Itzmusacmb JF-Expert Member Jun 22, 2016 1,531 1,132 Jul 24, 2016 #2 Labda wana kibari cha kupga picha
Kisu Cha Ngariba JF-Expert Member Jun 21, 2016 22,137 48,808 Jul 24, 2016 #3 Mbuzi kafia kwa muuza supu.
bowlibo JF-Expert Member Dec 10, 2011 3,206 2,899 Jul 24, 2016 #4 Ni watoto wa brigedia mmoja, hapo ni Tabora kama sikosei
Chapa Nalo Jr JF-Expert Member Dec 8, 2010 7,515 6,489 Jul 24, 2016 #5 Usikojoe hapa! Huwa nacheka sana witikio wa tangazo hili maarufu.
Hansss JF-Expert Member Jul 17, 2015 2,370 2,722 Jul 24, 2016 #6 Kwa hiyo kama ni watoto wa brigedia kwao ni ruksa sio acha dhana ya kuvunja sheria kisa babaako flani labda wanakibali hao madogo ama hawajui kusoma.
Kwa hiyo kama ni watoto wa brigedia kwao ni ruksa sio acha dhana ya kuvunja sheria kisa babaako flani labda wanakibali hao madogo ama hawajui kusoma.
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Jul 24, 2016 #8 Hawa jamaa hawafai hata kidogo niliingia kambini na gari aisee niliaamrishwa nirudi kwa rivasi mpaka barabara kuu sitasahau hilo tukio
Hawa jamaa hawafai hata kidogo niliingia kambini na gari aisee niliaamrishwa nirudi kwa rivasi mpaka barabara kuu sitasahau hilo tukio
Kasie Platinum Member Dec 29, 2013 21,236 36,262 Jul 24, 2016 #9 Hawa ni wanafunzi waliomaliza form 6 na wameenda jeshi ile ya hiari miezi 3. Kurutaz.
20PROFF JF-Expert Member Nov 5, 2013 7,970 6,760 Jun 19, 2019 Thread starter #12 Kasie said: Hawa ni wanafunzi waliomaliza form 6 na wameenda jeshi ile ya hiari miezi 3. Kurutaz. Click to expand... Wakikurupushwa, ni mwendo mbaya hapo
Kasie said: Hawa ni wanafunzi waliomaliza form 6 na wameenda jeshi ile ya hiari miezi 3. Kurutaz. Click to expand... Wakikurupushwa, ni mwendo mbaya hapo