Hawa watoto ndio maana wanafail aisee

Sangarara

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
13,100
5,649
Kuna Binti mmoja kutokana na uzuri wake ililazimika abaki kwenye kumbu kumbu zangu
tangu mara ya kwanza tukutane Dukani Jirani na Maskani yangu. Baada ya nazani nilifanikiwa
kumuona mara ya pili akiwa amevaa school uniform ndo nikajua kwamba ni Mwanafunzi.

Sasa Jana Jioni, baada ya kufika home nikalazimika kwenda Bar Jirani na nyumbani ili nipate
serengeti zangu ndogo za baridi, nilipofika Bar nikakutana na Kijana mmoja mjanja mjanja
sana, na kafunga ndoa hivi karibuni, alikuwa akiingia Bar kama mimi, na sababu hatujaonana
muda mrefu tulipokariaba tukaanza kupeana salamu, hagi nyingi, vicheko, gonga sana mikono.
Haya yote tulifanya tukiwa jirani kabisa na meza ambayo kuna mabinti watatu walikuwa wamekaa
na sikuwa nimewali sababu niliishawapa mgongo pia by the time,

Sasa Jamaa akaniuliza, vipi wife kaishajifungua, sikumjibu bali nilimtolea simu na kuanza kumuonyesha
picha za uzao wangu, twe twins. a baby boy and a baby girl, nikamtajia na majina yao, sasa
huku jamaa akiwaanawashangaa matwins wangu kwenye simu, nikamsikia binti mmoja katika wale watatu
anayarudia majina ya watoto wangu, nikageuka kumuangalia, na yeye akawa ananiangalia, ikabidi nimpe
tano (nikagonga nae) huku namuambia uko juu hayo masikio sio ya kawaida - Na alikuwa ni yule
binti mzuri mwanafunzi. ndo apo nikagundua kumbe anapiga mvinyo pia, maswali mengi sana
yakapita kichwani mwangu muda huo huo, lakini nika let it go.

Then Jamaa huyu akaniambia vipi, karibu tukae mi niko na dada zangu hapa, nikakwepa, nikamueleza kuna
mtu namsubiri tunamaongezi hivyo ngoja nikakae palee, nikamplease kidogo na yeye akanielewa.

Cha Hajabu
Wakati naanza Serengeti ya Pili, Yule Jamaa akaja, akaniuliza, una mfahamu yule binti, nikamuuliza yupi,
akaniambia yule kanyoa nywele (binti mzuri), nikamueleza navyo mjua, na kwamba hata Jina wala anaishi
wapi au kusoma wapi sijui.

Jamaa Akafunguka
Hoo Binti anakaa na dada yake mtaa wetu huo huo (huyu kijana anaishi mbali ha hapa kidogo), akanielekeza
nyumba, na akaanza kunieleza anaishi na nani, ikabidi nimuwahi, kwani vipi? Hoo unajua huyu binti pale
kaja na rafiki zake, ili mimi kaniagiza kwako. "nikasema kimoyo moyo kazi imeanza". Oooh anakufahamu
sana, na amefurahi sana pale mlipogongesha mikono, "nikajua hili gemu kali". Oooh, na ameishaambiwa
mke wako mkorofi sana hivyo anaomba tuhame hapa twende sehemu ingine ana maongezi na wewe.
Nikamuuliza Jamaa, wewe unafanya nini na wale mabinti, mnaongea nao nini? Jamaa akaniambia tutaongea
mbele, akaniuliza tunaenda wapi. nikamuambia akamuuliza huyo binti anataka twende wapi, Ile Jamaa
anasimama tu kuelekea kwenye meza ya wale mabinti. Nikampigia simu wife aje Bar haraka sana, na fasta
nikawaagizia ile meza vinywaji na nikalipa. Wife alipikuja nikamuambia nikamuambia nilijisau kuja na pesa
Bar kwa hiyo kama kaja nayo anilipie bia mbili tuondoke, akakubali akalipa na tukaondoka. nikawa
nimemkwepa Ibilisi.

