manaibu
Mzee kibadeni na masela wenzie walikua juu kule,chini kina mzee kimiti
 
Wazee wa daslam?
vp wazee wa mikoani mfano Arusha Mbeya Mwanza na Geita hakuna
wazee?!

Au hao ni wazee wa busara!!
 
Masauni ni mzee kwa sababu walimkimbiza uvcc kwa sababu ya umri wakasema ni mzee, hivyo ni sawa kuwepo.

Zamani Tanzania Legion ndio tulikuwa tunakuta wazee, siku hizi wana chukua uvcc waliokomaa.
 
Hii sinema mbona imeshindikana jamani.
Yani hapa wazee wa magomeni,mbagara,buguruni,kimara,tegeta,kigamboni,ilala,kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .
View attachment 3510678
Mtu mwenye nyota ya kukubalika kila awamu na kila aina ya uongozi ni huyu Gwajigirl!
Kwa tafsiri sahihi, huyu ni mtu mwema wa wakati wote.
 
Hii sinema mbona imeshindikana jamani.

Yani hapa wazee wa Magomeni, Mbagala, Buguruni, Kimara, Tegeta, Kigamboni, Ilala, Kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao Raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .
View attachment 3510678
Ukiwaondoa akina masauni na ridhiwan na Dorothy Gwajima mawaziri wa Idi Amin mama, wenine ni wazee ambao hawakujiandaa kustaafu. Mwenyekiti wao Salum Matimbwa ni mbwa kama jina lake. Kwao ni m taa wa Msimbazi na Kipata nyumba ya kwanza ya urithi. Ni wa hoyo hakuna mfano. Wapo watatu wanaume wawili na binti mmoja japo mdogo wake Said ashakufa. Naye, alikuwa wa hovyo hakuna mfano. Ni matapeli wanaotumia uzee kuishi kwa kujigeuza au kugeuzwa na machawa. Mbona simuoni mzee Bakhresa, Bahroon, na wengine wengi wa Dar niwajuawao. Hata kaka yake Zungu wa barabara ya Uhuru simuoni. Ni maskini wa kunuka na matapeli waliofeli maisha hao.
 
Ukiwaondoa akina masauni na ridhiwan na Dorothy Gwajima mawaziri wa Idi Amin mama, wenine ni wazee ambao hawakujiandaa kustaafu. Mwenyekiti wao Salum Matimbwa ni mbwa kama jina lake. Kwao ni m taa wa Msimbazi na Kipata nyumba ya kwanza ya urithi. Ni wa hoyo hakuna mfano. Wapo watatu wanaume wawili na binti mmoja japo mdogo wake Said ashakufa. Naye, alikuwa wa hovyo hakuna mfano. Ni matapeli wanaotumia uzee kuishi kwa kujigeuza au kugeuzwa na machawa. Mbona simuoni mzee Bakhresa, Bahroon, na wengine wengi wa Dar niwajuawao. Hata kaka yake Zungu wa barabara ya Uhuru simuoni. Ni maskini wa kunuka na matapeli waliofeli maisha hao.
Mimi mwenyewe nimeshangaa mpaka mzee aliyekuwa komondo yoso naye kawa mzee wa dar
 
Hii sinema mbona imeshindikana jamani.

Yani hapa wazee wa Magomeni, Mbagala, Buguruni, Kimara, Tegeta, Kigamboni, Ilala, Kinondoni na n.k mkoa wote kila tukiwapigia simu wanajiuliza wazee wana mkoa ambao Raisi kaita kwa ghafla na hawa ndio wazee wajaze ukumbi .
View attachment 3510678
Mbuzi mbuzi
 
Mzee Mwamposa naye alishiriki..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom