Hawa watendaji wa mitaa na kata wana mamlaka haya?

Hawa watendaji wa mitaa na kata wana mamlaka haya?

Msaada tutani.Kumfungia mtu ofisini kama selo kama anadaiana na mtu,au hajatekeleza jambo fulani na kumuacha humo bila huduma muhimu mf choo?
mtendaji anakuweka ndani kwa Muda ukisubiri Polisi waje kukuchukua kukupeleka kituoni.
Mamlaka hayo wanayo
 
Hao ni walinzi wa amani-subject kwa regulation ya sheria nyingine. Kazisome
Kwa mujibu wa sheria zetu hawana mamlaka hayo.
Kwa mujibu wa sheria wenye mamlaka yaa kuweka lockup raia ni polisi, takukuru, na tiss baada ya mabadiliko ya sheria yao
 
Kwa mujibu wa sheria zetu hawana mamlaka hayo.
Kwa mujibu wa sheria wenye mamlaka yaa kuweka lockup raia ni polisi, takukuru, na tiss baada ya mabadiliko ya sheria yao
Nimesema hao ni walinzi wa amani(guardian of the peace) subject kwa sheria nyingine. Uliishia darasa la tatu?
 
Kwa mujibu wa sheria zetu hawana mamlaka hayo.
Kwa mujibu wa sheria wenye mamlaka yaa kuweka lockup raia ni polisi, takukuru, na tiss baada ya mabadiliko ya sheria yao
Afunguliwe kesi gani huyu mtendaji?
 
Msaada tutani.

Kumfungia mtu ofisini kama selo kama anadaiana na mtu,au hajatekeleza jambo fulani na kumuacha humo bila huduma muhimu mf choo?
Mtendaji anayo Mamlaka ya kukuweka ndani saa 12 pale tu unapotaka kuhatarisha au kuvuruga amani ,sio kwa makosa mengine zaidi ya hayo.

Kuna sehemu niliona Mtendaji wa Kata amekasimiwa kwa muda kusikiliza shauri mahakamani na kuahirisha shauri japo hawaruhusiwi kutoa hukumu, nilishangaa sana.
Kumbe hao watu ni wakubwa kiasi hiki
 
Back
Top Bottom