Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Kaka Sangarara asante sana kwa kushare experience na sisi. Nami naomba namba yake ili nikuepushie matatizo kwenye ndoa yako. mbona mimi ambae sijaoa havinisumbui sana zaidi ya salamu tu asbh nikienda kazini? au niko serious mno? usisahau kunipa nmba, kama yeye alivyopata namba yako, basi na mimi naomba namba yake
akikupa namba ukamshindwa nirushie mie ndo mtaalamu bwana!