Sana asee....hapa wanampa moyo, ujinga ujinga tuu[emoji28] Ni Aibu angeuchuna tu
Yes... lakini mwanaume uwe na hela kwa kweli, hivi humuoni Joyce kiria? Kwani umeona wapi analalamikia dyudyu?[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] kilemutuz tenaa
Yes... lakini mwanaume uwe na hela kwa kweli, hivi humuoni Joyce kiria? Kwani umeona wapi analalamikia dyudyu?[emoji23] [emoji23]
hahaaa hela atoe wapi .. angekuwa nazo angenunua vile viatu baada ya jamaa kukataa kumnunulia ..njaaa tu imemtafuna hahaaMdada alikuwa ana hela bana...sema sisi tunapenda vya kununuliwa na wakaka, raha sana ukaringishie chuo, " umeziona hizi sandals nimenunuliwa na Pete"[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaa alikuwa anamtest wakati baada ya kukataliwa kapanic kabisa..acha masihala mkuu ..huyo gal alikuwa anamaanisha kabisa..na jamaa angeji changanya na kuchekwa mnoooKudos mkuu...
Mtego mdogo katoka baruu, yaan kajidhalilisha sana japo humu wanampa sympathy! Huyo Dada alitaka kumtest kama mchoyo au vipi!
Na asubirie kutangazwa chuo kizima kuwa hana hata elfu 10! shangaa atakuwa anatongoza mdada yyte wa pale anapewa za uso!
Ni Udom mkuuwauza viatu wa Dar wanapenda sana kuwauzia mabint wa aiefuemu na sibii! Kama ndio huko, inakula kwako Mzee Baba!
Hv unakielewa ulichokiandika hapa?35,000 ni hela ya kuleta Uzi humu ndani? ....like serious?
Na ungempa hiyo 35K ungepungukiwa nini au ndo ulikuwa huna unakuja kulia lia humu ndani? Hii ni aibu kwa mwanaume rijali
Kaka kweli mbaraka keshamaliza hapo"Enyi vijana sikilizeni mnapokuwa masomoni, acheni mchezo wa mapenzi mnawana uchungu ooooh wazazi wenu"
Kahonge weweUmeshindwa kuhonga 35,000 tu mkuu