Tatizo ni kwamba, Nimeamua kutoa mchapo huu, sababu mchana huu, Nimepokea message iliyotoka kwa
huyo binti inasema
"Babbie, Pole na Kazi, Jana Mke wako aliharibu mipango yetu, mi nshatoka shule, naomba unieleze nikufuate
wapi ukishatoka Job, Loving you. Jina"

Hapa nimechanganyikiwa, namtafuta huyu rafiki yangu kwenye simu kumuuliza kwa nini kampe yule binti
number yangu, simu haipatikani. Na ninajiuliza huyu mtoto nikimkimbia zaidi na ndio kaanza kutuma mimessage
hili swala litajulikana kwa mama wawili sasa hivi.

Naomba ushauli wenu, ninachokifikiria nimuelekeze sehemu tukutane alafu nimcouncil kujihepusha na haya
mambo. Au ndio ntakuwa natenda wema kupita uwezo???
 
Kuna Binti mmoja kutokana na uzuri wake ililazimika abaki kwenye kumbu kumbu zangu
tangu mara ya kwanza tukutane Dukani Jirani na Maskani yangu. Baada ya nazani nilifanikiwa
kumuona mara ya pili akiwa amevaa school uniform ndo nikajua kwamba ni Mwanafunzi.

Sasa Jana Jioni, baada ya kufika home nikalazimika kwenda Bar Jirani na nyumbani ili nipate
serengeti zangu ndogo za baridi, nilipofika Bar nikakutana na Kijana mmoja mjanja mjanja
sana, na kafunga ndoa hivi karibuni, alikuwa akiingia Bar kama mimi, na sababu hatujaonana
muda mrefu tulipokariaba tukaanza kupeana salamu, hagi nyingi, vicheko, gonga sana mikono.
Haya yote tulifanya tukiwa jirani kabisa na meza ambayo kuna mabinti watatu walikuwa wamekaa
na sikuwa nimewali sababu niliishawapa mgongo pia by the time,

Sasa Jamaa akaniuliza, vipi wife kaishajifungua, sikumjibu bali nilimtolea simu na kuanza kumuonyesha
picha za uzao wangu, twe twins. a baby boy and a baby girl, nikamtajia na majina yao, sasa
huku jamaa akiwaanawashangaa matwins wangu kwenye simu, nikamsikia binti mmoja katika wale watatu
anayarudia majina ya watoto wangu, nikageuka kumuangalia, na yeye akawa ananiangalia, ikabidi nimpe
tano (nikagonga nae) huku namuambia uko juu hayo masikio sio ya kawaida - Na alikuwa ni yule
binti mzuri mwanafunzi. ndo apo nikagundua kumbe anapiga mvinyo pia, maswali mengi sana
yakapita kichwani mwangu muda huo huo, lakini nika let it go.

Then Jamaa huyu akaniambia vipi, karibu tukae mi niko na dada zangu hapa, nikakwepa, nikamueleza kuna
mtu namsubiri tunamaongezi hivyo ngoja nikakae palee, nikamplease kidogo na yeye akanielewa.

Cha Hajabu
Wakati naanza Serengeti ya Pili, Yule Jamaa akaja, akaniuliza, una mfahamu yule binti, nikamuuliza yupi,
akaniambia yule kanyoa nywele (binti mzuri), nikamueleza navyo mjua, na kwamba hata Jina wala anaishi
wapi au kusoma wapi sijui.

Jamaa Akafunguka
Hoo Binti anakaa na dada yake mtaa wetu huo huo (huyu kijana anaishi mbali ha hapa kidogo), akanielekeza
nyumba, na akaanza kunieleza anaishi na nani, ikabidi nimuwahi, kwani vipi? Hoo unajua huyu binti pale
kaja na rafiki zake, ili mimi kaniagiza kwako. "nikasema kimoyo moyo kazi imeanza". Oooh anakufahamu
sana, na amefurahi sana pale mlipogongesha mikono, "nikajua hili gemu kali". Oooh, na ameishaambiwa
mke wako mkorofi sana hivyo anaomba tuhame hapa twende sehemu ingine ana maongezi na wewe.
Nikamuuliza Jamaa, wewe unafanya nini na wale mabinti, mnaongea nao nini? Jamaa akaniambia tutaongea
mbele, akaniuliza tunaenda wapi. nikamuambia akamuuliza huyo binti anataka twende wapi, Ile Jamaa
anasimama tu kuelekea kwenye meza ya wale mabinti. Nikampigia simu wife aje Bar haraka sana, na fasta
nikawaagizia ile meza vinywaji na nikalipa. Wife alipikuja nikamuambia nikamuambia nilijisau kuja na pesa
Bar kwa hiyo kama kaja nayo anilipie bia mbili tuondoke, akakubali akalipa na tukaondoka. nikawa
nimemkwepa Ibilisi.

Tatizo ni kwamba, Nimeamua kutoa mchapo huu, sababu mchana huu, Nimepokea message iliyotoka kwa
huyo binti inasema
"Babbie, Pole na Kazi, Jana Mke wako aliharibu mipango yetu, mi nshatoka shule, naomba unieleze nikufuate
wapi ukishatoka Job, Loving you. Jina"

Hapa nimechanganyikiwa, namtafuta huyu rafiki yangu kwenye simu kumuuliza kwa nini kampe yule binti
number yangu, simu haipatikani. Na ninajiuliza huyu mtoto nikimkimbia zaidi na ndio kaanza kutuma mimessage
hili swala litajulikana kwa mama wawili sasa hivi.

Naomba ushauli wenu, ninachokifikiria nimuelekeze sehemu tukutane alafu nimcouncil kujihepusha na haya
mambo. Au ndio ntakuwa natenda wema kupita uwezo???

Hee, Baba wawili, hii thread inahamia nyumbani! I am waiting for you
 
Sasa hapo cha kuchanganyikiwa ni nini?Kama utaki kufanya ushetani huyo binti mdogo sana wa kukushinda wewe.Wewe una uwezo wa kukataa au kukubali.Mwambie wewe hutaki kufuatwa fuatwa na atakusikia lakn ukiaanza na sauti za kike ...ohh mie sitaki bwana!!!!.....utaharibu ndoa yako hivihivi...
 
na wewe mwambie hivi, we katoto sikia sitaki unifwate fwate wala unitumie hizo massage zako, au nenda kwenye mtandao wa simu anayoitumia ukaifungie namba yake asikutafute.
 
yaani siamini kabisa kwamba mtu mzima kama wewe ushindwe kuhandle ka-issue kadoooogo ka kibint hako eti mpaka uombe ushauri,sasa ukikutana na mijimama iliyokubuhu ya mjini hapa si utajikuta umempeleka kwako akawe 2nd wife,sema na wewe unamtamani tu huna lolote.
 
mpe cheupe tu ukimpa nafasi tu umekwisha wangu chezea wanawake wewe utajuta kufanya nae meeting isiyo rasmi shauri yako.
 
yaani siamini kabisa kwamba mtu mzima kama wewe ushindwe kuhandle ka-issue kadoooogo ka kibint hako eti mpaka uombe ushauri,sasa ukikutana na mijimama iliyokubuhu ya mjini hapa si utajikuta umempeleka kwako akawe 2nd wife,sema na wewe unamtamani tu huna lolote.

Client3
Katika mambo ambayo namshukuru mwenyezi Mungu kwamba wakati wote huwa nayahandle kwa kufikiria badala ya feelings ni
namna ya kuzihandle issues kama hizi, sababu ni very common kwenye maisha ya kila kitu. Mi nimeshare na wadau hii issue sababu
nimeumizwa na matokeo ya form four yalivyo mabaya. I will give you a very positive feedback, hofu yangu ni kama atabadirika tabia
moja kwa moja.
 
Hii ni confrontation: Binti ananipigia simu kuniuliza kama nimepata message yake, nimemuambia nimetapa. kakata simu,
the kanitumia message nimjibu. Wazazi tunakazi.
 
Kuna Binti mmoja kutokana na uzuri wake ililazimika abaki kwenye kumbu kumbu zangu
tangu mara ya kwanza tukutane Dukani Jirani na Maskani yangu. Baada ya nazani nilifanikiwa
kumuona mara ya pili akiwa amevaa school uniform ndo nikajua kwamba ni Mwanafunzi.

Sasa Jana Jioni, baada ya kufika home nikalazimika kwenda Bar Jirani na nyumbani ili nipate
serengeti zangu ndogo za baridi, nilipofika Bar nikakutana na Kijana mmoja mjanja mjanja
sana, na kafunga ndoa hivi karibuni, alikuwa akiingia Bar kama mimi, na sababu hatujaonana
muda mrefu tulipokariaba tukaanza kupeana salamu, hagi nyingi, vicheko, gonga sana mikono.
Haya yote tulifanya tukiwa jirani kabisa na meza ambayo kuna mabinti watatu walikuwa wamekaa
na sikuwa nimewali sababu niliishawapa mgongo pia by the time,

Sasa Jamaa akaniuliza, vipi wife kaishajifungua, sikumjibu bali nilimtolea simu na kuanza kumuonyesha
picha za uzao wangu, twe twins. a baby boy and a baby girl, nikamtajia na majina yao, sasa
huku jamaa akiwaanawashangaa matwins wangu kwenye simu, nikamsikia binti mmoja katika wale watatu
anayarudia majina ya watoto wangu, nikageuka kumuangalia, na yeye akawa ananiangalia, ikabidi nimpe
tano (nikagonga nae) huku namuambia uko juu hayo masikio sio ya kawaida - Na alikuwa ni yule
binti mzuri mwanafunzi. ndo apo nikagundua kumbe anapiga mvinyo pia, maswali mengi sana
yakapita kichwani mwangu muda huo huo, lakini nika let it go.

Then Jamaa huyu akaniambia vipi, karibu tukae mi niko na dada zangu hapa, nikakwepa, nikamueleza kuna
mtu namsubiri tunamaongezi hivyo ngoja nikakae palee, nikamplease kidogo na yeye akanielewa.

Cha Hajabu
Wakati naanza Serengeti ya Pili, Yule Jamaa akaja, akaniuliza, una mfahamu yule binti, nikamuuliza yupi,
akaniambia yule kanyoa nywele (binti mzuri), nikamueleza navyo mjua, na kwamba hata Jina wala anaishi
wapi au kusoma wapi sijui.

Jamaa Akafunguka
Hoo Binti anakaa na dada yake mtaa wetu huo huo (huyu kijana anaishi mbali ha hapa kidogo), akanielekeza
nyumba, na akaanza kunieleza anaishi na nani, ikabidi nimuwahi, kwani vipi? Hoo unajua huyu binti pale
kaja na rafiki zake, ili mimi kaniagiza kwako. "nikasema kimoyo moyo kazi imeanza". Oooh anakufahamu
sana, na amefurahi sana pale mlipogongesha mikono, "nikajua hili gemu kali". Oooh, na ameishaambiwa
mke wako mkorofi sana hivyo anaomba tuhame hapa twende sehemu ingine ana maongezi na wewe.
Nikamuuliza Jamaa, wewe unafanya nini na wale mabinti, mnaongea nao nini? Jamaa akaniambia tutaongea
mbele, akaniuliza tunaenda wapi. nikamuambia akamuuliza huyo binti anataka twende wapi, Ile Jamaa
anasimama tu kuelekea kwenye meza ya wale mabinti. Nikampigia simu wife aje Bar haraka sana, na fasta
nikawaagizia ile meza vinywaji na nikalipa. Wife alipikuja nikamuambia nikamuambia nilijisau kuja na pesa
Bar kwa hiyo kama kaja nayo anilipie bia mbili tuondoke, akakubali akalipa na tukaondoka. nikawa
nimemkwepa Ibilisi.

Tatizo ni kwamba, Nimeamua kutoa mchapo huu, sababu mchana huu, Nimepokea message iliyotoka kwa
huyo binti inasema
"Babbie, Pole na Kazi, Jana Mke wako aliharibu mipango yetu, mi nshatoka shule, naomba unieleze nikufuate
wapi ukishatoka Job, Loving you. Jina"

Hapa nimechanganyikiwa, namtafuta huyu rafiki yangu kwenye simu kumuuliza kwa nini kampe yule binti
number yangu, simu haipatikani. Na ninajiuliza huyu mtoto nikimkimbia zaidi na ndio kaanza kutuma mimessage
hili swala litajulikana kwa mama wawili sasa hivi.

Naomba ushauli wenu, ninachokifikiria nimuelekeze sehemu tukutane alafu nimcouncil kujihepusha na haya
mambo. Au ndio ntakuwa natenda wema kupita uwezo???

ujana unakusumbua wewe.
 
Back
Top Bottom